Rais Magufuli umesahau kabisa uwekezaji kwenye kilimo cha kisasa

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
Rais Magufuli umekuwa makini sana katika kuhakikisha Tanzania inakuwa na miundombinu bora kabisa ya barabara,madaraja,reli ya kisasa,bandari,ndege kwa hilo unastahili pongezi kwasababu maendeleo ya kweli lazima uwe na miundombinu bora na ya uhakika.

Huduma za afya zinaenda vizuri lakini masuala ya vifaa vya kisasa bado ni mtihani mkubwa kwenye vituo vingi vya huduma.

Huduma za elimu inakwenda vizuri lakini vitendea kazi bora kwa walimu nalo ni tatizo kubwa sana

Suala la kilimo kiukweli naona kama umelisahau Mh Rais pamoja na kuhimiza watu kufanya kazi au kulima lakini kiukweli hakuna hatua yoyote inayopigwa ili kupata tunachotakiwa kupata kutoka kwenye sekta ya kilimo.

Kwanza kabisa uwekezaji katika mbegu bora huoni mikakati ya kweli,Uwekezaji katika kilimo cha umwagiliaji ambacho mataifa mengi wanakitumia kwa hapa nchini huoni mikakati yoyote katika kuanisha mashamba makubwa ya umwagiliaji.

Namna gani tunaboresha kilimo kwa wakulima wadogo wadogo yaani wananchi wa kawaida kuhusu pembejeo za kisasa,mbegu bora elimu kwa wakulima huoni mikakati zaidi ya kuhumiza tu watu walime.

Matokeo yake kilimo kimekuwa cha kubahatisha tu na mvua isiponyesha kwa uhakika basi baa la njaa linakuwa kubwa na kuanza kuomba chakula nje.

Mazao ya biashara ambayo ndiyo malighafi kwenye viwanda huoni mikakati yake kiasi ambacho tungeondokana na kuagiza raw materials nje ya nchi ili kuvifanya viwanda nchini viweze kuzalisha kwa uhakika na gharama ndogo.

Ushauri wangu tuna wataalam wa kutosha kabisa wa kilimo tunaowapika pale SUA Morogoro lakini maajabu ya nchi yetu hatuwatumii katika mikakati ya kitaifa ya kuboresha kilimo nchi.

'Tumekuwa wazuri sana wa kuwa mipango kwenye makaratasi kuliko utendaji kwa vitendo'
 
Unaanzaje kupeleka fedha zaidi eneo ambalo pembejeo zililiwa na mchwa watu?
Pambana na mchwa watu kwanza ndio upeleke fedha ya miradi mikubwa.
by the way ni dhambi sana kuongelea kilimo cha umwagiliaji ilihali tunashindwa kutumia mvua na mafuriko ya Mungu kulima ...tusitafute mikakati na miradi mikubwa kama tunaishi jangwani tutumie baraka ya Mwenyezi Mungu kuzalisha bidhaa za kilimo.

Tuache uvivu tufanye kazi...mimi mwaka huu lazima nivune!!
 
Kwani nyie vijana wa Lumumba hamjui kwamba Mtukufu Kashasema Tupo Kwenye right truck?? mnachoweweseka nini.??
 
wandugu kuna hesabu inanichanganya hapa.
mapapai kwa 22,000
ndizi kwa 2300
Jumla yake elfu 20,300
 
Unaanzaje kupeleka fedha zaidi eneo ambalo pembejeo zililiwa na mchwa watu?
Pambana na mchwa watu kwanza ndio upeleke fedha ya miradi mikubwa.
by the way ni dhambi sana kuongelea kilimo cha umwagiliaji ilihali tunashindwa kutumia mvua na mafuriko ya Mungu kulima ...tusitafute mikakati na miradi mikubwa kama tunaishi jangwani tutumie baraka ya Mwenyezi Mungu kuzalisha bidhaa za kilimo.

Tuache uvivu tufanye kazi...mimi mwaka huu lazima nivune!!
unavuna nini?
 
Rais Magufuli umekuwa makini sana katika kuhakikisha Tanzania inakuwa na miundombinu bora kabisa ya barabara,madaraja,reli ya kisasa,bandari,ndege kwa hilo unastahili pongezi kwasababu maendeleo ya kweli lazima uwe na miundombinu bora na ya uhakika.

Huduma za afya zinaenda vizuri lakini masuala ya vifaa vya kisasa bado ni mtihani mkubwa kwenye vituo vingi vya huduma.

Huduma za elimu inakwenda vizuri lakini vitendea kazi bora kwa walimu nalo ni tatizo kubwa sana

Suala la kilimo kiukweli naona kama umelisahau Mh Rais pamoja na kuhimiza watu kufanya kazi au kulima lakini kiukweli hakuna hatua yoyote inayopigwa ili kupata tunachotakiwa kupata kutoka kwenye sekta ya kilimo.

Kwanza kabisa uwekezaji katika mbegu bora huoni mikakati ya kweli,Uwekezaji katika kilimo cha umwagiliaji ambacho mataifa mengi wanakitumia kwa hapa nchini huoni mikakati yoyote katika kuanisha mashamba makubwa ya umwagiliaji.

Namna gani tunaboresha kilimo kwa wakulima wadogo wadogo yaani wananchi wa kawaida kuhusu pembejeo za kisasa,mbegu bora elimu kwa wakulima huoni mikakati zaidi ya kuhumiza tu watu walime.

Matokeo yake kilimo kimekuwa cha kubahatisha tu na mvua isiponyesha kwa uhakika basi baa la njaa linakuwa kubwa na kuanza kuomba chakula nje.

Mazao ya biashara ambayo ndiyo malighafi kwenye viwanda huoni mikakati yake kiasi ambacho tungeondokana na kuagiza raw materials nje ya nchi ili kuvifanya viwanda nchini viweze kuzalisha kwa uhakika na gharama ndogo.

Ushauri wangu tuna wataalam wa kutosha kabisa wa kilimo tunaowapika pale SUA Morogoro lakini maajabu ya nchi yetu hatuwatumii katika mikakati ya kitaifa ya kuboresha kilimo nchi.

'Tumekuwa wazuri sana wa kuwa mipango kwenye makaratasi kuliko utendaji kwa vitendo'

Nchi yetu ni maskini, na tunayo mambo mengi muno ya kufanya na yote ni ya muhimu sana, lakini hatuna uwezo wa kuyafanya ypote kwa wakati mmoja na hivyo lazima tuchague na tupange tunaanza na lipi. Unless kama hoja yako ni kuwa unashauri tulitakiwa tuanze na kilimo cha kisasa, ila tu ninachojaribu kusema hapa ni kuwa tuseme kwa mfano tungeanza na kilimo bora, kuna kitu kingine muhimu ambacho kwa sasa kinafanyika, kisingeweza kufanyika. Hatuna uwezo huo wa kuvichukua vitu vyote kwa pamoja, lazima tufanye baadhi na tukishakamilisha hivyo tunavyofanya kwa muda huu, tunaanza vingine tena.
 
Rais Magufuli umekuwa makini sana katika kuhakikisha Tanzania inakuwa na miundombinu bora kabisa ya barabara,madaraja,reli ya kisasa,bandari,ndege kwa hilo unastahili pongezi kwasababu maendeleo ya kweli lazima uwe na miundombinu bora na ya uhakika.

Huduma za afya zinaenda vizuri lakini masuala ya vifaa vya kisasa bado ni mtihani mkubwa kwenye vituo vingi vya huduma.

Huduma za elimu inakwenda vizuri lakini vitendea kazi bora kwa walimu nalo ni tatizo kubwa sana

Suala la kilimo kiukweli naona kama umelisahau Mh Rais pamoja na kuhimiza watu kufanya kazi au kulima lakini kiukweli hakuna hatua yoyote inayopigwa ili kupata tunachotakiwa kupata kutoka kwenye sekta ya kilimo.

Kwanza kabisa uwekezaji katika mbegu bora huoni mikakati ya kweli,Uwekezaji katika kilimo cha umwagiliaji ambacho mataifa mengi wanakitumia kwa hapa nchini huoni mikakati yoyote katika kuanisha mashamba makubwa ya umwagiliaji.

Namna gani tunaboresha kilimo kwa wakulima wadogo wadogo yaani wananchi wa kawaida kuhusu pembejeo za kisasa,mbegu bora elimu kwa wakulima huoni mikakati zaidi ya kuhumiza tu watu walime.

Matokeo yake kilimo kimekuwa cha kubahatisha tu na mvua isiponyesha kwa uhakika basi baa la njaa linakuwa kubwa na kuanza kuomba chakula nje.

Mazao ya biashara ambayo ndiyo malighafi kwenye viwanda huoni mikakati yake kiasi ambacho tungeondokana na kuagiza raw materials nje ya nchi ili kuvifanya viwanda nchini viweze kuzalisha kwa uhakika na gharama ndogo.

Ushauri wangu tuna wataalam wa kutosha kabisa wa kilimo tunaowapika pale SUA Morogoro lakini maajabu ya nchi yetu hatuwatumii katika mikakati ya kitaifa ya kuboresha kilimo nchi.

'Tumekuwa wazuri sana wa kuwa mipango kwenye makaratasi kuliko utendaji kwa vitendo'
huduma za afya zinakwenda vizur = vifaa vya kisasa ni changamoto.how?
elimu = vifaa changamoto how
 
Sekta ya kilimo ndiyo inayoajiri Watanania wngi lakini jinsi mambo yanavyoonekana naona kama sekta hii imesaulika sana. Itakuwaje Wizara nzima ya Kilimo kutengewa 170bn huku Ujenzi ikitengewa zaidi ya 1tr. Hii hapana. Tuimarishe kwanza kipato cha watu wa hali ya chini kupitia kilimo cha kisasa na ndicho hasa ni ajira yao. Tuwawezeshe kuwapa mbegu za kisasa, kiimo cha umwagiliaji, mbolea, wagani na masoko ya uhakika hapa tutaona mabadiliko makubwa. Hakua haja ya kuwa na mabarabara ya lami, stieglers gorge, reli ya umeme na maflyovers huku wananchi ni maskini wakutupwa.
 
Sekta ya kilimo ndiyo inayoajiri Watanania wngi lakini jinsi mambo yanavyoonekana naona kama sekta hii imesaulika sana. Itakuwaje Wizara nzima ya Kilimo kutengewa 170bn huku Ujenzi ikitengewa zaidi ya 1tr. Hii hapana. Tuimarishe kwanza kipato cha watu wa hali ya chini kupitia kilimo cha kisasa na ndicho hasa ni ajira yao. Tuwawezeshe kuwapa mbegu za kisasa, kiimo cha umwagiliaji, mbolea, wagani na masoko ya uhakika hapa tutaona mabadiliko makubwa. Hakua haja ya kuwa na mabarabara ya lami, stieglers gorge, reli ya umeme na maflyovers huku wananchi ni maskini wakutupwa.
Pesa nyingi za maendeleo zinatafunwa na kikundi cha wasiojulikana kinachoongozwa na Naibu Rais Maliyamungu Bashite.
 
Sekta ya kilimo ndiyo inayoajiri Watanania wngi lakini jinsi mambo yanavyoonekana naona kama sekta hii imesaulika sana. Itakuwaje Wizara nzima ya Kilimo kutengewa 170bn huku Ujenzi ikitengewa zaidi ya 1tr. Hii hapana. Tuimarishe kwanza kipato cha watu wa hali ya chini kupitia kilimo cha kisasa na ndicho hasa ni ajira yao. Tuwawezeshe kuwapa mbegu za kisasa, kiimo cha umwagiliaji, mbolea, wagani na masoko ya uhakika hapa tutaona mabadiliko makubwa. Hakua haja ya kuwa na mabarabara ya lami, stieglers gorge, reli ya umeme na maflyovers huku wananchi ni maskini wakutupwa.
Wizara ya kilimo ikipewa pesa nyingi inaenda gawia wakulima?
 
Back
Top Bottom