prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,368
Mkuu Umeshafika Baadhi ya Majimbo yaliyo Chini ya Upinzani? Mimi nimefika ambayo yako Chini ya CCM..Yana Hali mbaya Mno..MNA Serikali,Rasilimali na Ruzuku kubwa Kuliko wanayopata Vyama vyote vya Upinzani.Kuangalia kama viongozi wa serikali wanatekeleza ilani ya CCM chama tawala sawasawa na ilani upinzani ukienda kuzunguka Ni kuzurura hutatui kero ya wananchi Wala chochote Ni kubomoa ruzuku tu