Rais Putin aihakikishia Afrika kuilinda kwa Chakula na Mbolea. Asema Russia na Afrika ni marafiki wa Kufa na Kupona!

Putin hajaongea chochote kuhusu chakula.Kasema belarus waondolewe vikwanzo ili vyakula vipitie pale.
 
Sasa kama ni lafiki wa afrika si atuletee mafuta ya bei nafuu mambo ya mbolea yatajipa unafuu yenyewe,

Kama alitaka kuyauza india kwa pipa dola 30-35 si atuuzie sisi hiyo bei aone kama hatuendi kumsaidia vita hukohata kupigana tu?
Sidhani kama amekataa tusinunue kwake kama unayafahamu hayo yanajiita makampuni ya kuagiza mafuta waambie waende wakachukue huko, pia usikute wanachukua huko ila ndo hivyo walaji tunapigwa na kitu kizito
 
Russia alishatangaza bei yake ilikuwa Dola 31 Kwa pipa sawa dogo, Russia na Iran wanameli zao zipo deep sea ukitaka mafuta unawashtua tu wanakuletea nazani ulimsikia Mbunge wa Gairo (Shabiby) akiongelea suala la mafuta na utatuzi wake, hao OPEC wamecheza na Demands and supply tu wanaona demand ni kubwa na supply Iko chini lazima bei ipande
 
Kama umetumia mchango wa mbunge Shabiby as reference naomba nikupe pole.
Rudi kwenye map na uangalie distance ya Russia to India then come To Russia- Africa.

Irani yote ipo middle East ambapo ni Jirani na Africa na kama tutafanya biashara ya mafuta italipa ila tatizo Irani amepigwa vikwazo vingi.

Narudia tena soko la mafuta la Russia to Africa haiwezekani ni hasara, na kama Europe itapata mbadala wa mafuta na gesi ya Russia basi hilo litakuwa pigo kubwa sana kiuchumi kwa Russia.
 
Ndugu hadi East Africa ngano ya Urusi tunakula, usidanganywe na packaging za kina naniii, ni unga wa Russia
 
Hujanielewa nn Russia anauza mafuta bei rahisi zaidi, kuliko hao OPEC kama hutaki acha, sema nchi za Afrika viongozi ni wanaogopa kuyanunua hawataki kugombana na nchi za NATO
 
Sawa katiba yao ime ban kuwa asichaguliwe mwingine? Katiba imemruhusu tu agombee ila sio kwamba eti asichaguliwe mwingine
Ila sasa mwenye kusimmia katiba wa aina hiyo ndio tumuunge?
Linapokuja suala la demokrasia kila jamii ina namna inavyoitafsiri na kuitekeleza. Hivyo basi kama utataka kufanya comparative analysis kuhusu democracy, sidhani kama kuna nchi hasa za ulaya, marekani na Asia itajitanabaisha kuwa zina demokrasia. Kwa mfano Marekani wanaohubiri demokrasia linapokuja suala la uchaguzi wa Rais kinachofanyija ni dhahiri tofauti sana na misingi ya kidemokrasia kama tutalinganisha na Tanzania. Hii ni kutokana na ukweli kwamba, kura za wengi hupuuzwa na kura za wachache ndio zinazoamua nani awe Rais. Sasa basi, kama mgombea atamudu kuwashawishi hao maseneta, basi kwake njia ya Urais ni nyeupe hata kama atapata Kura kiduchu za raia wa kawaida.

Uingereza na nchi nyingi za ulaya wameamua demokrasia yao iishie kwa waziri mkuu. Sioni logic kwa zama hizi kuendelea kukumbatia mfumo wa kifalme katika kutawala. Hii kwa maoni yangu, inanyima fursa kwa wengine kupata nafasi ya kuwa viongozi wakuu wa nchi ambapo pengine wangeleta maendeleo zaidi. Mifano ipo mingi lakini tutosheke na hii michache.

Kwahiyo, tunapoamua kumpinga Putin, basi tuwe waumini wa objectivity na tusiwe subjective. Japo sikatai kana binadamu, Putin ana mapungufu yake.

Alamsiki!
 
Kimsingi Rais Sall ameenda kumwangukia na kumueleza kuwa mwathirika mkuu wa mzozo huu ni Afrika


ANGALIA HAPA

AU head tells Putin Africans 'victims' of Ukraine conflict​

AFP - Yesterday 3:18 PM
React|



55



African Union head Macky Sall on Friday urged Russian President Vladimir Putin to take into account the suffering in African countries from food shortages caused by Moscow's military campaign in Ukraine.
Putin hosted Senegalese President Macky Sall, who chairs the African Union, at his Black Sea residence in Sochi on the 100th day of Moscow's offensive in Ukraine, with global food shortages and grain supplies stuck in Ukrainian ports high on the agenda.


Sall asked Putin to "become aware that our countries, even if they are far from the theatre (of action), are victims on an economic level" of the conflict.

© Mikhail KLIMENTYEVAfrican Union head Macky Sall told Vladimir Putin that Africans were 'victims' economically of the conflict in Ukraine
He said it was important to work together so that "everything that concerns food, grain, fertiliser is actually outside" of Western sanctions imposed on Moscow after Putin sent troops to Ukraine on February 24.
Sall also said that due to Western sanctions "we no longer have access to grain from Russia and especially fertiliser" that is crucial for Africa's "already deficient" agriculture.
"That really creates serious threats to the food security of the continent," Sall added.
In his remarks in front of reporters, Putin did not mention grain supplies but said Russia was "always on Africa's side" and was now keen to ramp up cooperation.
"At the new stage of development, we place great importance on our relations with African countries, and I must say this has had a certain positive result," Putin added.


















Continue reading
 
Maamaayeeeh!
Kimbelembele yeyote apinge aone atakavyoshinda njaa!

Zelensky aliomba kikao na AU akalalamika hawajampa ushirikiano!
Kumbe waafrika walikuwa wanasoma upepo!
 
Tumwambie aturudishie hela alizotupiga wakati wa vita vya Uganda.
 
Yule Teja wa Kiev pamoja na kulia ahutubie Africa kaambulia patupu,Ila Mzee Putin Tayari tumewadiliana nae,hili nijibu tosha kwa Zelensky
Mchango wa Afrika kwenye uchumi wa dunia siyo mkubwa, hivyo hata ushawishi wake ni mdogo sana.
 
Kwamba Africa miaka zaidi ya 50 tumeshindwa kujitegemea hata kwa chakula tu!?

Tuna tatizo kubwa kwakweli , tunahitaji mabadiliko makubwa sana
Kikubwa ni mbolea kwa kuzalisha chakula kinachotosha na sio kweli kwamba tunategemea chakula kutoka mataifa mengine labda misaada sehemu zenye mizozo ya kivita
 
Ndugu hadi East Africa ngano ya Urusi tunakula, usidanganywe na packaging za kina naniii, ni unga wa Russia
Inawezekana tunakula ngano ya Urusi mi hilo sikatai. Ila sidhani kama tuna utegemezi mkubwa kiasi cha kulia lia na kubembeleza. Na hapo ndo ninapokasirika kuhusu attitude ya mwafrika. Badala ya vita ya mrusi na wazungu wenzie kuiona kama fursa sisi tupo bize kulia lia mara oh ngano, mara oh mafuta...Wenye akili huko duniani wanapiga mamilioni ya dolari kupitia hii vita akiwemo mmarekani mwenyewe kwa kuuza silaha.
 
Mabadiliko ni ndoto chini ya viongozi wwabin

Kati ya Russia asiyeuliza na mabeberu wanaouliza lakini wanawafichia wezi mali zao za wizi, nani mbaya zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…