VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Katika ziara yako ya kikazi hapa Ofisi Ndogo Lumumba, kama Mwenyekiti wa CCM na Rais, umeionaje Ofisi yetu? Mazungumzo yako na viongozi waandamizi na makada wa CCM yamezaa matunda gani? Tuwe na matumaini au nasi tusubiri kama watumishi wa umma?
Posho zimeyeyuka; safari za kiziara zimekauka; mishahara ya watumishi wala kichama hapa Ofisini, pamoja na Uhuru Printers, imesimama kama mishale ya saa mbovu; 'uzalendo' katika kutetea chama mitandaoni umepungua; biashara ya t-shirts, suruali na kapelo za chama hapo nje hoi.
Rais na Mwenyekiti wangu, tunatokaje hapo kama chama?
Bunge ni la kuarifiwa au la kujadili na kupitisha bajeti!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Posho zimeyeyuka; safari za kiziara zimekauka; mishahara ya watumishi wala kichama hapa Ofisini, pamoja na Uhuru Printers, imesimama kama mishale ya saa mbovu; 'uzalendo' katika kutetea chama mitandaoni umepungua; biashara ya t-shirts, suruali na kapelo za chama hapo nje hoi.
Rais na Mwenyekiti wangu, tunatokaje hapo kama chama?
Bunge ni la kuarifiwa au la kujadili na kupitisha bajeti!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam