Anateua watu na kuwabadilisha ndani ya mwezi huo huoDk. Mwinyi haendeshwi na mtu, au mstaafu yeyote, na alikuwa akimkubali sana The late JPM aka Mwamba.
Dk. Mwinyi hata alivyofanya uteuzi wa baraza lake au Wakuu wa Mikoa hajawahi kuwabadilisha ndani ya masaa 3 baada ya uteuzi, haelekezwi na mtu, anajisimamia mwenyewe na anawajua vizuri watu anaowateua. Hana akili za kushikiwa.