Rais Magufuli: Nilipokuwa waziri niliwahi kuteua mtu wa darasa la 7 kuwa meneja wa mkoa

Kama tunaappreciate performance na sio vyeti tu, ilikuwaje tukawatimua drivers, nurses na walimu wa primary schools waliokuwa wanaperform vizuri tu for the past 15 years or so? Huu ni unafiki
Tatizo wanakwenda mbele kisha kurudi nyuma, ni kama kuku. Husafisha mdomo baada ya donoa donoa kadhaa ile habari pendwa utadhani kamaliza chakushangaza akigeuka kidogo hata bila kutembea unaona anaanza tena donoa.... ndiyo awamu hii.... Trial and error... matukio au mifano ni mingi...kuanzia matajili wataishi kama shetani, leo hii karibu wote wameitwa mahali patakatifu....kuokoa jahazi...
 
vizuri sana . kinachotakiwa ni matokeo ya kazi, sometimes ukisoma sana unajiona jeuri kwa sababu unaamini una elimu nzuri hata nikitumbuliwa bado nitaajiriwa, lakini darasa la saba atafanya kazi kutegemea ile ndio kazi yake ya mwisho na hakuna atayemuajiri tena.

wasomi wengi wa ngazi za juu wamekuwa hawapokei ushauri unaotelewa na watu waliowazidi elimu kwa kuwadharau kuwa watafanya nini wakati nimewazidi lakini kwa darasa la saba atachukua na kuzingatia kila ushauri kwa sababu yupo katika stage ya kujifunza zaidi.

wasomi wengi ni waoga, hawana uwezo mzuri wa kujaribu kufanya kwa sababu wanahofu wakishindwa kujaribu , jamii itawaona wasomi wa hovyo. Tabia hii ya kuogopa imekuwa ikikwamisha ubunifu ila la saba watajaribu kila kitu kwa kukosa woga wa kuonekana wasomi wasiofaa.
 
Kama tunaappreciate performance na sio vyeti tu, ilikuwaje tukawatimua drivers, nurses na walimu wa primary schools waliokuwa wanaperform vizuri tu for the past 15 years or so? Huu ni unafiki
Huli zee li funza kichwani huwa analisumbua
 
Hydram pumps zimekuwepo nchini kwa miaka mingi na kilikuwa na kiwanda cha kuzitengeneza pale Arusha mali ya wahindi.

Tatizo la hizo pampu ni kuwa zinaendeshwa kwa nguvu ya maji, hivyo kama maji yakipungua mtoni haiwezi kufanya kazi. Kutokana na uharibifu wa mazingira mito mingi imepungua maji au kukauka kabisa na hivyo kukosekana maporomoko ya kuendesha pampu hizo. Kwa sasa ni maeneo machache sana ya Mikoa ya Njombe na Ruvuma pampu hizo zinaweza kufanya kazi na bahati mbaya kiwanda cha Arusha kilikwishafungwa.


Nadhani ipo haja sasa kwa watu wa mazingira kuelekeza nguvu zao huko ili kulinda vyanzo vya maji vichache vilivyobakia na pia ni wakati sasa wa kuwawezesha Pwagu na Pwaguzi kuanza kutengeneza pump hizo ili zitumike kwenye vyanzo vya maji vilivyoko huko Njombe na Ruvuma
 
Kama tunaappreciate performance na sio vyeti tu, ilikuwaje tukawatimua drivers, nurses na walimu wa primary schools waliokuwa wanaperform vizuri tu for the past 15 years or so? Huu ni unafiki
Nimeulizaswali kama hili pia, mpaka sasa sijapewa jibu.
 
Nimeulizaswali kama hili pia, mpaka sasa sijapewa jibu.
naomba nikujibu kama ifuatavyo:

1. kuna kazi zinahitaji uwezo binafsi ili kuleta matokeo tarajiwa na kuna nyingine zinahitaji elimu kuzifanya. kazi kama umeneja ni tofauti na ualimu, unesi na udereva na ili uwe dereva au nesi unahitajika uwe na cheti cha taaluma lakini hakuna cheti cha taaluma kwa umeneja ila ni uzoefu na ujuzi wako. Rais Magufuli alimpa mtu wa darasa la saba umeneja ambao ni usimamizi na ufuatiliaji na hakumpa uinjia ambayo ni taaluma

2. kazi kazi za kitaaluma, mara nyingi kuna kuongeza elimu kwa ajili kuongeza ujuzi na ili kuongeza elimu unatakiwa kuwa na vyeti vinavyohitajika. wale vyeti feki walitumia elimu za wengine kupata kazi( hiyo jinai) na pia hata kama waliongeza elimu, si yao. kazi za kitaaluma zinahitaji elimu kuzifanya kwa ufanisi.
 
naomba nikujibu kama ifuatavyo:

1. kuna kazi zinahitaji uwezo binafsi ili kuleta matokeo tarajiwa na kuna nyingine zinahitaji elimu kuzifanya. kazi kama umeneja ni tofauti na ualimu, unesi na udereva na ili uwe dereva au nesi unahitajika uwe na cheti cha taaluma lakini hakuna cheti cha taaluma kwa umeneja ila ni uzoefu na ujuzi wako. Rais Magufuli alimpa mtu wa darasa la saba umeneja ambao ni usimamizi na ufuatiliaji na hakumpa uinjia ambayo ni taaluma

2. kazi kazi za kitaaluma, mara nyingi kuna kuongeza elimu kwa ajili kuongeza ujuzi na ili kuongeza elimu unatakiwa kuwa na vyeti vinavyohitajika. wale vyeti feki walitumia elimu za wengine kupata kazi( hiyo jinai) na pia hata kama waliongeza elimu, si yao. kazi za kitaaluma zinahitaji elimu kuzifanya kwa ufanisi.
Kwa hiyo kazi ya udereva wa gari inahitaji formal education kubwa kuliko kazi ya umeneja wa mkoa mzima?
 
Kwa mfumo ulivyo, Professional jobs haziangalii talent bali formal education level and perfomance, wenye talent watabaki kuteuliwa.. Ama kupewa special positions.
 
Akumbuke hii iko applicable kwake pia. Pamoja na Phd yake FAKE performance yake is simply MEDIOCRE.


Rais Magufuli amesema alipokuwa waziri wa ujenzi aliwahi kuteua mtu wa darasa la saba kuwa meneja wa Tamesa mkoa wa Kagera.

Dr Magufuli amesema alifanya hivyo baada ya kuona performance ya lasaba huyo ilikuwa ni nzuri kupita wale graduates aliokuwa nao.
Rais Magufuli amewasisitiza mainjinia na wasomi wengine kuwaheshimu watu wenye vipaji na ubunifu ili kwa pamoja tuweze kuyasongesha mbele maendeleo ya taifa letu.

Source Channel ten tv!
 
Rais Magufuli amesema alipokuwa waziri wa ujenzi aliwahi kuteua mtu wa darasa la saba kuwa meneja wa Tamesa mkoa wa Kagera.

Dr Magufuli amesema alifanya hivyo baada ya kuona performance ya lasaba huyo ilikuwa ni nzuri kupita wale graduates aliokuwa nao.
Rais Magufuli amewasisitiza mainjinia na wasomi wengine kuwaheshimu watu wenye vipaji na ubunifu ili kwa pamoja tuweze kuyasongesha mbele maendeleo ya taifa letu.

Source Channel ten tv!
KAMA sisi tulivyoongia chaka kumchagua phd kumbe hata ngeli tu hajui.
Uchumi zero kabisa na drama kibao anazo
 
Back
Top Bottom