Wewe ni mjinga sana unataka wasukuma waziajiriwe? Je wanaosoma vyuoni waache maana wakiteuliwa wanaziba nafasi zenu!Yote haya hayaondoi ukweli kuwa magufuli aliweka mbele ukabila ,udini na ukanda kuanzia kwenye nafasi za uongozi mpaka mgawanyo wa rasilimali za nchi.