laptop90
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,813
- 2,266
Punguani mkubwa, kwa taarifa hakuna alowahi kuwa mwadilifu tanesco kama mramba.Magufuli hakuwa na chuki na watu bali utendaji wabovu na wala rushwa
Huyu jamaa Mramba ni Inner cycle ya ule mfumo mbovu uliotumbuliwa,
so naona jitihada za kuendelea kurudisha kale ka 'system' kanaendelea
Mcha mungu na mtenda haki.
Uchaga ulimponza na ilitumika kiki ya kijinga kama iliyotumika kumuondoa mkurugenzi wa mihimbili ili aweke msukuma mwenzake,
Uongozi wa mwendazake ulikuwa wa kikabila sana