Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Hivyo ulivyohisi.Nahisi vipi?
Mzee Tupatupa
Hivyo ulivyohisi.Nahisi vipi?
Mzee Tupatupa
Exchange RatesTo cut the long story short tuambie wewe rate ya leo ni ngapi, halafu huo muda mrefu hauna kipimo,
Usikatae kitu bila kuonyesha alternative huku ukitegemea tuendelee kujadili.
Uchumi unaporomoka kwa kasi no Sera yoyote unafikiri utakua kwa miujiza. Uwe unatumia common sense uzalendo ni maneno ya kimipasho ya wanasiasa uchwara hata kwenye kanga yapo. Uzalendo alikua nao Nyerere tu wengine wote uchwara tu wamekosa dira.Umepotea, labda tafuta mfano mwingine. Huo, hapana. Tenga muda, tafari na utagundua Tanzania ni nchi inayokua kwa kasi ikiongozwa na dhamira na dhamiri za maendeleo. Kama umekalia majungu! Ndg yatakushinda utabaki unalialia tu bila sababu, maana hujitambui.
Maandamano ya Mbowe ndio yanaleta maendeleo. Hivi nyinyi vijana wa Ufipa street mkoje lakini?
mwisho wa usanii wenu umefka JPM sio msanii wala mpga dili lazima mnyooke
Katiba ya Ufipa street?Iulize katiba uelimike.
acha hasira mbululaz wa ccm wewe.Labda kiazi ni baba yako.
Katiba ya Ufipa street?
...hauhitaji hasira.acha hasira mbululaz wa ccm wewe.
Usipokua hivyo utasemaje?Sera ya awamu hii chama mbele, kupambana na upinzani, maendeleo hayana umuhimu wowote ule, plus kumkamua ng'ombe aliyrkonda hadi damu. Had miaka mitano iishe, uchumi utakuwa ka wa Zimbabwe.
Ha ha ha. Huijui katiba ya Ufipa street?Ulivyo J hata hujui katiba inayoongoza nchi. Njaa ni mbaya sana.
Hizo hazirudi tena,sema ajenge nyingine tu.kachanganyikiwa na lazima arudishe nyumba za serikali alizohonga
swissme
2020 kwa mwenendo huu wa wapinzani wa UKUTA and the like watakua wamekwisha kabisa.Wanasiasa ni wanafiki sana,na mifano ni mingi sana
Subiri 2020 uone watakavyokuja na story,hadi wanajiapiza kwa Mungu
Anatetea maslahi yake huyoo...achana naye.Bado hujamuelewa na huoneshi jitihada za kutaka kumuelewa
Hawana akili kabisa hawa,ofisi zao zimechoka mbaya lkn hilo wao hawalioni kazi kushika UKUTA tuMaandamano ya Mbowe ndio yanaleta maendeleo. Hivi nyinyi vijana wa Ufipa street mkoje lakini?
Shalom mzee tupatupa!!!!!hahahaha naota kama vile hufai kukaa lumumba!!!!!!!!!Mhe. Rais,una sera nzuri za kimaendeleo. Ilani yetu ya CCM,ahadi zako za papo kwa papo,kauli zako na matendo yako huakisi maendeleo ya Tanzania yetu. Kuwa Tanzania ya Viwanda. Lakini,teuzi zako hazibebi lengo lako hilo. Zinabeba dhima tofauti ya kupambana na kuwabana wapinzani hasa CHADEMA.
Natoa mifano mitatu. Wa kwanza ni uhusuo uteuzi/kupandishwa cheo kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Makonda alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni. Tangu akiwa UVCCM,Makonda hujichora kama mpambanaji wa wapinzani na kwake hawafurukuti. Kinondoni UKAWA 'wakamtandika' kwa kutwaa majimbo yote. Rais ukasema mahali kuwa Makonda ana wapinzani wengi wanamchukia. Ukaahidi kumpandisha cheo. Ikawa kweli. Ameshaapa kuubomoa UKUTA wa CHADEMA wa hapo Septemba mosi!
Mfano wa pili ni uteuzi wa maDED na maDAS. Humo wamesheheni walewale wenye hulka na michoro ya kupambana na wapinzani. Watoa matamko ya kuponda bila kupenda wapinzani ndiyo wameula kwenye teuzi hizo. Matamko yao humu JF,WatsApp,Facebook na Instagram kuwakandiakandia wapinzani yakawalipa.
Mfano wa tatu ni wa uteuzi wa leo wa Mrisho Gambo. Umetengua uteuzi wa kaka Ntibenda na kumpandisha cheo kwa kumteua Mrisho Gambo kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha. Mrisho Gambo alijaribu kugombea Ubunge Kinondoni. Akabwagwa na Idd Azzan ndani ya CCM yetu. Ni juzi tu amejigamba kuwa yeye ndiye kiboko ya Operesheni UKUTA ya CHADEMA kule Arusha. Gambo amejipambanua kuwa yuko Arusha kupambana na wapinzani wakiongozwa na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless J Lema.
Nia ya teuzi hizi ni ipi hasa? Maendeleo au 'kuwafunika' wapinzani?
Mzee Tupatupa, Dar es Salaam
Ni kweli, maguvu ya dola hayajawahi kuwa suluhisho hata siku moja.Jamani mbona hivyo? Msiwastue ngojeni wazidi kujikanyaga, hilo ndiyo kaburi lao, maguvu ya dola hayajawahi kuwa suluhisho hata siku moja, kila siku watu ndiyo wanazidi kupata ujasiri na wao ndiyo wanazidi kujichafua mbele ya jumuia ya kimataifa.