Rais Museveni hachoshi kumsikiliza

Rais Museveni hachoshi kumsikiliza

Huwa nacheka sana hata Polepole naye huwa anajiita ni mdogo sana, ila ukiangalia sura yake unasikia hata kinyaa akijifanya mdogo. Nikishaona tu mtu anajifanya yeye bado ni mdogo huwa nachoka kabisa.
Polepole ni lishe ya utotoni haikuwa nzuri sana, sura ngumu sana
 
Kwahyo hapo unajiona una bonge la IQ..hadi wote humu unatuona mafala..ni kipi ulichoongea cha maana hapo
Kama sio kuungaunga habar ulizozipata humu humu tu
Kenge, si unge unga unga na wewe Kama Ni rahisi!
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Sawa umebaini upo very smart, so what?
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Idiot, product of a broken rubber, (huyu jamaa alizaliwa baada ya kondomu kupasuka)
 
Idiot, product of a broken rubber, (huyu jamaa alizaliwa baada ya kondomu kupasuka)
Ningezaliwa Kama ulivyozaliwa wewe Basi nisingepata hizo taarifa, u sound so fake and failure..mm sio taka taka za sampuli yako! Fuatilia nyuzi zangu, nyauba we!
 
Naona nimechafua Hali ya hewa, vijeba vinajamba tu mwendo wa yusuph! Mkuje hapa tips mpate kitimoto😁
 
Am a thinker, better than u idiot! Information is power of all the critics hakuna aliyehoji hizi taarifa chanzo Ni wapi we Ni mjinga Kama hao wenzio!
Wewe mdogo sana .. endelea kujitutumua nyuma ya keyboard.
[/QUOTE] Sijitutumui..pitisha pua zako pale EAC Secretariat Kama hata utaingiza kwato zako..
 
Vipi kuhusu kukaa kwake madarakani kwa miaka 40,amekufundisha nini hapo
Yeye aliyekaa miaka 40 na sisi tunaobadilisha marais kila baada ya miaka 10 kuna tofauti yoyote ya kiuchumi, kisiasa na kijamii?

Sisi tunao mzigo wa kugharamia marais wastaafu Mwinyi, mkapa, kikwete, Karume, Salmini, nk
 
Sijitutumui..pitisha pua zako pale EAC Secretariat Kama hata utaingiza kwato zako..
you are on the right path. Keep going.
[/QUOTE] Huna haja ya kusema hayo unless una stress za kukosa kazi Basi jiongeze tupeane michongo, ukinichukulia nnadharau na ukinivaa kichwa kichwa utazipata! Am very humble
 
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.

Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,
Vipi kuhusu Bobi Wine?
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Unaweza kuwa smart kwelikweli, lakini epuka kitu kimoja kibaya sana.
"Pride. " Epuka...
 
..ana ushauri gani kwa Tz?

..kuwa tusijenge viwanda vingi?
Tujenge lakini lakini elimu kuhusu nani atanunua lazima uwe nayo kabla. Kipato cha wananchi lazima kiwe kikubwa, wananchi lazima wawe wanakopesheka, viwango vya riba za mabenki visizidi 12%, wasio na kazi wawezeshwe uwezo wa kununua, gharama za umeme Kwa unit iwe ndogo Sana, usafiri iwe huduma sio biashara. Hapo hujajifunza kitu mwenzangu?

Chunguza mishahara yetu, riba za mabenki yetu, mtangamano wetu na nchi jirani (kila siku tuko suspicious na uraia wa watu na uhusiano wa Africa Mashariki), jee bidhaa zetu zitauzwa wapi?
 
Yeye aliyekaa miaka 40 na sisi tunaobadilisha marais kila baada ya miaka 10 kuna tofauti yoyote ya kiuchumi, kisiasa na kijamii?

Sisi tunao mzigo wa kugharamia marais wastaafu Mwinyi, mkapa, kikwete, Karume, Salmini, nk
Uchumi wetu ni mkubwa sana kulinganisha na Uganda,tatizo hamsafiri,kila siku unawahi siti jf
 
Uchumi wetu ni mkubwa sana kulinganisha na Uganda,tatizo hamsafiri,kila siku unawahi siti jf
Umetumia kipimio gani kuja na hoja hii? Democrasia? Afya? Hali Bora ya maisha? Per capita income? GDP? Kiwango cha elimu? Life expectancy? FIFA ranking, au nini?
 
Umetumia kipimio gani kuja na hoja hii? Democrasia? Afya? Hali Bora ya maisha? Per capita income? GDP? Kiwango cha elimu? Life expectancy? FIFA ranking, au nini?
Kila kitu tumewazidi labda kwenye kusugua visimi wanaongoza
 
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.

Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,
Hatuna cha kujifunza kwa dikteta mbaka demokrasia.
 
Kwahyo hapo unajiona una bonge la IQ..hadi wote humu unatuona mafala..ni kipi ulichoongea cha maana hapo
Kama sio kuungaunga habar ulizozipata humu humu tu
Hahah anajiona super 'jiniasi'.
 
Back
Top Bottom