bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,360
huyo ni IDRISA ABDUL WAKIL
Alikuwa rais kwa kipindi gani huko Zenji, nisaidie maana kidogo nimesahau somo la uraia
huyo ni IDRISA ABDUL WAKIL
Alikuwa rais kwa kipindi gani huko Zenji, nisaidie maana kidogo nimesahau somo la uraia
sasa kwanini unaogopa kusema ukweli.?Hahahahaah! Duh !! afadhali wewe umesema maana nilikuwa naogopa kusema, Ni kweli kabisaaaaaaaaa!!! Yupo kizuizini mpk leo tangu lilipojulikana anataka Kuvunja Muungano.
Mhhhhhhhhhhhh! Taamu, Nchi hii unaijua vizuri, ukisema ukweli wanaanza kukutafuta, na wakikupata na wewe unawekwa kizuizini au unapotea kabisa, kama ulivyosema yule mwanajeshi aliyekuwa na Abdu Jumbe hujui yuko wapi mpk sasa, nani anayataka hayo!!!sasa kwanini unaogopa kusema ukweli.?
Kibunago & Mbuzi Mzee & Baba_Enock
Kamati kuu ya CCM kabla ya "Generation Magamba"
Nyuma toka mashoto:
Major General Abdallah Said NATEPE(RIP); Dr Salim Ahmed Salim; Getrude Mongella; Maalim Seif Sharif Khamad; Colonel Seif Bakari (RIP); Dawood Mwakawago (RIP): Colonel Moses Mnauye(RIP); Paolo Sozigwa
Mbele toka mashoto:
Dr Salmin Amour Jumaa;??????;Hassan Nassoro Moyo;Edward Moringe Sokoine(RIP); Aboud Jumbe Mwinyi; Julius Kambarage Nyerere(RIP); Rashid Mfaume Kawawa(RIP); Cleopa David Msuya; Kingunge Ngombale Mwiru
![]()