Hahahah serikali tajiri yenye huduma mbovu za jamii
Ndo maana yanamshinda
Hahahah serikali tajiri yenye huduma mbovu za jamii
Daah Magu atafeli kuliko yeyote!!Ndo maana yanamshinda
Baadhi yetu tuliliona hilo tokea awali kabisa....Huyo hakuna kitu......,CCM walibug sana, huyo ndo anaenda kuwa raisi mbovu kuwah kutokea Tz Hamna lolote....2020 tupa kule kabisa aisee
Hatukuhitaji spidi tu katika kuchukua maamuzi bali Speed & Accuracy, sio leo unateua mara kesho umetengua, leo umesema hili kesho unapinga, wakati huo huo unaligawanya taifa kwa kauli zisizo eleweka.Nimekuelewa sana hoja yako, hivi tujiulize ni mambo gani amekurupuka na ni mangapi hajatumia busara?
Katika kipindi cha nyuma watu walilaumu sana viongozi kusita/kuchelewa kuchukua maamzi, pia suala la kuogopana na kulindana lil kuwa kikwazo cha maendeleo, Saizi imekuwa kinyume chake lkn bado unaona mabaya tu.
Sasa lipi zuri?
Utaitwa mchochezi mkuu punguza manenoNa kwanza tuliosema huyu ni One term president inawezekana hata asikamilishe One Term
Ofcourse sio lazima akae madarakani miaka 5.
Nilishaonya tangu Mwaka jana.Misingi ya Urais sio kusakata rhumba au push ups majukwaani
Ulionya kama nani? hivi unajua haya yote mmeyasababisha nyie wenyewe na unafiki wenu mlidhani watanzania ni wale wale wa kidanganya siku zote?lichange gia angani na wananchi waliamua ku change gia angani huko huko sasa ona tunavyo teseka, usaliti wenu ndio uliompa mtukufu kiti cha enzi. maana tulishindwa tumchague nani kati Ya Edo na Magu.Nilishaonya tangu Mwaka jana.Misingi ya Urais sio kusakata rhumba au push ups majukwaani
Yaani kote kote hakuna nafuu!Ulionya kama nani? hivi unajua haya yote mmeyasababisha nyie wenyewe na unafiki wenu mlidhani watanzania ni wale wale wa kidanganya siku zote?lichange gia angani na wananchi waliamua ku change gia angani huko huko sasa ona tunavyo teseka, usaliti wenu ndio uliompa mtukufu kiti cha enzi. maana tulishindwa tumchague nani kati Ya Edo na Magu.
Ni hatari kubwa naiona iko mbeleni .... Majuzi nilimsikia akisema kuna mtu wa serekali alikuwa ana kisima na wananchiKuongoza kwa sifa creates a very big mistake huyu jamaa anastahili kupimwa na kukemewa kwa nguvu zote kwa blunders zote anazofanya kwan wakenya husema" ukimwona nyani anakula mahindi kwenye shamba la jirani basi huna budi kumfukuza kwani huwez jua kesho atakula mahindi ya xhamba la nani"
Hivi ni mimi tu au na wengine mpo mnaoona kama vile mambo yashamshinda huyu Magufuli?
Kuna hali fulani hivi naiona ambapo jamaa ni kama anaamka tu kila asubuhi na kutoa maamuzi ya kukurupuka kurupuka.
Yaani yeye ni amri tu....fanya hivi....fukuza huyu....twende kule...nk.
Yapo baadhi ambayo ni mazuri ambapo mtu unaona kabisa hapa nia ni nzuri lakini kuna mengine yenye ukakasi sana hadi kunifanya nianze kuhoji hekima na busara za huyo bwana!
Sasa si ushangilie maana wewe fikra zako unawaza kushindwa??
Ficha ujinga wako uonekane mwerevuHivi ni mimi tu au na wengine mpo mnaoona kama vile mambo yashamshinda huyu Magufuli?
Kuna hali fulani hivi naiona ambapo jamaa ni kama anaamka tu kila asubuhi na kutoa maamuzi ya kukurupuka kurupuka.
Yaani yeye ni amri tu....fanya hivi....fukuza huyu....twende kule...nk.
Yapo baadhi ambayo ni mazuri ambapo mtu unaona kabisa hapa nia ni nzuri lakini kuna mengine yenye ukakasi sana hadi kunifanya nianze kuhoji hekima na busara za huyo bwana!