Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,846
- 6,439
HahahahaSawa bilali mashauzi
HahahahaSawa bilali mashauzi
Refa na Jaji majina tu lakini wote ni waamuziKASAHAU KUWA REFA KAWA JAJI
Mkuki kwa nguruwe,kwa binadamu unauma weyee
Nawapeni ushauri wa maana!
vike vijumba vyenu vya vyumba vitatu mkivotaka kuuza kwa Mil 85
ambavyo thamani yake ni 20M msihangaike kuviuza! Pangisheni, nasema PANGISHENI hata kwa laki 3 au 2 na nusu kwa mwezi! na mnaowapangisha kama ni watu binafsi walipe miezi sita sita au kama ni wa serikali basi akatwe kwa mshahara wakee kila mwezi!
Msilazimishe kuuza wapuuzi nyieeee! msirudie tena ujinga huoo wa kuuza!
kwanza kupangisha kutawaletea hela nyingi na kwa maisha yoteeee itakuwa ni mafaida tuuuu
JK alikuwa anawasifia kweli hao wakurugenzi,angalia madudu yao!!!mtu anaona kabisa hii nyumba kwa 85ml siwezi uza. Ila sababu sijajengea hela yangu na nimepiga cha juu ntauza hiyo hiyo. Nikiuza nisiuze poa tu.
Mkumbushe pia kwamba kuna kitu inaitwa collective responsibility kwenye serikali.ukiacha ushabiki wa kisiasa utaona umeandika kitu kisichofaa kuandikwa na msomi. kukaa kwake madarakani muda wote ndio iwe sababu ya kufikiri anayofanya sasa hayafai?
kuna kitu kinaitwa ' specialization' ambapo kila kiongozi kuanzia waziri kushuka chini wanatakiwa kujikita katika sehemu zao za kazi na hata anapotoa ushauri anatoa ushauri wa eneo lako. ulitaka Magufuli atoe ushauri kwa kila kitu kwani alikuwa waziri mkuu ama makamu wa rais?
je, kama aliwahi kutoa ushauri binafsi kwa rais ama hata kupendekeza kwa baraza la mwaziri, wewe ungejuaje kafanya hivyo kama yanayojadiliwa kwenye baraza hilo ni siri na wanaokuwemo humo wameapa kuilinda?
Well said! Bravoukiacha ushabiki wa kisiasa utaona umeandika kitu kisichofaa kuandikwa na msomi. kukaa kwake madarakani muda wote ndio iwe sababu ya kufikiri anayofanya sasa hayafai?
kuna kitu kinaitwa ' specialization' ambapo kila kiongozi kuanzia waziri kushuka chini wanatakiwa kujikita katika sehemu zao za kazi na hata anapotoa ushauri anatoa ushauri wa eneo lako. ulitaka Magufuli atoe ushauri kwa kila kitu kwani alikuwa waziri mkuu ama makamu wa rais?
je, kama aliwahi kutoa ushauri binafsi kwa rais ama hata kupendekeza kwa baraza la mwaziri, wewe ungejuaje kafanya hivyo kama yanayojadiliwa kwenye baraza hilo ni siri na wanaokuwemo humo wameapa kuilinda?
Yaani mijamaa mingese sana, now inatupa shida kwenye kuipata hela yetu. Mungu awalaani laana zote, awashushie tauni wao na walionufaika kwa namna yoyote!mtu anaona kabisa hii nyumba kwa 85ml siwezi uza. Ila sababu sijajengea hela yangu na nimepiga cha juu ntauza hiyo hiyo. Nikiuza nisiuze poa tu.
ulikuwa unasapotiwa na mkuu aliyepita asingeweza kumpinga kama ambavyo ukimpinga yy kesho huna kaziwakati unaanzishwa alikuwa serikalini mbona hakushauri hivyo?
ule mradi una tofauti gani na Chato Int Airport?.......... au una tofauti gani na miradi mikubwa inayotekelezwa huko Chato?.........ulikuwa unasapotiwa na mkuu aliyepita asingeweza kumpinga kama ambavyo ukimpinga yy kesho huna kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu!!! Watu wana hasira, hatari tupu.Yaani mijamaa mingese sana, now inatupa shida kwenye kuipata hela yetu. Mungu awalaani laana zote, awashushie tauni wao na walionufaika kwa namna yoyote!
Sent using Jamii Forums mobile app