britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kwa kuanza kabisa mi ni CCM ambaye uwa siyumbi kwa ninalo amini,
Moja naamini katika free mind, naamini katika kutofautiana kwa Hoja
Mama nakusihi epuka mambo haya
1. Usipende kusikiliza ushauri wa waliokuzunguka, Tafuta mbinu za kupata taarifa ikibidi ntaiwasilisha kwa njia ya Fetacth Budge Fel nadhani umenielewa.
2. Kundi kubwa ilipo upokea Urais walifurahi, Lakin kinachowaumiza ni kuwakumbatia Mawaziri ambao wamewai feli Mara kadhaa
Mwenzako alimfukuza Nape, na Makamba we ukawarejesha hao hao! Na baada ya kufukuzwa ulisikia walivyokuwa wana mis behave Lakin we ukawaamini Tena hawa vijana wanakulia timing sana yan!
3. Kosa jingine kubwa pamoja na kwwmba tulipita tu kiujanja basi sisi ndo Serikali Ila suala la Msingi hata wale majembe walokuwa wanaunafuu umewaweka pembeni kwa ghafla kitu ambacho kitatutesa wapiga kampeni Mwaka 2025.
Muhimu sana epuka machawa wasioweza eneza propaganda ikaaminika without any doubts
Sasa vijana wanaojifanya kukutetea ndo wanaharibu kabisa
Britanicca
Moja naamini katika free mind, naamini katika kutofautiana kwa Hoja
Mama nakusihi epuka mambo haya
1. Usipende kusikiliza ushauri wa waliokuzunguka, Tafuta mbinu za kupata taarifa ikibidi ntaiwasilisha kwa njia ya Fetacth Budge Fel nadhani umenielewa.
2. Kundi kubwa ilipo upokea Urais walifurahi, Lakin kinachowaumiza ni kuwakumbatia Mawaziri ambao wamewai feli Mara kadhaa
Mwenzako alimfukuza Nape, na Makamba we ukawarejesha hao hao! Na baada ya kufukuzwa ulisikia walivyokuwa wana mis behave Lakin we ukawaamini Tena hawa vijana wanakulia timing sana yan!
3. Kosa jingine kubwa pamoja na kwwmba tulipita tu kiujanja basi sisi ndo Serikali Ila suala la Msingi hata wale majembe walokuwa wanaunafuu umewaweka pembeni kwa ghafla kitu ambacho kitatutesa wapiga kampeni Mwaka 2025.
Muhimu sana epuka machawa wasioweza eneza propaganda ikaaminika without any doubts
Sasa vijana wanaojifanya kukutetea ndo wanaharibu kabisa
Britanicca