Long live JK
Long live JK
....mwanangu hadi Degree asome Harvard University au Stanford University au London School of Economics
In sha llah, kwa juhud na maarifa
Usisahau UC Berkeley na MITLong live JK
....mwanangu hadi Degree asome Harvard University au Stanford University au London School of Economics
In sha llah, kwa juhud na maarifa
Andaa 64,906usd kwa mwaka hapo harvardLong live JK
....mwanangu hadi Degree asome Harvard University au Stanford University au London School of Economics
In sha llah, kwa juhud na maarifa
hapo sidhani kama kuna mtoto wa maskini.
Wote tulikuwa na ndoto hizo ila uhalisia wakapitia UDSMLong live JK
....mwanangu hadi Degree asome Harvard University au Stanford University au London School of Economics
In sha llah, kwa juhud na maarifa
AmeeeenUniversity Of London... Tumbe Mungu ajalie wepesi alete rehema na neema zake.
Wabillah tawfiq
Noted with thanksUsisahau UC Berkeley na MIT
Inahitaji maandalizi kufikia hayo malengo.Wote tulikuwa na ndoto hizo ila uhalisia wakapitia UDSM
Shida si pesa ila vichwa vya watoto. Kuhusu pesa kama unataka kuwekeza vizuri itunze in USD maana madafu, kalagabahoInahitaji maandalizi kufikia hayo malengo.
Nimeanza kuweka fixed account kwa mwanangu mpenz
Kufikia muda wa kuanza Degree ya kwanza nitakuwa nina TZS 60 na kuendelea
Nasikia na wewe umemaliza Lumumba Havard university, ni kweli?Sawa
Nakubaliana nawe. Inahitajika kuweka msingi kwa mtoto kuanzia S/msingi na sekondari..Shida si pesa ila vichwa vya watoto. Kuhusu pesa kama unataka kuwekeza vizuri itunze in USD maana madafu, kalagabaho
Ameathiriwa na jeshiAna style yake fulani hivi ya kusimama