Rais na mcheza mpira wapi na wapi?

mpayukaji

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
940
349
[h=3][/h]



  • Rasi Jakaya Kikwete akiwa na mchezaji mpira wa miguu David Beckham huko London hivi karibuni huku mkewe akishangaashangaa, Wapi mke wa Beckham?Ingawa tunaonekana kutomtendea haki, angekuwa anatujibu ukweli ungejulikana. Rais Jakaya Kikwete ameonyesha kupwaya karibu kwa kila analojaribu kufanya. Washauri wake wanamwimbia na kutuibia walipa kodi-wanamkomoa kwa kumshauri vibaya. Tulipoambiwa Kikwete amekaribishwa Marekani kwenye G 8 wengi tuligemea kupata picha akiwa na watu wa maana kama Barack Obama na wengine wazito. Ajabu tunaletewa picha akiwa na wachezaji wa mpira kana kwamba yeye ni waziri wa michezo! Whsat a loss in the first place! Ni pigo kuwa na kiongozi asiyejijua na kujua uzito wa nafasi yake na dhamana aliyobeba.


 
Kwaiyo uyo mchezaji sio mtu wa maana"....wanaopoteza mamilioni Yao kumsajili pia nao wajinga!?mmmh kazi ipo..hii picha hapa ishaletwa zaidi ya mara Tatu nawatu tofauti siungechangia tu za wenzio AMA wewe umeonakunalazaidi kwenye iyo picha tofauti nawenzio waloleta mwanzo!?
 
Kwaiyo uyo mchezaji sio mtu wa maana"....wanaopoteza mamilioni Yao kumsajili pia nao wajinga!?mmmh kazi ipo..hii picha hapa ishaletwa zaidi ya mara Tatu nawatu tofauti siungechangia tu za wenzio AMA wewe umeonakunalazaidi kwenye iyo picha tofauti nawenzio waloleta mwanzo!?

Ukikua utaacha
 
Wakweree michezo na ngoma ni jadi yao kwahiyo msishangae sana jamaa anapowababaikia sana wachezaji wa michezo na sinema!!!
 
kitu kimoja nilishindwa kuelewa hapa, maana wawili hawa walikutana Hearthrow.
Je, walikutana tu kwa bahati wakati pengine Beckham akiwa kwenye mchakato wa kwenda Athens na JK akiwa transit kwenda US? kama situation ilikua hivi nani aliyejipendekeza kwa mwenzake?
Au hiki kilikua ni kikao rasmi cha Mkuu wa kaya kuendelezq lile wimbi la kutaka at least kupiga picha na kila super star?
 
Whosoever created this thread is kinda insane coz hii picha imeshwawekwa humu zaidi ya mara3. Pili, we jamaa sijui unawaza nini, kwani raisi sio binadamu? mtu ukiwa raisi ni kwamba huwezi kupenda soka? Kagame (rais wa Rwanda) anapenda mpira hadi kasponsor Kagame cup na alienda London ili kumeet na Arsene Wenger tu coz yeye ni shabiki wa Arsenal, Obama anapenda kikapu na huwa anacheza kikapu hata white house, Kikwete kumeet na Beckham wewe imekuuma sana na mashaka na uwezo wa kufikiri. Wewe si kuna mchezo unaupenda na je ukiwa raisi utaacha kuuangalia kisa tu wewe ni raisi? Rethink man.
 
Nasubiri siku Obama atakapokuja ongea na Juma Kaseja au mchezaji nyota mwingine yeyote wa Tanzania.
 
Kweli wewe Mpayukaji coz unapayuka tu bila hata kufikiri na kuuliza ilikuaje hadi Kikwete kakutana na Beckham. Kikwete alimeet na Beckhama London akati anaconnect flight kuja huku Marekani na walikutaka VIP Lounge in airport mahali wanapopita watu wote mashuhuri wakitua kwenye huo uwanja na sio wkamba walipanga kukutana. Ni wazi kwamba Kikwete anapenda soka so ulitaka wasilalimiane na Becks kisa yeye ni raisi? kwa mawazo yako ya kipuuzi unadhani mtu akiwa raisi hatakiwa kuangalia soka. Na hizo unazozitaka Kikwete akiwa States kwa hiyo summit ingia issamichuzi.com utaziona. Unaboa kwa kua mvivu wa kufikiri
 
Wewe ukiwa raisi utaacha kuongea na wanamichezo wa mchezo uupendao kisa tu eti wewe ni raisi? Acha upuuzi wewe.
 
Wakweree michezo na ngoma ni jadi yao kwahiyo msishangae sana jamaa anapowababaikia sana wachezaji wa michezo na sinema!!!
Ungeuliza walikutana vp kwanza ndo uanze kuleta mdomo sio kupayuka tu bila mpango.
 
kitu kimoja nilishindwa kuelewa hapa, maana wawili hawa walikutana Hearthrow.
Je, walikutana tu kwa bahati wakati pengine Beckham akiwa kwenye mchakato wa kwenda Athens na JK akiwa transit kwenda US? kama situation ilikua hivi nani aliyejipendekeza kwa mwenzake?
Au hiki kilikua ni kikao rasmi cha Mkuu wa kaya kuendelezq lile wimbi la kutaka at least kupiga picha na kila super star?

Haya ndo maswali ya msingi sio mtu kakurupuka tu na hisia zake na kuanza kulaumu........hata kama anapwaya si sawa kuwa na negative thinking if not wishes all the times; nani anajua ukweli wa hapo after all mleta uzi anasema kabisa picha imeletwa na yeye kaipokea na kuanza kuweka ujumbe eti.....na mkewe akishangaashangaa......!!!!!!!!! Kila picha ina dhamira yake je hii dhamira zake zaweza kuwa nini???? Hivi katika mkutano huo kakutana na Beckham tu...???? Kwa nini zisiwekwe picha zote tukaangalia wenyewe na kupata ujumbe kutokana na matukio yote ili tupate majumuisho?????

Humu ndani sasa kuna watu wanaendeshwa na hisia zaidi ya fikira.........yaaani kama kinanda kila kikiguswa hata kwa bahati mbaya chenyewe hutoa mlio tu

Kwa hali ya nchi ilivyo kwa sasa tunatakiwa tuwe makini sana na habari tunazopata ili kufikia maamuzi sahihi bila kuwa influenced na mapenzi ya kisiasa au chuki za kimatabaka na religious denominations.........

we are at the cross road my fellow country men, just a single step may lead the whole convoy into the wrong direction
........!!!!!!!

Naomba kuwasilisha
 
Kuna wakati alipiga picha na na yule mcheza sinema za kibabe Steven Seagal. Anapenda kuchat na Celebrities
 
Gere mama gere mama, wanamuonea gere. Mtausaga mtama muubwie wenyewe!
 
Gere mama gere mama, wanamuonea gere. Mtausaga mtama muubwie wenyewe!

Mimi namuonea gere Al Assad wa Syria. Hata yeye anaua Waislamu lkn sijasikia kilaza yeyote kusimama msikitini kumlaani. Wakifa watu 6 kwenye operesheni za kijeshi dhidi ya ugaidi misikiti yetu inalaani mauaji ya waislamu, lkn Al Assad kafikisha roho 8000 bado kimya, hamna maandamano wala kauli.

Al Bashir + Janjaweed = vifo vya waislamu weusi wa Sudan (Darfur)

Boko Haram wakiua wanapongezwa kwa kuwa wanaua wasio waislamu

Wayahudi wakiua matamko na maandamano na naamini hata hapa mngeruhusiwa kuonesha unafiki wenu mngeonesha kwa maandamano. Unasemaje kuhusu Syria, au sio waislamu wale?
 
Back
Top Bottom