Acha umbumbumbu ndugu. Unajua maana ya mwanataaluma wewe? Hakuna nchi duniani inayochezea uzoefu na ubobezi wa hawa watu unaowaita wazee. Halafu hili wazo la eti mtu ameziba ajira ni wazo la kimaskini. Badala ya kuleta mawazo ya kutengeneza nafasi za kazi zaidi (job creation) unaleta mawazo mfu eti fulani atoke mimi niingie. Ukitaka taifa life leo kitaaluma, achisha kazi hawa wataalamu unaowaita wazee waliochoka uone. Huko nje wanasukumwa hata kwenye vibaiskeli ili tu afike darasani afundishe halafu wewe unaleta upoyoyo hapa.4. Wazee wanapunja nafasi za ajira kwa vijana wanaotakiwa kurejesha mikopo bodi ya mikopo