Itakuwa FOX NEWS
mwenye kujua muda ambao rais obama atahutubia anijuze maana nataka kumsikiliza na itakuwa cnn au msnbc?samahani kwa usumbufu wakuu
muda gani hapa bongo mkuu?10:10 pm eastern time kama upo US.
Tizama cnn ama msnbc.Kuna moja inaitwa "fix news",hiyo haina mpango wala nini,ni ya mahaters almost on anything about the guy.However unaweza kuitizama,ila I don't recommend it.
thanx NN,je muda gani?sory
Mkuu ni Saa 11 alfajiri, CNN na ABC wataonyesha live, Pia unweza kuingia online nakuiona live (sijui website ila niliambiwa)
The balanced news network...nice!.Itakuwa FOX NEWS
The balanced news network...nice!.
Ha ha ha hao jamaa ni kiboko. Ila uongo mbaya, nadhani Fox News is one of the best HD channel in the country!.They report, you decide.
Fair and balanced.
Ha ha ha hao jamaa ni kiboko. Ila uongo mbaya, nadhani Fox News is one of the best HD channel in the country!.