Galore
JF-Expert Member
- Feb 14, 2015
- 253
- 222
Yeye,mziki wake,his lifestyle ambayo ndo trash zaidi,issa no for meHukubali his music au yeye kwa ujumla?
Yeye,mziki wake,his lifestyle ambayo ndo trash zaidi,issa no for meHukubali his music au yeye kwa ujumla?
Kula ndimu mkuuSijui kwanini nikimwona Ommy dimpoz nachefukwa
Alipo mwanamke ndipo utapo oa sizani kama wewe unaeza kwenda kumuozesha mwanao nje ya kwakosasa huyu kijana anaoa au anaolewa? Kwa nn ndoa ifungwe msikiti wa kenya na sio tanzania hiv hawa wabana pua wananini
Labda uliwahi kumtamani kablaSijui kwanini nikimwona Ommy dimpoz nachefukwa
Duh upo kwenye nyota acha hizo kwanini usikifiri walau wanakwepa msongamano wawatu?Wenzetu huwa wanaenda na nyota na mambo kibao na unaweza kuta ndoa ikakaa wiki moja. Wastara na Mbunge.
Kidini ya kiislam mwanamke anaolewa kwao baada ya harusi kukamilika ndio anakuwa wako rasmi unampeleka kwakosasa huyu kijana anaoa au anaolewa? Kwa nn ndoa ifungwe msikiti wa kenya na sio tanzania hiv hawa wabana pua wananini
empty "" uwe unauliza kabla ya kuhoji"" unashindwa hata kutambua kuwa Tanzania aa Africa mashiriki ni nchi ambazo zinamkusanyiko wawatu "" wenye dini "kabila tofauti "" yaani unachokijua na kukiwaza wewe nikile ambacho kipo mbele ya upeo wa macho yako "" hujifunzi kutka kujua tamaduni za watu wengine""!?sasa huyu kijana anaoa au anaolewa? Kwa nn ndoa ifungwe msikiti wa kenya na sio tanzania hiv hawa wabana pua wananini
mkuu hii dunia ina mambo mengi sana ambayo ni siri"" ila kwa jibu LA haraqa haraqa tu "" kuna watu wengine huwa wanaoa kwa kufuata elimu ya nyota" waweza kukuta alikiba alikuwa na mademu kama 6 hivi alitka kuwaoa though akawa ana hangaika kutafuta ambaye nyota yao itaendana""Ndoa inafungwa alfajiri?!
Kwanini wamechagua hiyo time?
JK the international statesman...Duhh! Kiukweli jk anapenda trips, lazima asepe USA japo anaenda kikazi labda.
Empty set a.k.a zero brain... Ulizaga kama hujui...sasa huyu kijana anaoa au anaolewa? Kwa nn ndoa ifungwe msikiti wa kenya na sio tanzania hiv hawa wabana pua wananini
Kuna methali inasema usimuamshe...........Mzeee wa kupaaaa nje daaar uncle magufuli nawewe ruka Siku moja uonje huo utamu wa huko nje
Vasco da Gama wa kizazi kipyaDuhh! Kiukweli jk anapenda trips, lazima asepe USA japo anaenda kikazi labda.
The VoyagerVasco da Gama wa kizazi kipya
Kwa hyo ??View attachment 749641
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete wamesema hawataweza kuhudhuria harusi ya mwanamuziki wa Bongo fleva nchini, Ali Kiba anayetarajia kufunga ndoa na mchumba wake, Amina Rikesh kutokana na kuwa na majukumu mengine.
Hayo yameleezwa na mtoto wa Rais Kikwete na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiwa mjini Dodoma anapohudhuria vikao vya Bunge.
Ridhiwan amesema kuwa, walipewa mwaliko wa kuhudhuria harusi ya mwanamuziki Ali kiba, lakini Rais mstaafu Kikwete kwa sasa anahudhuria shughuli nyingine Marekani, naye Ridhiwani anahudhuria vikao na shughuli mbalimbali bungeni mjini Dodoma hivyo hawataweza kuhudhuria harusi ya mwanamuziki huyo Kenya.
Mwanamuziki Ali Kiba, anatarajia kufunga ndoa kesho na mchumba wake aitwaye Amina Rikesh, alfajiri katika Msikiti wa Ummul Kulthum ulioko eneo la Kizingo, Jijini Mombasa nchini Kenya.
Awali Mama wa bibi harusi mtarajiwa, Asma Said alisema kuwa baada ya ndoa kufungwa itafuatiwa na sherehe ya kupambwa bibi harusi, ambayo itafanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini humo.
Chanzo: Mwananchi
hata bahati mbaya siweziLabda uliwahi kumtamani kabla
teh jibu mujarabu kabisaUwe unauliza ueleweshwe ebwoo!!
Ndoa huwa inafungwa kwao na mwanamke, ikishafungwa ndiyo unamchukua kiondoka naye. Ukiona mmefungia kwa mwanaume basi jua huyo mwanamke hana kwao, mmemuokota mjini
Anaenda kuoa Mombasasasa huyu kijana anaoa au anaolewa? Kwa nn ndoa ifungwe msikiti wa kenya na sio tanzania hiv hawa wabana pua wananini