Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,889
Wewe ni mpumbavu, nimekupuuzaKitendo cha rais Obama kulia na Marekani ni taifa kubwa na lenye nguvu diniani ni Kitendo cha aibu sana.Kawazalilisha wamarekani na kaonyesha ni mtu dhaifu kama mwanamke.Sasa ukiangalia sioni cha maana kilichomliza jamaa.Na ingelikuwa ni taifa kama japani angepoteza uhalali wa kuendelea kuongoza.
Watu wanakufa huko sriya na maeneo mengine.hakuwahi kulia leo eti anatoa hotuba ya udhibiti wa slaha chozi kibao ka demu.Yule mzee nimemdharau sana