fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Yani waTZ wanatamani Huyu WA jamhuri ya muungano sense znz tupewe Mwinyi
Matanzia mengi tu ya viongozi walioshinikizwa wasivae barakoa na mlazimishaji mmoja hivi ambaye naye mwisho wa siku yakamkuta mazima.Nani alituletea Tanzia kwa kutovaa mabarakoa??
Naogopa usumbufu kwenye biashara.Kwani ikitokea tanzia yake kuna hasara gani
wameshachanja zamani tu bado hata JPM hajafa.Mnasahau kuwa huyo ni Daktari!! Inawezekana kisha pata chanjo; juzi tu kasema mahujaji watafanyiwa mpango wa chanjo ili waweze kwenda kuhiji!!!
Wasukuma inabidi muanzishiwe dozi ya presha mapema, lasivyo mtapasua mishipa ya damu kwenye kichwa,Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.View attachment 1791041
Naogopa usumbufu kwenye biashara.
Alistahili kumrithi JPMNamkubali sana huyu mwamba.
Ndiyo kinachofuataAsije akatuletea tanzia jingine.
Walichanjia wapi? Akili zako kama za kuku, unajua kudonoa punje za mahindi na kutaga mayai tu.wameshachanja zamani tu bado hata JPM hajafa.
Kipande🤙Walichanjia wapi? Akili zako kama za kuku, unajua kudonoa punje za mahindi na kutaga mayai tu.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Chanjo haizuwii kuambukizwa.Mnasahau kuwa huyo ni Daktari!! Inawezekana kisha pata chanjo; juzi tu kasema mahujaji watafanyiwa mpango wa chanjo ili waweze kwenda kuhiji!!!
Hayo ni maoni ya wananchi wa Jamhuri ya JF. Wenye maarifa wanafahamu alikuwa amesema kwa mantiki gani ? Wengi tulielewa baada ya tamko la kifo cha Mwendazake. .Angekaa kimya badala ya kusema "mnataka aende Kariakoo"!! Amejishushia heshima na wananchi wengi hawamuamini tena na hata mwenyewe hana confidence tena; yuko yuko tu!
Huyu wa Jamhuri kwa kweli angewafiti sana zenji..jembe hili la zenji lingetifiti huku na jamhuri ya Tz kwa ujumlaYani waTZ wanatamani Huyu WA jamhuri ya muungano sense znz tupewe Mwinyi
We lofa sana wewe, kwani wewe una corona?Matanzia mengi tu ya viongozi walioshinikizwa wasivae barakoa na mlazimishaji mmoja hivi ambaye naye mwisho wa siku yakamkuta mazima.