Rais Mstaafu Dkt. Kikwete akutana na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

Wanadhani ndiye aliyesababisha kifo cha mkemia, wasijue wao ndiyo walisababisha kwa kumpamba kwa mapambio hata pale alipokuwa anakosea. Kuna mtu aliye kwenye system na cheo kizuri tu nilizungumza naye akaniambia ile inner circle ya mkemia sasa hivi ndiyo inaona makosa waliyokuwa wanafanya na kuanza kujilaumu. BTW Kikwete naye utawala wake ulikuwa mbovu sana hivyo tuombe Mungu tuzirudi tena kule.
Bure turudi utawala kama wa kikwete,vijana wanapata mikopo,ajira zinatoka,watu vipato vinaongezeka......kuliko kurudi uchumi wa kati wakujenga kijijini kwa rais tu,huku sehemu zingine zikibaki hoehae
 
Kuna watu hawana hata aibu asee!! Lakini kurudi madarakani Bila kuchaguliwa hii ni kinyume na katiba pia sio demokrasia.
Boraa kuliko kua na rais anayeua raia wake wanaomkosa,mwenye kazi ya kuchota hela hazina,na kujiamulia tu kufanya anachokitaka
 
Back
Top Bottom