Rais mstaafu Kikwete, Ridhiwani washindwa kuhudhuria harusi ya Ali Kiba

nilikuwa najuwa tu asingeenda kupoteza mdaaa ...jama amedanga na wanawake wa kibongo weeeeeeeeeee akazalisha wa 3 sasa kuowa anaenda Mombasa kule wanakopenda mambo ya sodoma
 
sasa huyu kijana anaoa au anaolewa? Kwa nn ndoa ifungwe msikiti wa kenya na sio tanzania hiv hawa wabana pua wananini
Alipo mwanamke ndipo utapo oa sizani kama wewe unaeza kwenda kumuozesha mwanao nje ya kwako
 
sasa huyu kijana anaoa au anaolewa? Kwa nn ndoa ifungwe msikiti wa kenya na sio tanzania hiv hawa wabana pua wananini
Kidini ya kiislam mwanamke anaolewa kwao baada ya harusi kukamilika ndio anakuwa wako rasmi unampeleka kwako
 
sasa huyu kijana anaoa au anaolewa? Kwa nn ndoa ifungwe msikiti wa kenya na sio tanzania hiv hawa wabana pua wananini
empty "" uwe unauliza kabla ya kuhoji"" unashindwa hata kutambua kuwa Tanzania aa Africa mashiriki ni nchi ambazo zinamkusanyiko wawatu "" wenye dini "kabila tofauti "" yaani unachokijua na kukiwaza wewe nikile ambacho kipo mbele ya upeo wa macho yako "" hujifunzi kutka kujua tamaduni za watu wengine""!?
ndio nyie wote "ambao mkisikia kuna watu wanakula kenge ama nyoka ""mnashangaa" wakati huo huo nchi yenu inakabila la watu wanaokula panya na mbwa"" lkini unaona. kuwa hiyo sio habari
 
Ndoa inafungwa alfajiri?!
Kwanini wamechagua hiyo time?
mkuu hii dunia ina mambo mengi sana ambayo ni siri"" ila kwa jibu LA haraqa haraqa tu "" kuna watu wengine huwa wanaoa kwa kufuata elimu ya nyota" waweza kukuta alikiba alikuwa na mademu kama 6 hivi alitka kuwaoa though akawa ana hangaika kutafuta ambaye nyota yao itaendana""

Hawa Watoto wachawi sana Hawa'' hahaaa
 
View attachment 749641
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete wamesema hawataweza kuhudhuria harusi ya mwanamuziki wa Bongo fleva nchini, Ali Kiba anayetarajia kufunga ndoa na mchumba wake, Amina Rikesh kutokana na kuwa na majukumu mengine.

Hayo yameleezwa na mtoto wa Rais Kikwete na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiwa mjini Dodoma anapohudhuria vikao vya Bunge.

Ridhiwan amesema kuwa, walipewa mwaliko wa kuhudhuria harusi ya mwanamuziki Ali kiba, lakini Rais mstaafu Kikwete kwa sasa anahudhuria shughuli nyingine Marekani, naye Ridhiwani anahudhuria vikao na shughuli mbalimbali bungeni mjini Dodoma hivyo hawataweza kuhudhuria harusi ya mwanamuziki huyo Kenya.

Mwanamuziki Ali Kiba, anatarajia kufunga ndoa kesho na mchumba wake aitwaye Amina Rikesh, alfajiri katika Msikiti wa Ummul Kulthum ulioko eneo la Kizingo, Jijini Mombasa nchini Kenya.

Awali Mama wa bibi harusi mtarajiwa, Asma Said alisema kuwa baada ya ndoa kufungwa itafuatiwa na sherehe ya kupambwa bibi harusi, ambayo itafanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini humo.


Chanzo: Mwananchi

Kwa hyo ??
 
Back
Top Bottom