Rais Rais Rais...... Membe bhana

Rais Rais Rais...... Membe bhana

frema120

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
5,098
Reaction score
1,341
Nilikuwepo uwanjani lakin nilichokiona, sasa kwenye ITV nimecheka sana na sikukiona live uwanjani

Ni membe anashangiliwa na vijana kwa kuwa rais rais rais ..... akitoka uwanjani amekutana nao nje akafungua vioo nakuwapa mkono huku akitabasamu sanaaaa

Kwa hali hii kuna kazi sanaaa mpaka 2015

"Wamesikia mvumo tu wameniita wakati bado sijaoteshwa" by membe alipohojiwa.
 
Rais wa Yanga labda!
EL
DR SLAA hapo swa
 
Nilikuwepo uwanjani lakin nilichokiona, sasa kwenye ITV nimecheka sana na sikukiona live uwanjani

Ni membe anashangiliwa na vijana kwa kuwa rais rais rais ..... akitoka uwanjani amekutana nao nje akafungua vioo nakuwapa mkono huku akitabasamu sanaaaa
nani huyo anasema membe rais? lazima watakua walipombeka sanaaa au walikua wamelewa na ushindi wa yanga
Kwa hali hii kuna kazi sanaaa mpaka 2015

"Wamesikia mvumo tu wameniita wakati bado sijaoteshwa" by membe alipohojiwa.
lazim
lazima watakua walipombeka sana
 
ile adhabu yao ya kifungo cha miezi 12 inaweza kuongezwa hapo
 
Wakati wengine wakisubiri kuoteshwa hizo ndoto, wengine sio tuu waliishaoteshwa siku nyingi, bali pia walipata ufunuo na upako from the man of God, TB Joshua, na sasa wameisha ianza safari kutimiza ndoto zao !.
Jee wewe utainvest kwa nani kati ya yule ambaye tayari ameishaoteshwa na kuianza safari au yule anayesubiri kuoteshwa ?.
Zingatia "moja shika sii kumi nenda rudi!".
Pasco
 
Wakati wengine wakisubiri kuoteshwa hizo ndoto, wengine sio tuu waliishaoteshwa siku nyingi, bali pia walipata ufunuo na upako from the man of God, TB Joshua, na sasa wameisha ianza safari kutimiza ndoto zao !.
Jee wewe utainvest kwa nani kati ya yule ambaye tayari ameishaoteshwa na kuianza safari au yule anayesubiri kuoteshwa ?.
Zingatia "moja shika sii kumi nenda rudi!".
Pasco
Ogopa mtu amwonaye TB Joshua ni nabii.
 
Kwani alishaoteshwa?km alioteshwa mbona ajatangaza. hamna jipya chini ya membe kaka yake katutesa sana. Urais sio ufalume wa kurithiana
 
...kati ya waCCM wasiyo kuwa na uwezo wa kuongoza nchi' Membe ni mmoja wapo.
Pia Membe ana upeo mdogo wa kuelewa mambo na kuimili vishindo vya maCCM wenzake wajanja, mafisadi, wezi wa mali za umma na wala rushwa.

Uozo wake Membe:


Kwanza alete zile pesa alizohongwa yeye na Kikwete walizopewa na Gadafi zilikuwa za nini na wamezilipeleka wapi?



Pia fedha za Rada, yeye na Kikwete wamo! Na chenji ziko wapi? Alitudanganya kuwa atakufa nazo, vipi mbona Kimya? baada ya kuzitia kibindoni yeye na Kikwete!

"Hiyo Akaunti ya hizo pesa iko wapi? Mbona vitabu havipo mashuleni?


*Siasa zake za OIC, na Misikitini huko Lindi, ya kuwanunua mashekh ili wampigie makofi, eti ili wamsema vizuri!


Fedha za mradi wa viwanda vya Saruji kule Kusini ziko wapi?
Si alisema ni yeye mwenyewe pekee mwenye uwezo wa kuvijenga?


"Kwa ujumla Membe hata nafasi ya Uwaziri Mkuu hafai..."

"na muda si mrefu kuna kashfa nzito ina mhusu' huyu bw. Membe, kwa kusababisha uzembe mkubwa ambao utasababisha serikali kupata hasara kubwa! Na hii ndiyo itakuwa pigo lake lake mwisho"
 
Hongera, we unakula kumi kamili mwanangu, sio buku saba kama wenzako
 
Wakati wengine wakisubiri kuoteshwa hizo ndoto, wengine sio tuu waliishaoteshwa siku nyingi, bali pia walipata ufunuo na upako from the man of God, TB Joshua, na sasa wameisha ianza safari kutimiza ndoto zao !.
Jee wewe utainvest kwa nani kati ya yule ambaye tayari ameishaoteshwa na kuianza safari au yule anayesubiri kuoteshwa ?.
Zingatia "moja shika sii kumi nenda rudi!".
Pasco

Unamaanisha nini mwisho ulipomalizia,

~Membe bado kuoteshwa
~Nani aliyeoteswa sasa!!!
 
...kati ya waCCM wasiyo kuwa na uwezo wa kuongoza nchi' Membe ni mmoja wapo.
Pia Membe ana upeo mdogo wa kuelewa mambo na kuimili vishindo vya maCCM wenzake wajanja, mafisadi, wezi wa mali za umma na wala rushwa.

Uozo wake Membe:


Kwanza alete zile pesa alizohongwa yeye na Kikwete walizopewa na Gadafi zilikuwa za nini na wamezilipeleka wapi?



Pia fedha za Rada, yeye na Kikwete wamo! Na chenji ziko wapi? Alitudanganya kuwa atakufa nazo, vipi mbona Kimya? baada ya kuzitia kibindoni yeye na Kikwete!

"Hiyo Akaunti ya hizo pesa iko wapi? Mbona vitabu havipo mashuleni?


*Siasa zake za OIC, na Misikitini huko Lindi, ya kuwanunua mashekh ili wampigie makofi, eti ili wamsema vizuri!


Fedha za mradi wa viwanda vya Saruji kule Kusini ziko wapi?
Si alisema ni yeye mwenyewe pekee mwenye uwezo wa kuvijenga?


"Kwa ujumla Membe hata nafasi ya Uwaziri Mkuu hafai..."

"na muda si mrefu kuna kashfa nzito ina mhusu' huyu bw. Membe, kwa kusababisha uzembe mkubwa ambao utasababisha serikali kupata hasara kubwa! Na hii ndiyo itakuwa pigo lake lake mwisho"

Kama ndio hivi basi kuna makubwa.... ngoja aoteswe sasa sijui atarudi kulala tena.
 
Kwa washabiki wa yanga jana kuimba rais rais....nikutokana na huyo mh, kuhusishwa na ile issue ya kufanya kampeni ya urais 2015 na furaha ya wana yanga waliokuwa nayo baada ya kushinda jana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom