Jesse Royal
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 323
- 465
Jiwe anatumia lugha ya staha?Tumia lugha ya staha.
Jiwe anatumia lugha ya staha?Tumia lugha ya staha.
Sidhani kama kuna utawala ambao umeongoza kuvunja katiba kama utawala wa awaku ya tano.kwenye katiba yapo tatizo hata katiba hamijui
Katiba inatamka wazi kuwa kila mtu anastahili heshima na kutovunjiwa utu wake sasa ukiongea na mtu maneno yasiyo na heshima unakuwa umevunja katiba na kumvunjia hshima utu wake
ina maana hata ukichora katuni ya kumdhalilisha umevunja katiba ya nchi
Two wrongs dont make a rightJiwe anatumia lugha ya staha?
Katiba inataka mtumie matusi?
Katiba inataka mtumie matusi?
That is foolish! Unataka katiba ya nchi ikufundishe kutumia mdomo wako. Ikufundishe kuacha matusi? Hiyo siyo Katiba, labda diary yako.Hayo maneno kwenye KATIBA hakuna!! Kama hawezi arudi chato mbona hatujamuomba kuwa Rais
Hapa yenyewe tunamsaidia kupata utajiri.
Hali halisi kwa takwimu zipi? Zile zile za mapapai?Rais wa JMT ameyasema hayo wakati akizungza na watanzania kupitia hadhara iliyokusanyika jana viwanja vya mnazimmoja.
Rais Magufuli amesisitiza kuwa kwa sasa hapa Tanzania kuna vyombo vingi vya habari ambavyo vimepewa leseni za kufanyia kazi na hii ni ishara kuwa kuna uhuru mkubwa wa habari hapa Tanzania.
Lakini jambo la kusikitisha ni kuona kuna upotoshaji mkubwa unaofaywa na baadhi ya vyombo vya habari. Mfano ni kuandika habari za uzushi juu ya vifo vya viongozi na kupotosha kuwa sasa kuna maambukizi makubwa ya Corona tofauti na hali halisi.
Hivyo ni wazi kuwa kama serikali inakubali kukosolewa ni jambo jema kutumia lugha nzuri kufikikisha ujumbe kwa viongozi wa serikali ili wajirekebishe.
That is foolish! Unataka katiba ya nchi ikufundishe kutumia mdomo wako. Ikufundishe kuacha matusi? Hiyo siyo Katiba, labda diary yako.
kwenye katiba yapo tatizo hata katiba hamijui
Katiba inatamka wazi kuwa kila mtu anastahili heshima na kutovunjiwa utu wake sasa ukiongea na mtu maneno yasiyo na heshima unakuwa umevunja katiba na kumvunjia hshima utu wake
ina maana hata ukichora katuni ya kumdhalilisha umevunja katiba ya nchi
Katiba inataka mtumie matusi?
Lakini jambo la kusikitisha ni kuona kuna upotoshaji mkubwa unaofaywa na baadhi ya vyombo vya habari. Mfano ni kuandika habari za uzushi juu ya vifo vya viongozi na kupotosha kuwa sasa kuna maambukizi makubwa ya Corona tofauti na hali halisi.
But one wrong can make a right?Two wrongs dont make a right
Hapo ni sawa na kwenda kumuomba kiustarabu, mwizi aliyekuibia mali zako kwa kutumia silaha, akurudishie .Je,atarudisha??!!Kwa hiyo nikisema " Ndugu Rais kutokana na changamoto zilizojitokeza wakati wa uchaguzi mkuu huu wa October 2021, (hamna haja ya kuzitaja zinajulikana kwa kila mtanzania mpiga kura) tunaomba kuanza mara moja kwa mchakato wa kuundwa kwa TUME HURU YA UCHAGUZI pamoja na mabadiliko yake ya KATIBA ambayo yataruhusu matokeo ya kura za URAIS yaweze kuhojiwa mahakamani kama kutakuwa na umuhimu huo kama zilivyo katiba za nchi karibia zote za Africa Mashariki (Majirani zetu)
Kama nikimwambia hivi nafikiri nitakuwa nimemshauri kwa staha.
Nimeuliza hivi, kama ni sawa Je nitumie njia gani kuufikisha ujumbe huu wa Katiba na Tume Huru kwa watanzania walio wengi ili hoja yangu ibakie kuwa ya staha ?Hapo ni sawa na kwenda kumuomba kiustarabu mwizi aliyekuibia mali zako kutumia silaha akurudishie .Je,atarudisha??!!
Kudai katiba na tume huru ya uchaguzi ni kutangaza vita.Kwa hiyo kwa vyovyote utakavyodai itaonekana huna lugha ya staha!Nimeuliza hivi, kama ni sawa Je nitumie njia gani kuufikisha ujumbe huu wa Katiba na Tume Huru kwa watanzania walio wengi ili hoja yangu ibakie kuwa ya staha ?
Je, Katiba yetu tuliyonayo inaruhusu kutokuheshimu mamlaka iliyoko madarakani au kutokuwaheshimu wengine? Kukosoa Serikali bila staha kwa maana nyingine ni kudharau mamlaka iliyoko madarakani. Katiba yetu inaruhusu hilo?