pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Kauli ya " kwa akina Kassim' siyo nzuri hayati nae aliwahi mwambia ataanza na shangazi yake, mama nae amefanya tuone jinsi mwanamke hafai kupewa wadhifa mkubwa hapa Tanzania.
Sasa umetaja wote wawili mama na hayati wamemdharau Kasim ila conclusion yako nchi haifai kuongozwa na mwanamke, hayati nae alikuwa mwanamke??Kauli ya " kwa akina kasimu' siyo nzuri hayati nae aliwahi mwambia ataanza na shangazi yake, mama nae amefanya tuone jinsi mwanamke hafai kupewa wadhifa mkubwa hapa Tanzania.
2024 Tukutane hapa Tubadili katiba Rais Samia atawale milele atake asitake. Hakuna kama Rais Samia.Kauli ya " kwa akina kasimu' siyo nzuri hayati nae aliwahi mwambia ataanza na shangazi yake, mama nae amefanya tuone jinsi mwanamke hafai kupewa wadhifa mkubwa hapa Tanzania.
Huyo Kasimu hapo alipo amshukuru Mama tu, angefanya lolote.Kauli ya " kwa akina kasimu' siyo nzuri hayati nae aliwahi mwambia ataanza na shangazi yake, mama nae amefanya tuone jinsi mwanamke hafai kupewa wadhifa mkubwa hapa Tanzania.
Itakuwa yeye mwenyewe hajiheshimu ndio maana haheshimiki. Kwanza alipita bila kupingwa. Waziri Mkuu unapitaje kwenye jimbo lako kwa kutegemea mbeleko?Kauli ya " kwa akina kasimu' siyo nzuri hayati nae aliwahi mwambia ataanza na shangazi yake, mama nae amefanya tuone jinsi mwanamke hafai kupewa wadhifa mkubwa hapa Tanzania.
😅😅😅na yeye maskini kaufyata.Huyo Kasimu hapo alipo amshukuru Mama tu, angefanya lolote.
Kauli ya " kwa akina kasimu' siyo nzuri hayati nae aliwahi mwambia ataanza na shangazi yake, mama nae amefanya tuone jinsi mwanamke hafai kupewa wadhifa mkubwa hapa Tanzania.
I had the same questionSasa umetaja wote wawili mama na hayati wamemdharau Kasim ila conclusion yako nchi haifai kuongozwa na mwanamke, hayati nae alikuwa mwanamke??
Je, anamtafutia nafasi ya kumtumbua ?Tangu mama alipoingia madarakani hakumtaka Majaliwa ila alitulia kwa kuheshimu cheo chake cha uwaziri mkuu
Atafanyaje sasa wakati mama ndio boss wake ?😅😅😅na yeye maskini kaufyata.
Tangu mama alipoingia madarakani hakumtaka Majaliwa ila alitulia kwa kuheshimu cheo chake cha uwaziri mkuu
Chuki imeshindwa kichwani kwake na kwenye maandishi yake.Sasa umetaja wote wawili mama na hayati wamemdharau Kasim ila conclusion yako nchi haifai kuongozwa na mwanamke, hayati nae alikuwa mwanamke??
Upuuzi gani huu unausema? Msemo wa kufa kufaana umekaa upande wenu basi mnaona washindi? Haya mambo ni ya muda nature itachukua mkondo wake.2024 Tukutane hapa Tubadili katiba Rais Samia atawale milele atake asitake. Hakuna kama Rais Samia.