Ngoja nikusaidie, mimi ukiniuliza,
Ni upi mkakati uliopo wa kuhakikisha nishati ya umeme inapatikana nchi nzima na inakuwa ya uhakika?
Jibu langu ni moja tu, serikali inatekeleza mradi wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station wenye gharama ya dola za kimarekani bilioni 3.9 ambao ukikamilika utazalisha umeme wenye Gigawatt hours 5,920. Huo ndio mkakati uliopo.
Sasa kwa mujibu wa maelezo yako, huo mkakati wa corona hata wewe huoni, hiyo dawa ya kufubaza obvious unarefer kikombe cha madagasca, kama nchi tumebakia kumwomba Mungu na kujifukiza, una corona hujijui, huna corona hujijui, unaambiwa subiri uonyeshe dalili, zikianza dalili ukienda hospitali unaambiwa majibu yako fuata kesho, usiku unafia guest.