Bure turudi utawala kama wa kikwete,vijana wanapata mikopo,ajira zinatoka,watu vipato vinaongezeka......kuliko kurudi uchumi wa kati wakujenga kijijini kwa rais tu,huku sehemu zingine zikibaki hoehaeWanadhani ndiye aliyesababisha kifo cha mkemia, wasijue wao ndiyo walisababisha kwa kumpamba kwa mapambio hata pale alipokuwa anakosea. Kuna mtu aliye kwenye system na cheo kizuri tu nilizungumza naye akaniambia ile inner circle ya mkemia sasa hivi ndiyo inaona makosa waliyokuwa wanafanya na kuanza kujilaumu. BTW Kikwete naye utawala wake ulikuwa mbovu sana hivyo tuombe Mungu tuzirudi tena kule.