Rais Magufuli, Unawaza nini?

Rais Magufuli, Unawaza nini?

Mara zote wapi?

Mbona watu wanalalamika Amerika hakuna demokrasia.

Kwa mfano, mtu anayepata kura nyingi anaweza kushindwa urais na mtu anayepata kura chache zaidi.

Hilary Clinton alimzidi Donald Trump kwa idadi ya kura, lakini Donald Trumo akawa rais.

Sasa hiyo ni demokrasia?
Hiyo ni demokrasia iko kwenye Katiba ya karibu miaka 300 ndo maana Clinton hakulalamika na alikubali kushindwa. Pamoja na Katiba yetu changa inayotaka mshindi apate simple majority bado aliyeshindwa vibaya anatangazwa mshindi. Mifano live iko mingi sote tunaifahamu.
 
Hiyo ni demokrasia iko kwenye Katiba ya karibu miaka 300 ndo maana Clinton hakulalamika na alikubali kushindwa. Pamoja na Katiba yetu changa inayotaka mshindi apate simple majority bado aliyeshindwa vibaya anatangazwa mshindi. Mifano live iko mingi sote tunaifahamu.
Soma hapa uone Wamarekaninwenyewe wanavyosema kuhusu kushindwa kwao kwenye demokrasia.

 
Sasa kuwa na mfumo ambao watu wengi hawautaki ni demokrasia?


Kuwa na mfumo ambao lobbyist wana influence kuliko wapiga kura wa kawaida ni demokrasia?

Hiyo uliyoweka ni kura ya maoni tu. Haina uzito wowote ule.

Tushaona ni mara ngapi hizo kura za maoni zimekosea.

Katiba ya Marekani inaruhusu kufanyiwa mabadiliko.

Hatua na taratibu za kuifanyia mabadiliko zipo. Article V, U.S. Constitution.

Kama kweli watu ambao hawautaki huo mfumo ni wengi kuliko wanaoutaka, basi sioni ni kwa nini wanashindwa kuubadilisha mfumo!

Wingi katika kura ya maoni si sawasawa na wingi katika kura za kweli.

Hizo hizo kura za maoni zilimwonyesha Hilary akishinda a landslide electoral college vote.

Baada ya kura za kweli kupigwa, it wasn’t even close!!

Katiba inaruhusu mabadiliko yake. Wananchi, kupitia wawakilishi wao kwenye chemba zote mbili za bunge la Marekani, wanaweza kuibadili katiba.

Sioni ambacho kisicho cha kidemokrasia hapo.
 
Mkuu Tanzania ni nchi ngumu mno kimaisha,acha nipambane huku Australia, huku maisha ni bora mno, kazi zipo nyingi tu, Tatizo ni kupata kibali,tu ,nashukuru nimeukwaa uraia baada ya kuishi hapa zaidi ya miaka 10 na kuolea, mke wangu ni mkenya aliyezaliwa hapa Australia kwa mama mu Australia na Baba mkenya.
Ila mimi nililetwa hapa kwa msaada tu miaka mingi iliyopita
Upo Kenya unauza Bia unasema Australia famba wewe


Screenshot_2019-11-06-02-41-20.jpeg
 
Hiyo uliyoweka ni kura ya maoni tu. Haina uzito wowote ule.

Tushaona ni mara ngapi hizo kura za maoni zimekosea.

Katiba ya Marekani inaruhusu kufanyiwa mabadiliko.

Hatua na taratibu za kuifanyia mabadiliko zipo. Article V, U.S. Constitution.

Kama kweli watu ambao hawautaki huo mfumo ni wengi kuliko wanaoutaka, basi sioni ni kwa nini wanashindwa kuubadilisha mfumo!

Wingi katika kura ya maoni si sawasawa na wingi katika kura za kweli.

Hizo hizo kura za maoni zilimwonyesha Hilary akishinda a landslide electoral college vote.

Baada ya kura za kweli kupigwa, it wasn’t even close!!

Katiba inaruhusu mabadiliko yake. Wananchi, kupitia wawakilishi wao kwenye chemba zote mbili za bunge la Marekani, wanaweza kuibadili katiba.

Sioni ambacho kisicho cha kidemokrasia hapo.
Katiba inaruhusu, lakini lobbyists wanaruhusu?

Mazee hujui jinsi Congress ilivyokuwa controlled na lobbyists?

Kwani huko Tanzania watu wanakolalamikia demokrasia kuna marufuku ya kubadili katiba?
 
Katiba inaruhusu, lakini lobbyists wanaruhusu?

Mazee hujui jinsi Congress ilivyokuwa controlled na lobbyists?

Kwani huko Tanzania watu wanakolalamikia demokrasia kuna marufuku ya kubadili katiba?

Lobbyists mbele ya nguvu ya umma? Sidhani kabisa kama wanaweza kufua dafu!!

Ni kwamba tu huo mfumo watu hawajauchoka kivile.

Na opinion poll si barometer nzuri ya kupima ni kiasi gani watu hawautaki tena huo mfumo.

Hizi opinion polls zenye kutumia idadi ya watu 500, 1,000, au 2,000, zinaweza kuwa manipulated na skewed kwa namna ambavyo mtu unataka upate matokeo gani.

Hivi kwa mfano unaweza kuiamini opinion poll ya FOX news juu ya Trump au opinion poll ya CNN/ MSNBC juu ya Trump bila ya kuwa na wasiwasi huenda hawasemi ukweli?
 
Lobbyists mbele ya nguvu ya umma? Sidhani kabisa kama wanaweza kufua dafu!!

Ni kwamba tu huo mfumo watu hawajauchoka kivile.

Na opinion poll si barometer nzuri ya kupima ni kiasi gani watu hawautaki tena huo mfumo.

Hizi opinion polls zenye kutumia idadi ya watu 500, 1,000, au 2,000, zinaweza kuwa manipulated na skewed kwa namna ambavyo mtu unataka upate matokeo gani.

Hivi kwa mfano unaweza kuiamini opinion poll ya FOX news juu ya Trump au opinion poll ya CNN/ MSNBC juu ya Trump bila ya kuwa na wasiwasi huenda hawasemi ukweli?
Sikuongelea watu wengi hawataki electoral college kwa sababu nimeona opinion poll.

Hii ni sentiment iliyopo kwa Wamarekani wengi. Nalijua hilo tangu awali. Opinion poll inaonesha hilo tu.
 
Chief kumbe unaamini kuna mbingu
Wapi nimeandika naamini kuna mbingu?

Nikikuuliza "kwani kuna kapera aliye kwenye ndoa?" maana yake naamini kuna kapera aliye kwenye ndoa?

Unajua kusoma kwa ufasaha na ufahamu?

Unajua kusoma kimantiki?

Unajua tofauti ya kauli na swali?

Unajua swali la ki Sokrati ni nini?

Mwalimu akikuuliza "square root ya mbili ni kubwa kuliko mbili?" maana yake anaamini square root ya mbili ni kubwa kuliko mbili?
 
Wapi nimeandika naamini kuna mbingu?

Nikikuuliza "kwani kuna kapera aliyeoa?" maana yake naamini kuna kapera aliyeoa?

Unajua kusoma kwa ufasaha?

Unajua tofauti ya kauli na swali?

Mwalimu akikuuliza "square root ya mbili ni kubwa kuliko mbili?" maana yake anaamini square root ya mbili ni kubwa kuliko mbili?
Unaposema kuna kapera aliyeoa ina maana tayari unafahamu kuna makapera ....

Uliposema kwani amerika iko mbinguni ? It means kuna mahala panaitwa mbinguni au sio.... Sasa kama wewe huamini kabisa uwepo wa mbingu unaanzaje kuitumia katika sentensi zako...

Hiyo sentensi umeiandika bila kufikiria so katika zile level mnaita sijui subconcious unajua mbingu ipo
 
Unaposema kuna kapera aliyeoa ina maana tayari unafahamu kuna makapera ....

Uliposema kwani amerika iko mbinguni ? It means kuna mahala panaitwa mbinguni au sio.... Sasa kama wewe huamini kabisa uwepo wa mbingu unaanzaje kuitumia katika sentensi zako...

Hiyo sentensi umeiandika bila kufikiria so katika zile level mnaita sijui subconcious unajua mbingu ipo
Nchi ya Wagagigikoko ni nchi ya kufikirika. Haipo. Ni ya kutungwa. Ipo katika kitabu cha Bulicheka.

Ni kama Zamunda (sinema ya "Coming To America") na Wakanda (sinema ya "Black Panther"). Zote ni nchi za kutungwa.

Nikiuliza "Kwani Amerika ni kwa Wagagigikoko?"

Nikiuliza "Kwani Amerika ni Zamunda?"

Nikiuliza "Kwani Amerika ni Wakanda?".

Maswali hayo yanamaanisha ni lazima niwe naamini hizo nchi za kufikirika zipo?

Unaelewa kwamba naweza kukubali kwamba dhana ya mbingu kuwepo inaeleweka na ipo vichwani mwa watu, bila mimi kuamini kwamba mbingu ipo?

Sawasawa na ninavyoweza kukubali kwamba dhana ya nchi za kufikirika za Zamunda, Wakanda na kwa Wagagagigikoko inaeleweka na ipo vichwani mwa watu, bila mimi kuamini nchi hizo zipo kweli?

Can you chew gum and walk?
 
Nchi ya Wagagigikoko ni nchi ya kufikirika. Haipo. Ni ya kutungwa. Ipo kstika kitabu cha Bulicheka.

Ni kama Zamunda (sinema ya "Coming To America") na Wakanda (sinema ya "Black Panther"). Zote ni nchi za kutungwa.

Nikiuliza "Kwani Amerika ni kwa Wagagigiko?"

Nikiuliza "Kwani Amerika ni Zamunda?"

Nikiuliza "Kwani Amerika ni Wakanda?".

Maswali hayo yanamaanisha ni lazima niwe naamini hizo nchi za kufikirika zipo?

Unaelewa kwamba naweza kukubali kwamba dhana ya mbingu kuwepo inaeleweka na ipo vichwani mwa watu, bila mimi kuamini kwamba mbingu ipo?

Sawasawa na ninavyoweza kukubali kwamba dhana ya nchi za kufikirika za Zamunda, Wakanda na kwa Wagagagigikoko inaeleweka na ipo vichwani mwa watu, bila mimi kuamini nchi hizo zipo kweli?

Can you chew gum and walk?
Haya bana chief uwr na wikiendi njema
 
Mara zote wapi?

Mbona watu wanalalamika Amerika hakuna demokrasia.

Kwa mfano, mtu anayepata kura nyingi anaweza kushindwa urais na mtu anayepata kura chache zaidi.

Hilary Clinton alimzidi Donald Trump kwa idadi ya kura, lakini Donald Trumo akawa rais.

Sasa hiyo ni demokrasia?
Hiyo ni kwa mujibu wa katiba yao kwa vile kuna sharti la mgombea lazima ashinde kwenye baadhi ya majimbo.

Kumbuka majimbo yale yalikuwa mataifa. Katiba yao iliweja sharti hilo ili matakwa ya majimbo hayo yasiouuzwe jwa sababu tu ya uchache wao. Naliona ni takwa fair.
 
Ukisoma habari za mitandaoni, unaweza ukadhani 90% ya wabongo ni wapinzani...sasa ngoja muda wa kudemonstrate upinzani wao kwa vitendo...

Acha CCM watawale tu
Hata wakati Mugabe anatamba ilikuwa inajulikana kuwa anaungwa mkono na 90% ya Wazimbabwe.
Siku Jeshi limemchomoa madarakani 90% ya Wazimbabwe ndio walio ingia mitaani kusherehekea kuondolewa kwake.
 
Najaribu kupata picha ya ametoka madarakani na hao anao waonyesha chuki kubwa kabisa bila kujificha wakawa madarakani atakuwa na wakati gani?
Kuwapata watu kama Mandela sio jambo rahisi ndani ya karne moja hivyo kutegemea visasi ni jambo lisilo kwepeka. Anajua hilo?
Mwinyi, Mkapa na hata JK hawakuwa wanaendesha nchi kwa chuki binafsi hivyo hata kama warithi wao wangekuwa chama tofauti bado heshima yao ingekuwepo.
Najaribu kumfananisha na kiongozi afrika mashariki na kati aliyetoka madarakani aliyekuwa na tabia hizi simpati zaidi ya Amin pekee.
Mkuu unataka kuwasafisha Museveni na Kagame?
Aisee!!
 
Hiyo ni kwa mujibu wa katiba yao kwa vile kuna sharti la mgombea lazima ashinde kwenye baadhi ya majimbo.

Kumbuka majimbo yale yalikuwa mataifa. Katiba yao iliweja sharti hilo ili matakwa ya majimbo hayo yasiouuzwe jwa sababu tu ya uchache wao. Naliona ni takwa fair.
Kwani katiba haiwezi kuminya demokrasia?

Mbona katiba ya Tanzania inalalamikiwa kuminya demokrasia?
 
Unafiki mbaya USA watu wanauawa kila uchwao yaani ukipiga hesabu mwaka huu tu tunaongelea mamia. hiyo haihalalishi hata mwananchi moja wa Tanzania auawe. Tuwe wakweli na sote tufuate sheria ambazo tumejiwekea.
 
Uliwaita watendaji wa Kata Ikulu na kuwapa maelekezo ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa, kwamba wakikishe Chama tawala kinapata favor zote za ushindi.

Hivi umeshawaza kuwa maisha hubadilika? Leo wewe ni Rais, kuna siku hutakuwa Rais na hawahawa wapinzani unaowachukia ndio watakuwa wanaongoza nchi huku ukishuhudia kwa macho yako.

Kwa nafasi yako ya ukuu wa nchi watendaji wa Kata hawakuwa na hadhi ya kuonana nawe Ikulu.
Uliamua kuvunja itifaki ili tu CCM ipate ushindi feki.

Vyama mamluki vya upinzani vilivyopandikizwa na System vijifanye eti ni vyama vya upinzani na vinashiriki Uchaguzi, mataifa makubwa yanajua ukweli wote juu ya hiyo ghiliba.

Kila siku unataka tukuombee kwa Mungu ila Mungu hana chuki na wapinzani Kama uliyonayo wewe.
Mungu anawapenda wana CCM wote na wapinzani wote,na ndo huyu huyu Mungu atakuja kuwawezesha waingie Ikulu na kuongoza Tanzania huku wote mkiona.

Kwa akili za kibinadamu haiwezekani, ila kwa Mungu inawezekana.
Hata makaburu wa South Africa hawakuwahi kufikiria kuwa ANC ya weusi itakuja kuchukua Dola huku wakishuhudia.
Tabia ya Mungu huwa ni kukaa na wanyonge na kuwainua juu kutoka mavumbuni.

Badilika mapema uiandae kesho yako siku ukistaafu uwe kimbilio la wote kwa ushauri wa hekima, na siyo watu wakusambae kwa kuacha alama mbaya.

As Dixie genteel would politely say, GOD bless his heart.
 
Back
Top Bottom