Huku Sitimbi mbona Million 50 hatujapata?Tuliyomtuma yamo kwenye Ilani ya CCM na yanatekelezwa.....muhukumu kwa Ilani na ahadi zake sio porojo
Huku Sitimbi mbona Million 50 hatujapata?Tuliyomtuma yamo kwenye Ilani ya CCM na yanatekelezwa.....muhukumu kwa Ilani na ahadi zake sio porojo
Maneno kuntu mkuu ilo la kupunguza watu kazi watumishi wajiandae kisaikolojia maana mkuu wa mkoa kashaanza kuligusia nalipo kwenye mpangoTuwe serious kidogo watu wakikwambia nchi inakushinda uelewe ni Kwa nini inakushinda. Ni kwa sababu tulikutuma yafuatayo.
1: Ajira ilo limekushinda.
2: Elimu bure na bora inasuasua
3: Mikopo vyuoni limekushinda.
4: kupambana na ufisadi umeshindwa reference to Lugumi na Escrow.
5: Uhuru wa habari umeshindwa na utaki kukosolewa.
6: Bunge live limekushinda .
7: Katiba mpya imekushinda.
8:Uchumi limekushinda.
9: Viwanda limekushinda.
10: Demokrasia imekushinda
Hayo ndio tuliyokutuma na mengine ulijituma mwenyewe hayo ndio yanatuhusu moja kwa moja kama unafanya mengine tofauti na hapo ujue
Sasa hivi nimeanza kusikia mpango wa kutaka kupunguza wafanyakazi baadhi ya sector ya umma ingawa hata mwaka Huu bado hamjaajiri mtu hata mmoja zaidi ya kuteua .
Yaani Kikwete aliyekusanya bilioni 900 alitoa Ajira kila mwaka wakati wewe unakusanya 1.3 trillions unapunguza wafanyakazi walioajiriwa na Kikwete?
Pambana na ufisadi upate pesa watu wasome acha kulialia na Mafisadi wa nchi hii na kuwachekea.
Nasisitiza kama unafanya kinyume na hayo ni batili na utashindwa.
Ukali wamaisha unatakiwa ufanye kazi,usiishi kwa mazoea na dili dili zisizofahamikakwani kuna ilani isiyo na kipengele cha kurahisishia wananchi wake ukali wa maisha kwa kujenga uchumi imara
Sasa nchi si ameshapewa,analialia nini sasa badala ya kuwachukulia hatua?Peleka mahakamani,hizi nyimbo za fulani fisadi zimeshatuchosha wakati mtu mwenyewe anapeta na wakikutana wanagonga cheers.Walalahoi ndio tunahangaika,wenyewe wanajuana kwa vilembaKwahiyo hao ndio unawaona kuliko lowasa,sumaye na mbowe
Haaaah mkuu unajua lakini?Na bado kale kamtandao kenu lazima kazimie. Mission town nyiiiingi utadhani wafanyakazi kweli watu wa madili usiku kucha
shida sio meya kusimamia ndugu shida ni hela zinatoka wapi?? hata muwe na mipango majunia kama hamna pesa za ku implement equal to zero-pesa nyingi za Miradi zinatoka hazina! na kama ni insu za Halmasahuri kuna miongozo ambazo ni 26% ya mapato yanayokusanywa ktk mwezi kurudishwa kwenye kata kusaidia shughuli za maendeleo hiyo haina u ccm au uchadema isitoshe au itoshee ndio hivyoTufahamishe barabara za harimashauli zinatekelezwa na halimashauli,meya ndio mkt
Nenda Kinondoni, nenda Arusha, nenda kwingineko utaona Chadema wanavyochapa kaziMsikibie majukumu, sio kila kitu kinafanywa na serikali kuu, kuna wilaya na kata zinaongozwa na Chadema. Mbona ilani ya Chadema haitumiki huko? Mnajisahau kwamba 2020 tutaulizana kama yalio kuwa kwenye ilani za vyama vya siasa yalitekelezwa? Mjipange kujibu hizo hoja.
Boya kweli wewe eti kukusa urais unajua maana ya kukusa urais ....I quess you gotta mental disorders.
Wewe umeshaachieve mangapi na ndio mwisho wa mwaka.
Mmekalia kuchonganisha tuu kisa mmekosa urais. Ndio.mjue tofauti ya kuishi na kula nyumbu vs kuishi na kula sato
Nenda Arusha uone jinsi barabara za mitaa zinavyong'aa, madesk ya watoto wa shule yamekamilika bila kusumbua wazazi kwa michango, vyumba vya madarasa vya kutosha hawasomi nje kama uko mkoa wa pwani na Dodoma waliopigia CCMshida sio meya kusimamia ndugu shida ni hela zinatoka wapi?? hata muwe na mipango majunia kama hamna pesa za ku implement equal to zero-pesa nyingi za Miradi zinatoka hazina! na kama ni insu za Halmasahuri kuna miongozo ambazo ni 26% ya mapato yanayokusanywa ktk mwezi kurudishwa kwenye kata kusaidia shughuli za maendeleo hiyo haina u ccm au uchadema isitoshe au itoshee ndio hivyo
Kazi ya kutumbua nani asiyeiweza? Km haya hayako kwenye vipaumbele vyenu sasa mnafanya nn?K
Kijana ni vyema ukapitia Ilani ya CCM ili kujua alichotumwa hatekelezi ama anatekeleza. Walichomtuma wananchi ndio kipo huko na unaweza kupima vyema 2020
ufanye kazi zipi?? unajua maana ya kazi au unaongea kishabiki hapa! unajua jinsi kazi zinavyozalishwa (job creation),je unajua uhusiano kati ya kazi hali ya uchumi na siasa ya nchi???? je unajua umuhimu wa financial sector ktk job creation-jamani msiwe unaongea vitu kwa kufuata mukumbo kwa vile unamsikia magufuli anaongea! jaribu kupanua ubongo wako hata kwa nchi moja ujiulize juu ya hayo!Ukali wamaisha unatakiwa ufanye kazi,usiishi kwa mazoea na dili dili zisizofahamika
Kipind hiki kigumu sana. Sasa hawa wamekujaje hapa?Kwahiyo hao ndio unawaona kuliko lowasa,sumaye na mbowe
Hahahahahaaaaaaaa! Umesoma vema ilani ya chama chetu, CCM na kuielewa? Kama umesoma hiyo Ilani hakika utakubaliana nami kuwa Rais Magufuli anaitekeleza kwa nguvu kubwa
Yote hayo alikuahidi atayatekeleza ndani ya mwaka mmoja?Tuwe serious kidogo watu wakikwambia nchi inakushinda uelewe ni Kwa nini inakushinda. Ni kwa sababu tulikutuma yafuatayo.
1: Ajira ilo limekushinda.
2: Elimu bure na bora inasuasua
3: Mikopo vyuoni limekushinda.
4: kupambana na ufisadi umeshindwa reference to Lugumi na Escrow.
5: Uhuru wa habari umeshindwa na utaki kukosolewa.
6: Bunge live limekushinda .
7: Katiba mpya imekushinda.
8:Uchumi limekushinda.
9: Viwanda limekushinda.
10: Demokrasia imekushinda
Hayo ndio tuliyokutuma na mengine ulijituma mwenyewe hayo ndio yanatuhusu moja kwa moja kama unafanya mengine tofauti na hapo ujue
Sasa hivi nimeanza kusikia mpango wa kutaka kupunguza wafanyakazi baadhi ya sector ya umma ingawa hata mwaka Huu bado hamjaajiri mtu hata mmoja zaidi ya kuteua .
Yaani Kikwete aliyekusanya bilioni 900 alitoa Ajira kila mwaka wakati wewe unakusanya 1.3 trillions unapunguza wafanyakazi walioajiriwa na Kikwete?
Pambana na ufisadi upate pesa watu wasome acha kulialia na Mafisadi wa nchi hii na kuwachekea.
Nasisitiza kama unafanya kinyume na hayo ni batili na utashindwa.
Lema ni nabii, magu ni binadamu. Sasa unaposema anapambana na Lema sion connection ya binadam kupambana na nabiiKazi yake ni kupambana na akina Lema, huku akiacha uchumi wa nchi unatumbukia shimoni.
Kasome kuhusu nidhamu na kuondoa ubadhilifu. Aliongea atawashughulikia wazembe ama umesahau kakaKazi ya kutumbua nani asiyeiweza? Km haya hayako kwenye vipaumbele vyenu sasa mnafanya nn?
kwani kwenye ilani ya ccm kulikuwa na elimu bure?Umemjibu vema. Tatizo hawa UKAWA wanachukua ahadi za Mgombea wao Lowasa wanakuja kumpachika Rais
Ila kweli nilishangaa presidential material anapita juu ya roof ya gari kweli nimeamini hakujiandaa kuwa rais huyu...mambo ya hovyo wadogo zetu watusumbue ajira hawana hata sisi tulio serikalini hatuna amani kila leo uovu tunaletewa haya na yaleMtu anapita juu ya roof ya gari unategemea nini toka kwake?