Je, Jakaya Kikwete alitoa pesa wapi kuongeza mishahara na kujenga barabara za lami?

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,099
Members, Kuna maswali yanafikirisha sana

Je, Pesa za Kuongeza mishahara Kikwete alikuwa anatoa wapi kila mwaka huku akiwa na watumishi hewa kwenye payroll ya mshahara?

Alilipa mishahara na kuwaongezea nyongeza watumishi halali na wale waliokuja kuitwa fake kila mwaka

Je, Pesa za ujenzi wa madaraja na barabara nchi nzima za kuunganisha mikoa alikuwa anazitoa wapi?

Alijenga barabara na kuacha mawaziri na Makamu wazindue baadhi ya barabara

Utakumbuka Makamu wa Rais Gharib Bilala alikuwa anazindua miradi ya barabara wakati wa Kikwete mpaka watu wakampa jina mkata utepe, Kwa miaka mitano Gharib Bilal ilikuwa uzinduzi na yeye

Je, zile pesa ambazo watu walikuwa wanakula na kuiba kwanini kikwete na Serikali yake hawakufilisika na kujitetea pesa za Kuongeza mishahara hakuna kwani Mafisadi wameiba, Watu waliongezwa mishahara kila mwaka?

Je, zile ajira za kuajiri walimu wote wanaomaliza vyuo vikuu kila mwaka pesa alikuwa anazitoa wapi?

Je, mbona hatukusikia wafanyabiashara wakifunga biashara zao na kubambikiwa kesi za kodi au Kudaiwa kodi za enzi ya mtangulizi wake Mkapa?

Je, Wafanyakazi walifanya semina, warsha na Safari za nje ya nchi. Pesa alizitoa wapi?

Pension watu walilipwa kwa wakati huku mifuko ya jamii ikishindana kutoa huduma kwa jamii, Kikwete hizi pesa alikuwa anatoa wapi?

Je, Mamilioni ya pesa aliyokuwa anawalipa wale wataalamu aliowatoa nje ya Tanzania na viongozi wa mashirika ambao walikuja kupunguziwa baadae alizipata wapi?

Je, Kwanini wakati anayafanya haya Magazeti yalikuwa yanasema na kumnanga kila siku lakini Jakaya Kikwete hakujitetea kuwa Magazeti yanamzuia asiwe na pesa za kulipa mishahara, kujenga barabara na kuruhusu warsha na Mikutano

Je, Pesa za kuadhimisha sherehe za Uhuru na Muungano kila mwaka alizitoa wapi. Kila mwaka watoto waliandaliwa kwa gwaride. Jakaya Kikwete hakuwahi kuhairisha sherehe za Muungano

Jakaya Kikwete alisafiri Dunia nzima kwa kundi la wapambe kila wakati a gani, Huku nyumbani nani aliyekuwa anaongoza nchi kwa kulipa mishahara vizuri, Kusimamia malipo ya pension za wastaafu, Kuvutia wawekezaji wengi,

Mpaka sasa mbinu alizotumia huyu mtu kufurahisha watu ninazisubiri kwenye kitabu chake
 
Hili Jambo linaumiza Sana na linamfanya Jiwe kuwa Raisi wa hovyo kuwahi kutokea , hata wanaomshabikia sjui wameishia la saba , au ni wanufaika wa utawala wake, idont know Kwa kweli , pengine kweli alikuwa anaipigania Tanzania Ila hakuwa na uelewa mzuri wa approach aliyotumia .... Alikuwa too much blinded , good idea with wrong approaches......kuhusu Kikwete he was a smartest president mwenye uelewa mzuri na Hali ya wananchi wake na wanahtaji nin...asifananishwe na Raisi mwingine aisee may be akina Nyerere hao ....changamoto yake hakuwa solid kwenye usimamizi

Kikwete aliajiri kila mwaka , Zaid ya wahitimu 100000 waliajiriwa direct from colleges ( Kada ya Afya na Elimu ziliongoza zikiajir karbia nusu ya ajira zote serikalin wahitimu wote kuanzia ngazi ya Cheti mpak degree ) .... Shule za private zilikuwa zikiajir zinakung'ang'ania Kwa kuchukua vyeti vyako ili usiwakimbie, usome vyuo vya uchochoroni au vya serikalini , ili mradi Umehitimu unapata ajira ..... Barabara zilijengwa , watu waliiba mabillion ya pesa , na wenye juhudi walitajirika, na hakukuwa na Kodi za namna hii kama ya leo .....

Jiwe tunamsifia Kwa lipi wakuu? Tuwe wakweli , Ajira zipo totally stagnant, mzunguko wa hela mtaani ni terrible , Kodi zipo za kila aina, na deni la Taifa Kwa miaka mitano Tu iliyopita limezidi la kipindi kuanzia Mkapa mpak Kikwete combined together ( na tutalilipa hlo deni , jifanyeni kuropoka et shujaa sjui wa wapi wapi ) wastaaf wanataabika, wafanyakazi hawana hamu, matajiri na wafanya biashara wakubwa na wakati wote walikuwa hawana Amani wengine mpak walifunga biashara , akina dangote sjui hata wako wapi, ...... Hii ina maana hata barabara na miundo mbinu iliyojengwa ni ya mikopo, mtu kila sku kujitapa kwenye majukwaa na kutukana wazungu ......

Ukweli ni kuwa hela wanazo wazungu , Sisi huku tunadanganyana na kukamuana huku tukipeana matumaini hewa tuu....Baba amejifungia ndani kufokea wanawe, hamna kitu wakuu.... na hili kikwete alilijua , thus why mwamba alikuwa anaranda randa huku na kule kuleta pesa ....nimeishi nikiwa mtu mzima kwenye tawala zote mbili nachelewa kusema Kikwete ni the best president aiseee..... Ila kama tulilidhika na unyonge na tulitamani tuwe wanyonge forever basi tumsifu huyo Jiwe Ila Mimi hapana......labda kafanikiwa kuwatia hofu wafanyakazi.

Alaf unanilazimishaje Mimi niishi nikitaabika Kwa ajili ya Tanzania ya Kesho? Yaani nife kwenye umaskini Kwa ajili ya Tanzania ya Kesho isiyoeleweka , kisa wewe unatembelea viyoyozi na unajenga home kwenu ?? What a shit.... Tanzania ya Kesho itajengwa na wa kesho let us enjoy today. Respect to Sir God Kwa kuingilia Kati wazee , mana upole wetu watanzania ulikuwa unaenda kutumika vibaya sana.

JIWE: THE WORST PRESIDENT EVER IN TANZANIA HISTORY
 
Hili Jambo linamfanya JPM kuwa Raisi wa hovyo , hata wanaomshabikia hawaelewi kitu , Kikwete asifananishwe na Raisi mwingine aisee may be akina Nyerere hao ....changamoto yake hakuwa solid kwenye usimamizi

Kikwete aliajiri kila mwaka , Zaid ya wahitimu 100000 waliajiriwa direct from colleges ..... Barabara zilijengwa , watu waliiba mabillion ya pesa , na wenye juhudi walitajirika, na hakukuwa na Kodi za namna hii kama ya leo .....

JPM tunasmifia Kwa lipi wakuu? Tuwe wakweli , Ajira zipo totally stagnant, mzunguko wa hela mtaani ni terrible , Kodi zipo za kila aina, na deni la Taifa Kwa miaka mitano Tu iliyopita limezidi la kipindi kuanzia Mkapa mpak Kikwete combined together...... wastaaf wanataabika, wafanyakazi hawana hamu, matajiri na wafanya biashara wakubwa na wakati wote walikuwa hawana Amani wengine mpak walifunga biashara , akina dangote sjui hata wako wapi, ...... Hii ina maana hata barabara na miundo mbinu iliyojengwa ni ya mikopo , ...mtu kila sku kujitapa kwenye majukwaa na kutukana wazungu ......

Ukweli ni kuwa hela wanazo wazungu , Sisi huku tunadanganyana na kukamuana huku tukipeana matumaini hewa tuu....Baba amejifungia ndani kufokea wanawe, hamna kitu wakuu.... na hili kikwete alilijua , thus why mwamba alikuwa anaranda randa huku na kule kuleta pesa ....nimeishi nikiwa mtu mzima kwenye tawala zote mbili nachelewa kusema Kikwete ni the best president aiseee..... Ila kama tulilidhika na unyonge na tulitamani tuwe wanyonge forever basi tumsifu huyo JPM Ila Mimi hapana......labda kafanikiwa kuwatia hofu wafanyakazi ....

Alaf unanilazimishaje Mimi niishi nikitaabika Kwa ajili ya Tanzania ya Kesho ? Yaani nife kwenye umaskini Kwa ajili ya Tanzania ya Kesho ?? What a shit.... Tanzania ya Kesho itajengwa na wa kesho let us enjoy today .....
Dah, Mkuu, umeisuuza nafsi yangu!
 
JK alifanya makubwa sana, labda kwa kuwa hakutaka asifiwe kama hayati ndio maana tunachukulia poa! Lile li UDOM alilijenga yeye, Mloganzira Hosp ni yeye, Hosp ya magonjwa ya moyo ni yeye, daraja la Kigamboni ni yeye, sekondari za kata nchi nzima ni yeye, vyuo vikuu viliongezeka sana, mibarabara nchi nzima ni yeye.....ni mengi sana alifanya na bado maisha yalikuwa matamu! Huyu ngosha sasa misifa kibao afu hakuna kitu!
 
Kuna lundu la watu tunaishi nao huku ughaibuni waliondoka kipindi cha JPM kutokana na ukali wa maisha, cha ajabu wanamsifia kapandisha uchumi, sasa sijui kwa nini walikimbia ikiwa uchumi ulikuwa mzuri. Haya mambo ya Uraisi ni km mpira, utakuta kuna mashabiki wa Leeds wanakwambia ManCity hovyo.
Mkuu uchumi Wa kwenye vitabu vilivyoandaliwa na Mzee Polepole Mchumi mbobevu ni kweli ulipanda.

Ila uchumi halisi, hakyaMungu umeshuka maradufu kiasi kwamba Nyerere akifufuka leo kabla ya kufika home kwake akajionea hali halisi akifika home atamuuliza Mkewe "Nchi ilikua vitani hivi karibuni? Mbona uchumi unapumulia mashine?"

Inshort "MWENDAZAKE AMETUCHELEWESHA SANA" na "TUMECHEZEWA MNO na Mwendazake".
 
Kuna lundu la watu tunaishi nao huku ughaibuni waliondoka kipindi cha JPM kutokana na ukali wa maisha, cha ajabu wanamsifia kapandisha uchumi, sasa sijui kwa nini walikimbia ikiwa uchumi ulikuwa mzuri.
Bila shaka hao ni MATAGA.

Hao jamaa akili zao hazina tofauti na zile za wanawake za kutaka wanaume black & tall wakati huo huo wakitaka watoto shombeshombe.
 
Members, Kuna maswali yanafikirisha sana

Je? Pesa za Kuongeza mishahara Kikwete alikuwa anatoa wapi kila mwaka huku akiwa na watumishi hewa kwenye payroll ya mshahara

Alilipa mishahara na kuwaongezea nyongeza watumishi halali na wale waliokuja kuitwa fake kila mwaka

Je? Pesa za ujenzi wa madaraja na barabara nchi nzima za kuunganisha mikoa alikuwa anazitoa wapi

Alijenga barabara na kuacha mawaziri na Makamu wazindue baadhi ya barabara

Utakumbuka Makamu wa Rais Gharib Bilala alikuwa anazindua miradi ya barabara wakati wa Kikwete mpaka watu wakampa jina mkata utepe, Kwa miaka mitano Gharib Bilal ilikuwa uzinduzi na yeye

Je? Zile pesa ambazo watu walikuwa wanakula na kuiba kwanini kikwete na Serikali yake hawakufilisika na kujitetea pesa za Kuongeza mishahara hakuna kwani Mafisadi wameiba, Watu waliongezwa mishahara kila mwaka

Je? Zile ajira za kuajiri walimu wote wanaomaliza vyuo vikuu kila mwaka pesa alikuwa anazitoa wapi

Je? Mbona hatukusikia wafanyabiashara wakifunga biashara zao na kubambikiwa kesi za kodi au Kudaiwa kodi za enzi ya mtangulizi wake Mkapa

Je? Wafanyakazi walifanya semina, warsha na Safari za nje ya nchi. Pesa alizitoa wapi

Pension watu walilipwa kwa wakati huku mifuko ya jamii ikishindana kutoa huduma kwa jamii, Kikwete hizi pesa alikuwa anatoa wapi?

Je? Mamilioni ya pesa aliyokuwa anawalipa wale wataalamu aliowatoa nje ya Tanzania na viongozi wa mashirika ambao walikuja kupunguziwa baadae alizipata wapi?

Je? Kwanini wakati anayafanya haya Magazeti yalikuwa yanasema na kumnanga kila siku lakini Jakaya Kikwete hakujitetea kuwa Magazeti yanamzuia asiwe na pesa za kulipa mishahara, kujenga barabara na kuruhusu warsha na Mikutano

Je? Pesa za kuadhimisha sherehe za Uhuru na Muungano kila mwaka alizitoa wapi. Kila mwaka watoto waliandaliwa kwa gwaride. Jakaya Kikwete hakuwahi kuhairisha sherehe za Muungano

Jakaya Kikwete alisafiri Dunia nzima kwa kundi la wapambe kila wakati a gani, Huku nyumbani nani aliyekuwa anaongoza nchi kwa kulipa mishahara vizuri, Kusimamia malipo ya pension za wastaafu, Kuvutia wawekezaji wengi,

Mpaka sasa mbinu alizotumia huyu mtu kufurahisha watu ninazisubiri kwenye kitabu chake



Kuwa chawa inahitaji roho ya chuma
 
Hili Jambo linamfanya JPM kuwa Raisi wa hovyo , hata wanaomshabikia hawaelewi kitu , Kikwete asifananishwe na Raisi mwingine aisee may be akina Nyerere hao ....changamoto yake hakuwa solid kwenye usimamizi

Kikwete aliajiri kila mwaka , Zaid ya wahitimu 100000 waliajiriwa direct from colleges ( Kada ya Afya na Elimu ziliongoza zikiajir karbia nusu ya ajira zote serikalin wahitimu wote kuanzia ngazi ya Cheti mpak degree ) .... Shule za private zilikuwa zikiajir zinakung'ang'ania Kwa kuchukua Cheti ili usiwakimbie .....usome vyuo vya uchochoroni au serikali ili mradi Umehitimu unapata ajira ..... Barabara zilijengwa , watu waliiba mabillion ya pesa , na wenye juhudi walitajirika, na hakukuwa na Kodi za namna hii kama ya leo .....

JPM tunasmifia Kwa lipi wakuu? Tuwe wakweli , Ajira zipo totally stagnant, mzunguko wa hela mtaani ni terrible , Kodi zipo za kila aina, na deni la Taifa Kwa miaka mitano Tu iliyopita limezidi la kipindi kuanzia Mkapa mpak Kikwete combined together...... wastaaf wanataabika, wafanyakazi hawana hamu, matajiri na wafanya biashara wakubwa na wakati wote walikuwa hawana Amani wengine mpak walifunga biashara , akina dangote sjui hata wako wapi, ...... Hii ina maana hata barabara na miundo mbinu iliyojengwa ni ya mikopo , ...mtu kila sku kujitapa kwenye majukwaa na kutukana wazungu ......

Ukweli ni kuwa hela wanazo wazungu , Sisi huku tunadanganyana na kukamuana huku tukipeana matumaini hewa tuu....Baba amejifungia ndani kufokea wanawe, hamna kitu wakuu.... na hili kikwete alilijua , thus why mwamba alikuwa anaranda randa huku na kule kuleta pesa ....nimeishi nikiwa mtu mzima kwenye tawala zote mbili nachelewa kusema Kikwete ni the best president aiseee..... Ila kama tulilidhika na unyonge na tulitamani tuwe wanyonge forever basi tumsifu huyo JPM Ila Mimi hapana......labda kafanikiwa kuwatia hofu wafanyakazi ....

Alaf unanilazimishaje Mimi niishi nikitaabika Kwa ajili ya Tanzania ya Kesho ? Yaani nife kwenye umaskini Kwa ajili ya Tanzania ya Kesho ?? What a shit.... Tanzania ya Kesho itajengwa na wa kesho let us enjoy today ..... Respect to Sir God Kwa kuingilia Kati wazee , mana upole wetu watanzania ulikuwa unaenda kutumika vibaya Sana ....
On top of that,

Tunaambiwa ukusanyaji kodi ulikuwa hafifu.
 
Mimi kwa kweli nisamehewe tu lakini sijaona haswa kubwa mno alilolifanya magufuli kiasi Cha kusifiwa kiasi kile kwamba kizazi na kizazi kitamkumbuka!

Lile daraja la ubungo na baadhi ya barabara na hizo ndege ambapo hayo yote yangeweza kufanywa na mtu yoyote yule.


Kule kusema kwamba wakina kikwete hakuna Cha maana walicho fanya Hali sisi tulikuwepo na akili 2005 ile mpaka 2015 hatuwezi kuwaelewa.

Magufuli Ni mtu aliewahi kuwa rais wa Tanzania tu na vingi alivyofanya havilinganishwi na waliomtanguli, kule kusema Ni shujaa wa Africa wakati hakufanya Cha kutoshea hata hapa Tanzania Ni kumsifu mtu kinafki kwa kweli.


Namtakia heri kikwete kwa kweli umma huu hauta msahau kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom