Hakuna nchi inaweka lockdown raia wake kama kirusi hakijaingia, nchi zote zilizoweka lockdown zilifanya hivyo baada ya corona kuwa imeshaingia, na lockdown sio njia ya kuzuia kirusi kisiingie nchini mwako bali ni njia ya kupunguza kirusi kisisambae zaidi nchi mwako baada ya kuwa kimeshaingia.
Kuhusu kufunga mipaka, nchi zilizowahi kufunga mipaka kabla ya kirusi hakijaingia ndio hizo nilizokupa na mpaka leo hazina maambukizi, zilizofunga mipaka yake baada ya kirusi kuwaingilia ni zile ambazo zinajilinda na nchi nyingine ambazo hazitoi takwimu na raia wake wanakutwa na corona wakipimwa mipakani mwaona, wanao isiwe tabu acha tuwazuie hawa kulinda raia wetu.
My advice is still the best fella, next time tusirudie hili kosa, piga pini tu, ona sasa wanatupiga wao.