MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,859
mkuu huwa anafariki
Kufa na kufariki ni sawa
mkuu huwa anafariki
Kibunago & Mbuzi Mzee:
Alitekwa kivipi?huyo hakustaafu alitekwa na kuhifadhiwa humo kigamboni mpaka leo hii kisa muungano mavi unaotusumbua mpaka leo.
Kibunago & Mbuzi Mzee:
Naomba utambulisho wa hawa katika picha hii:
wa kwanza kutoka kushoto?
wa pili kutoka kushoto?
wa tatu kutoka kushoto?
wa kwanza kulia?
Mstari wote wa nyuma? (except Mama Mogela & Maali Seif)
huyo hakustaafu alitekwa na kuhifadhiwa humo kigamboni mpaka leo hii kisa muungano mavi unaotusumbua mpaka leo.
wakati akiwa raisi wa zanzibar alisaini mkataba fulani wa kuuvunja muungano bahati mbaya maalim seif sharif hamad akauiba na kumpelekea nyerere jumbe akaitwa ghafla dodoma akiwa yeye na meja fulani wa jeshi jina limenitoka kuanzia hapo uraisi ikawa ndio mwisho na akawekwa kigamboni aishipo hadi sasa na ndio ulikuwa mwisho wa uraisi wake.yule mwanajeshi hadi leo haijulikani mahali alipo.sasa hii inatofauti gani na kutekwa mkuu tukutuku.Alitekwa kivipi?
sina hasira nasema ukweli jumbe alitekwa na hadi leo yupo kizuizini.Tafadhali jaribu kutohoa maneno yako japokuwa unaongozwa na hasira.
Sawa mkuu nimekusoma vizuri sana!wakati akiwa raisi wa zanzibar alisaini mkataba fulani wa kuuvunja muungano bahati mbaya maalim seif sharif hamad akauiba na kumpelekea nyerere jumbe akaitwa ghafla dodoma akiwa yeye na meja fulani wa jeshi jina limenitoka kuanzia hapo uraisi ikawa ndio mwisho na akawekwa kigamboni aishipo hadi sasa na ndio ulikuwa mwisho wa uraisi wake.yule mwanajeshi hadi leo haijulikani mahali alipo.sasa hii inatofauti gani na kutekwa mkuu tukutuku.
huyo hakustaafu alitekwa na kuhifadhiwa humo kigamboni mpaka leo hii kisa muungano mavi unaotusumbua mpaka leo.
wakati akiwa raisi wa zanzibar alisaini mkataba fulani wa kuuvunja muungano bahati mbaya maalim seif sharif hamad akauiba na kumpelekea nyerere jumbe akaitwa ghafla dodoma akiwa yeye na meja fulani wa jeshi jina limenitoka kuanzia hapo uraisi ikawa ndio mwisho na akawekwa kigamboni aishipo hadi sasa na ndio ulikuwa mwisho wa uraisi wake.yule mwanajeshi hadi leo haijulikani mahali alipo.sasa hii inatofauti gani na kutekwa mkuu tukutuku.
alikuwa raisi wa zanzibar na hata kama alikuwa akiishi kigamboni baada ya kuvuliwa uraisi nyumba yake iligeuka kama kifungoni hadi leo.Sitaki kuongelea hayo mengine lakini hapo kwenye RED umenishangaza
kidogo. Kwani kabla ya hapo alikuwa akiishi wapi?...
pale aliwekwa kizuizini toka alipovuliwa uraisi wake,na kulingana na misimamo yake wasingeweza kumwacha aende zanzibar kwani walihisi angeweza kuamsha mavugu vugu mengine.mbona mwenyewe habanduki tz? Si aende kwao zenj kama alikuwa anamaanisha kweli?
Huyo mzee alieko katikati ya Mwinyi na Komandoo Salimin Amour ndo nani tena maana katika histori yangu atakuwa ni rais ambae hakutajwa sana kwenye maskio ya watu wengi sana
huyo hakustaafu alitekwa na kuhifadhiwa humo kigamboni mpaka leo hii kisa muungano mavi unaotusumbua mpaka leo.