Rais mstaafu Kikwete, Ridhiwani washindwa kuhudhuria harusi ya Ali Kiba

Watanzania:Mambo ya msingi vs upupu!
312564.jpg
 
sasa huyu kijana anaoa au anaolewa? Kwa nn ndoa ifungwe msikiti wa kenya na sio tanzania hiv hawa wabana pua wananini
We nawe, usivyovijua uliza uambiwe! Mtoto wa kike anapoolewa hufwatwa kwao na sio ajilete, chaaa! Mshazoea kuokotana okotana ovyo a.k.a karibu tuishi! Pole wee!!
 
mkuu hii dunia ina mambo mengi sana ambayo ni siri"" ila kwa jibu LA haraqa haraqa tu "" kuna watu wengine huwa wanaoa kwa kufuata elimu ya nyota" waweza kukuta alikiba alikuwa na mademu kama 6 hivi alitka kuwaoa though akawa ana hangaika kutafuta ambaye nyota yao itaendana""

Hawa Watoto wachawi sana Hawa'' hahaaa
Mmh, waswahili punguzeni tui mtie mchele! Ktk uislam ndoa haina muda so mtakavyoona inafaa ndo hivyo hivyo. Tatizo mnapenda kuishi kwa kukariri kwamba kila ndoa ya kiislam lazima ifungwe ijumaa tena saa saba mchana ili mkadoee 'cha mtume', wengine ndo wanakukomesheni kwa style hiyo, ndoa inafungwa 'awali ya saa', waroho na wambea bado mmelala mkiamka mnakuta story tu goma lishasepa ndo mnabaki kuumia na kusema sema ovyoo!!
 
View attachment 749641
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete wamesema hawataweza kuhudhuria harusi ya mwanamuziki wa Bongo fleva nchini, Ali Kiba anayetarajia kufunga ndoa na mchumba wake, Amina Rikesh kutokana na kuwa na majukumu mengine.

Hayo yameleezwa na mtoto wa Rais Kikwete na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiwa mjini Dodoma anapohudhuria vikao vya Bunge.

Ridhiwan amesema kuwa, walipewa mwaliko wa kuhudhuria harusi ya mwanamuziki Ali kiba, lakini Rais mstaafu Kikwete kwa sasa anahudhuria shughuli nyingine Marekani, naye Ridhiwani anahudhuria vikao na shughuli mbalimbali bungeni mjini Dodoma hivyo hawataweza kuhudhuria harusi ya mwanamuziki huyo Kenya.

Mwanamuziki Ali Kiba, anatarajia kufunga ndoa kesho na mchumba wake aitwaye Amina Rikesh, alfajiri katika Msikiti wa Ummul Kulthum ulioko eneo la Kizingo, Jijini Mombasa nchini Kenya.

Awali Mama wa bibi harusi mtarajiwa, Asma Said alisema kuwa baada ya ndoa kufungwa itafuatiwa na sherehe ya kupambwa bibi harusi, ambayo itafanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini humo.


Chanzo: Mwananchi

Kwani kulikuwa na ulazima kama siyo umuhimu wowote ule wa Wao kwenda? Ninachojua tu na nina uhakika nacho 200% ni kwamba Harusi ya Nasib Abdul ( Diamond Platinum ) Watanzania wote Milioni 54.6 tutahudhuria pamoja na ' Malaika ' wa Mbinguni nao pia watakuwepo kwani ndiyo ' Msanii ' mwenye umuhimu sana si nchini Tanzania bali Ulimwenguni / Duniani kote.
 
Mmh, waswahili punguzeni tui mtie mchele! Ktk uislam ndoa haina muda so mtakavyoona inafaa ndo hivyo hivyo. Tatizo mnapenda kuishi kwa kukariri kwamba kila ndoa ya kiislam lazima ifungwe ijumaa tena saa saba mchana ili mkadoee 'cha mtume', wengine ndo wanakukomesheni kwa style hiyo, ndoa inafungwa 'awali ya saa', waroho na wambea bado mmelala mkiamka mnakuta story tu goma lishasepa ndo mnabaki kuumia na kusema sema ovyoo!!
elimu ni bahari "" baki na kile unachokijua "" namimk niache nibaki nakile nachokijua mkuu..sidhani kama kutakuwa na aliyepungukiwa na kitu kati Yetu ""
 
Kwani kulikuwa na ulazima kama siyo umuhimu wowote ule wa Wao kwenda? Ninachojua tu na nina uhakika nacho 200% ni kwamba Harusi ya Nasib Abdul ( Diamond Platinum ) Watanzania wote Milioni 54.6 tutahudhuria pamoja na ' Malaika ' wa Mbinguni nao pia watakuwepo kwani ndiyo ' Msanii ' mwenye umuhimu sana si nchini Tanzania bali Ulimwenguni / Duniani kote.
Toa uhuni hapa watanzania wote, na malaika wa mbinguni?
 
Kwani kulikuwa na ulazima kama siyo umuhimu wowote ule wa Wao kwenda? Ninachojua tu na nina uhakika nacho 200% ni kwamba Harusi ya Nasib Abdul ( Diamond Platinum ) Watanzania wote Milioni 54.6 tutahudhuria pamoja na ' Malaika ' wa Mbinguni nao pia watakuwepo kwani ndiyo ' Msanii ' mwenye umuhimu sana si nchini Tanzania bali Ulimwenguni / Duniani kote.
Unamzungumzia diamond yuppie? Huyu wa kungonolize hadharani na kila mwanamke au wewe Ali kiba kafanya kitu cha kipekee na fundisho kubwa Sana Kwa wasaniii diamond kichwani hamna kitu ndio maana unamtukana baba yake hadharani hivi mtu kupiga picha za uchi kila Siku kuonesha wanawake wakiwa faragha umuite ni mwanaume? Ebu usimringanishe Ali kiba na diamond Yule alikiba sio Mtoto Wa mitaaani wazazi wake wote wanaheshima Ndugu na yeye mwenyewe anajiheshimu ndio maana ameenda kuoa kwenye ukooo wa kieshima unaojitambua hivyo Alli ameweka rekod kubwa na wasaniii wamechanganyikiwa kugundua kuwa kiba amekuwa maarufu mno hao wa vichupi uwakutanishe na watu maarufu kwenye arusi sio sawa yani Kama Yule aliekuwa anafanya ngono kinyume na maumbile anajipiga picha Leo aolewe Mimi niende kwenye hiyo arusi thubutu
 
Back
Top Bottom