yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
Wanasaikolojia wanasema,mwanaume ambaye hububujikwa machozi kwa jambo la kusikitisha sana kama kifo cha ndugu au jamaa, probably ni very strong man na asielia hua probably hajiamini na ni weak
Probably sikubaliani na wewe