GE2025 Rais Samia achangia milioni 100 CCM gala dinner 2025

GE2025 Rais Samia achangia milioni 100 CCM gala dinner 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,450
Reaction score
5,278
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania amechangia kiasi cha shilingi milioni 100 za Kitanzania usiku wa CCM gala dinner 2025 katika harambee ya kuchangia bilion 100 kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na Urais.

 
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania amechangia kiasi cha shilingi milioni 100 za Kitanzania usiku wa CCM gala dinner 2025 katika harambee ya kuchangia bilion 100 kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na Urais.

View attachment 3439433
Tunasubiri mchango wa mfadhili wa wahuni na kiongozi wao, Lucas hebu tuambie wamechanga tone tone shing ngapi?
 
Tabia ya mwiz
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania amechangia kiasi cha shilingi milioni 100 za Kitanzania usiku wa CCM gala dinner 2025 katika harambee ya kuchangia bilion 100 kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na tabia.
Tabia ya kibaka ni kujiibia kulia kwake na kuhamishia kushoto kwake.
 
Ufipo wanafuatilia kwa ukaribu sana hii harambre hawana cha kufanya Heche na Lissu, wamewaingiza chaka kuwa bila Chadema hamna uchaguzi😅
 
100m ni kawaida sana kwa Rais
Mimi mwenyewe kapuku ninazo.
Ila yeye kama Rais ana fungu la ziada kama Magu alivyokuwa anagawa kama njugu

Kila akipita utasikia Hebu leta milioni hapa
 
GSM katoa Bilioni 10 kama namuona Polepole na Ufipa wanaumia😂
 
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania amechangia kiasi cha shilingi milioni 100 za Kitanzania usiku wa CCM gala dinner 2025 katika harambee ya kuchangia bilion 100 kuchangia Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wawakilishi, Wabunge na Urais.

View attachment 3439433
Nchi ina vichekesho hii, kwamba tunatoa kwa mkono wa kulia na kupokea mkono wa kushoto ,acha nijipe furaha ya moyo kabla ya yule mzanzibar wa October, kuja kuchamba , utamsikia blabla then anamaliza na bado
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom