Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akutana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

Kwa Msaada wa Watu wa Marekani kupitia Ubalozi wao, Mfuko huu Maalum wa Rais wa Taifa la Marekani, umefanya makubwa. Soma zaidi kuhusu mradi wa PEPFAR :

Dar es Salaam, TANZANIA. At a virtual ceremony from Dar es Salaam on April 30, 2021, United States Ambassador Dr. Donald J. Wright awarded grants from the U.S. Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief (AFHR) to 11 registered civil society, nonprofit, and faith-based organizations from across Tanzania to implement community-led monitoring projects that improve HIV services in the country.

Funding for the grants comes from the U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR), which represents the U.S. Government’s commitment to confront the HIV/AIDS epidemic. It remains the single largest effort by any country in the world to combat a single disease. Since PEPFAR’s inception in 2003, the U.S. Government has contributed more than $5 billion to address HIV in Tanzania alone.

Grant recipients responded to an open call for proposals to implement community-led monitoring (CLM) activities in their local communities. The projects will focus on improving the quality of HIV services by gathering data about HIV patients’ problems, challenges, and barriers related to HIV service access, uptake, and retention at health facilities. The results from these monitoring efforts will assist health facilities and local government to make continuous quality improvements to the HIV services offered. This will advance the standard of care and make the process more straightforward and customer service oriented for people living with HIV. The goal is to ultimately improve the quality of life for PEPFAR beneficiaries.

The Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief (AFHR) started in 2009 and has provided grants to more than 140 community-based and nonprofit organizations in Tanzania. The United States is proud to continue the strong tradition of partnering with these organizations in pursuit of Tanzania’s HIV epidemic control goals.


The 2021 Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief (AFHR) awardees:

  1. Thubutu Africa Initiative (TAI) will reduce barriers that hinder people living with HIV from accessing care and treatment services in in Shinyanga DC, Shinyanga.
  2. SIKIKA will enhance availability of and access to quality HIV services in Ukerewe district, Mwanza
  3. Tanzania Red Cross Society (TRCS) will address barriers of health services delivery in Shinyanga DC, Shinyanga.
  4. Integrated Rural Development Organization (IRDO) will enhance HIV service delivery at Nyasa district, Ruvuma.
  5. Women to Children Foundation (WOCHFO) will improve quality of HIV services through Community-Led monitoring in Ludewa district, Njombe.
  6. Kilimanjaro Women Information Exchange and Community Organization (KWIECO) will improve access to HIV health services to people living with HIV in Moshi district, Kilimanjaro.
  7. Tanzania Network of Women Living with HIV/AIDS(TNW+) will utilize people living with HIV/AIDS experiences to promote and improve HIV and TB services in 25 wards of Ukerewe district, Mwanza
  8. STEPS Tanzania will improve access, uptake, and the quality of HIV services among HIV beneficiaries in Kisarawe district, Pwani.
  9. Education Outreach Tanzania (EDOTA) will improve HIV service delivery in nine health facilities in Mpanda district, Katavi.
  10. Agape AIDS Control Programme will promote feedback mechanisms for people living with HIV and encourage data driven changes in care and treatment at health facilities in Shinyanga district, Shinyanga.
  11. Community Development Trust Fund of Tanzania (CDTF) will build capacity of HIV and health services in Kisarawe district, Pwani
Source : U.S. Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief Gives Opportunities for Local Organizations to Contribute to National HIV Epidemic Control | U.S. Embassy in Tanzania
Umeandika sana halafu hakuna hta atakae soma shida inaanzia hapo
 
Safi Sana. Anampa support Rais wetu kipenzi SSH. Ambaye hataki pole zake. KAZI Iendeleee na wenye mapenzi mema na nchi Waendeleze. Hutaki Acha tupo tutaendeleza.
 
Kwa Msaada wa Watu wa Marekani kupitia Ubalozi wao, Mfuko huu Maalum wa Rais wa Taifa la Marekani, umefanya makubwa. Soma zaidi kuhusu mradi wa PEPFAR :

Dar es Salaam, TANZANIA. At a virtual ceremony from Dar es Salaam on April 30, 2021, United States Ambassador Dr. Donald J. Wright awarded grants from the U.S. Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief (AFHR) to 11 registered civil society, nonprofit, and faith-based organizations from across Tanzania to implement community-led monitoring projects that improve HIV services in the country.

Funding for the grants comes from the U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR), which represents the U.S. Government’s commitment to confront the HIV/AIDS epidemic. It remains the single largest effort by any country in the world to combat a single disease. Since PEPFAR’s inception in 2003, the U.S. Government has contributed more than $5 billion to address HIV in Tanzania alone.

Grant recipients responded to an open call for proposals to implement community-led monitoring (CLM) activities in their local communities. The projects will focus on improving the quality of HIV services by gathering data about HIV patients’ problems, challenges, and barriers related to HIV service access, uptake, and retention at health facilities. The results from these monitoring efforts will assist health facilities and local government to make continuous quality improvements to the HIV services offered. This will advance the standard of care and make the process more straightforward and customer service oriented for people living with HIV. The goal is to ultimately improve the quality of life for PEPFAR beneficiaries.

The Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief (AFHR) started in 2009 and has provided grants to more than 140 community-based and nonprofit organizations in Tanzania. The United States is proud to continue the strong tradition of partnering with these organizations in pursuit of Tanzania’s HIV epidemic control goals.


The 2021 Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief (AFHR) awardees:

  1. Thubutu Africa Initiative (TAI) will reduce barriers that hinder people living with HIV from accessing care and treatment services in in Shinyanga DC, Shinyanga.
  2. SIKIKA will enhance availability of and access to quality HIV services in Ukerewe district, Mwanza
  3. Tanzania Red Cross Society (TRCS) will address barriers of health services delivery in Shinyanga DC, Shinyanga.
  4. Integrated Rural Development Organization (IRDO) will enhance HIV service delivery at Nyasa district, Ruvuma.
  5. Women to Children Foundation (WOCHFO) will improve quality of HIV services through Community-Led monitoring in Ludewa district, Njombe.
  6. Kilimanjaro Women Information Exchange and Community Organization (KWIECO) will improve access to HIV health services to people living with HIV in Moshi district, Kilimanjaro.
  7. Tanzania Network of Women Living with HIV/AIDS(TNW+) will utilize people living with HIV/AIDS experiences to promote and improve HIV and TB services in 25 wards of Ukerewe district, Mwanza
  8. STEPS Tanzania will improve access, uptake, and the quality of HIV services among HIV beneficiaries in Kisarawe district, Pwani.
  9. Education Outreach Tanzania (EDOTA) will improve HIV service delivery in nine health facilities in Mpanda district, Katavi.
  10. Agape AIDS Control Programme will promote feedback mechanisms for people living with HIV and encourage data driven changes in care and treatment at health facilities in Shinyanga district, Shinyanga.
  11. Community Development Trust Fund of Tanzania (CDTF) will build capacity of HIV and health services in Kisarawe district, Pwani
Source : U.S. Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief Gives Opportunities for Local Organizations to Contribute to National HIV Epidemic Control | U.S. Embassy in Tanzania
Aids is nonsense
 
Kwa Msaada wa Watu wa Marekani kupitia Ubalozi wao, Mfuko huu Maalum wa Rais wa Taifa la Marekani, umefanya makubwa. Soma zaidi kuhusu mradi wa PEPFAR :

Dar es Salaam, TANZANIA. At a virtual ceremony from Dar es Salaam on April 30, 2021, United States Ambassador Dr. Donald J. Wright awarded grants from the U.S. Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief (AFHR) to 11 registered civil society, nonprofit, and faith-based organizations from across Tanzania to implement community-led monitoring projects that improve HIV services in the country.

Funding for the grants comes from the U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR), which represents the U.S. Government’s commitment to confront the HIV/AIDS epidemic. It remains the single largest effort by any country in the world to combat a single disease. Since PEPFAR’s inception in 2003, the U.S. Government has contributed more than $5 billion to address HIV in Tanzania alone.

Grant recipients responded to an open call for proposals to implement community-led monitoring (CLM) activities in their local communities. The projects will focus on improving the quality of HIV services by gathering data about HIV patients’ problems, challenges, and barriers related to HIV service access, uptake, and retention at health facilities. The results from these monitoring efforts will assist health facilities and local government to make continuous quality improvements to the HIV services offered. This will advance the standard of care and make the process more straightforward and customer service oriented for people living with HIV. The goal is to ultimately improve the quality of life for PEPFAR beneficiaries.

The Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief (AFHR) started in 2009 and has provided grants to more than 140 community-based and nonprofit organizations in Tanzania. The United States is proud to continue the strong tradition of partnering with these organizations in pursuit of Tanzania’s HIV epidemic control goals.


The 2021 Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief (AFHR) awardees:

  1. Thubutu Africa Initiative (TAI) will reduce barriers that hinder people living with HIV from accessing care and treatment services in in Shinyanga DC, Shinyanga.
  2. SIKIKA will enhance availability of and access to quality HIV services in Ukerewe district, Mwanza
  3. Tanzania Red Cross Society (TRCS) will address barriers of health services delivery in Shinyanga DC, Shinyanga.
  4. Integrated Rural Development Organization (IRDO) will enhance HIV service delivery at Nyasa district, Ruvuma.
  5. Women to Children Foundation (WOCHFO) will improve quality of HIV services through Community-Led monitoring in Ludewa district, Njombe.
  6. Kilimanjaro Women Information Exchange and Community Organization (KWIECO) will improve access to HIV health services to people living with HIV in Moshi district, Kilimanjaro.
  7. Tanzania Network of Women Living with HIV/AIDS(TNW+) will utilize people living with HIV/AIDS experiences to promote and improve HIV and TB services in 25 wards of Ukerewe district, Mwanza
  8. STEPS Tanzania will improve access, uptake, and the quality of HIV services among HIV beneficiaries in Kisarawe district, Pwani.
  9. Education Outreach Tanzania (EDOTA) will improve HIV service delivery in nine health facilities in Mpanda district, Katavi.
  10. Agape AIDS Control Programme will promote feedback mechanisms for people living with HIV and encourage data driven changes in care and treatment at health facilities in Shinyanga district, Shinyanga.
  11. Community Development Trust Fund of Tanzania (CDTF) will build capacity of HIV and health services in Kisarawe district, Pwani
Source : U.S. Ambassador’s Fund for HIV/AIDS Relief Gives Opportunities for Local Organizations to Contribute to National HIV Epidemic Control | U.S. Embassy in Tanzania
Upendo wa ajabu namna hii wanaotuonyesha wamarekani kwa WaTanzania, unatokana na nini hasa? Tujiulize tu kwa akili za kawaida kabisa...; yaani mtu ukimwomba bilioni 5 za kununua ARV anakupa, na sharti hizo ARV ununue kwake, kwahiyo pesa yote anabaki nayo yeye, halafu baada ya miaka mi5 anaanza kukuuzia mashine za dialysis, za moyo nk. baada ya ARV kufanya kazi yake kwenye figo, ini na moyo. Ila ukimwomba mkopo (sio msaada) ujenge bwawa la kufua umeme anakwambia unaharibu mazingira, huku yeye kajenga yasiyo na idadi, ili aje akukodishie Symbion na Aggreko kwa capacity charge ya bilioni 5 kwa siku.

Mi nikiwa Rais, wendawazimu vipofu kama wewe wasioona ushenzi na udhalimu wa hao nguruwe weupe, ningekuwa nawatandika risasi hadharani kila siku, y mnajitia upofu??!!!
 
Wadau wa JF


Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Donald Wright
Balozi Wright amempongeza Dkt Kikwete kwa mahusiano mazuri baina ya Tanzania na Marekani

Balozi huyo pia amempongeza Dkt Kikwete kwa jitihada kubwa alizozifanya kupambana na ugonjwa wa Ukimwi kupitia mradi wa PEPFA

Akimaliza akaonane na wa 'Rwanda' pia.
 
Hilo jamaa buuree kabisa.
Hao “mabeberu” huwa hawatulazimishi kuwagawia bure rasilimali zetu. Ni viongozi wa serikali ya CCM hupenda kuandaa na kusaini mikataba ya kifisadi na “mabeberu”, period. “Beberu” akidai mkataba safi usio na ufisadi ananyimwa fursa na kutangaziwa kila aina ya mipasho.
Wapinzani wakidai mikataba ijadiliwe bungeni wanashambuliwa kwamba hizo ni “siri za nchi”. Kufichua ufisadi ni usaliti kwa taifa; eti unalivua nguo taifa! Ndio sababu hadi leo CHADEMA inatambulika na serikali na manazi wake kama “public enemy number one”. Mwendazake alitaka kuiangamiza na viongozi wake literally.
Huu ujinga wa kudai “mabeberu” wanataka kutuibia ni aibu kubwa sana ya awamu ya 5. Hata corona: eti nayo ni njama za mabeberu kutaka kutuibia rasilimali zetu; wtf! Hakuna mkoloni anayemshikia bunduki mtu siku hizi. Mnajipeleka wenyewe na propoza zenu za kiwizi halafu mnadai mmebakwa! Mbona nchi makini zinasaini mikataba ya maana sana?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tunarudi kule kule. Yaani tutapigwa tena miradi ya agreko meremeta richmond inaweza kuanza kurudi tena
 
Issue si kutoshirikiana.issue ni he tunarudi kushirikiana Kwa mtindo wa awamu ya nne .kuwa vichwa boga huku resources tunagawa bure. Every one knows hata wewe unajua kuwa ni very sensitive issue ngozi nyeusi kuwa na mutual benefit na mabeberu nao wanalijua. Mwenda zake alilijua ndo maana alegeukwa nao Ila pia na watu kama nyie
Mwendazake yule yule,aliyechukua vyanzo vya mapato halmashauri na kusema ameongeza mapato?,yule yule aliyekua anakomba hela hazina na kujenga kijijini kwao?,yule yule kwa miaka mitano hajaajiki walimu na wanakada za afya,huku akipiga makelele elimu ni bure?
 
Back
Top Bottom