ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
True!Unaanzaje kupeleka fedha zaidi eneo ambalo pembejeo zililiwa na mchwa watu?
Pambana na mchwa watu kwanza ndio upeleke fedha ya miradi mikubwa.
by the way ni dhambi sana kuongelea kilimo cha umwagiliaji ilihali tunashindwa kutumia mvua na mafuriko ya Mungu kulima ...tusitafute mikakati na miradi mikubwa kama tunaishi jangwani tutumie baraka ya Mwenyezi Mungu kuzalisha bidhaa za kilimo.
Tuache uvivu tufanye kazi...mimi mwaka huu lazima nivune!!
Wenyeji ni shida kubwa, yaani kuna kazi haswa ya kuwaelimisha.
Mola tusaidie kwa kweli