Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,009
- 74,643
Najaribu kupata picha ya ametoka madarakani na hao anao waonyesha chuki kubwa kabisa bila kujificha wakawa madarakani atakuwa na wakati gani?
Kuwapata watu kama Mandela sio jambo rahisi ndani ya karne moja hivyo kutegemea visasi ni jambo lisilo kwepeka. Anajua hilo?
Mwinyi, Mkapa na hata JK hawakuwa wanaendesha nchi kwa chuki binafsi hivyo hata kama warithi wao wangekuwa chama tofauti bado heshima yao ingekuwepo.
Najaribu kumfananisha na kiongozi afrika mashariki na kati aliyetoka madarakani aliyekuwa na tabia hizi simpati zaidi ya Amin pekee.
Kuwapata watu kama Mandela sio jambo rahisi ndani ya karne moja hivyo kutegemea visasi ni jambo lisilo kwepeka. Anajua hilo?
Mwinyi, Mkapa na hata JK hawakuwa wanaendesha nchi kwa chuki binafsi hivyo hata kama warithi wao wangekuwa chama tofauti bado heshima yao ingekuwepo.
Najaribu kumfananisha na kiongozi afrika mashariki na kati aliyetoka madarakani aliyekuwa na tabia hizi simpati zaidi ya Amin pekee.