Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli Wake, Hata Kama Uko Kinyume cha Katiba, Sera na Ilani?.

Honestly paschal unatupa picha ya aina ya wasomi tulionao nchi hii, its hard to believe unashinda kwenye key board kumsifia magufuli na serikali kali siku iendayo kwa Mungu! This is not out of patriotism, una greed kubwa sana ndani ya maandishi yako, ur too emotional logic umetupa chooni kabsa.


Hivi dogo ngewa hapa Pascal Mayalla logic kaitupa wapi? Kama umesoma hii article yake na kuelewa nafikiri utaona katumia logic ya karne ya 22 maana kaelezea kinaga ubaga bila hata kutia chenga, pia kaeleweka. Tatizo la watanzania waliokatwa mirija hawapendi kabisa kusikia habari nzuri za Magufuli, hapo ndugu yetu Pascal katoa wazo tu watu wanataka kujiua kwa hasira.
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa, mada ya leo ikiwa ni swali kuhusu, kunapotokea mkanganyiko kati ya ukweli wa rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ukitofautiana na ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee ni ukweli upi ufuatwe katika utawala wa nchi yetu kati ya ukweli wa rais wetu, au ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

Moja ya sifa kuu na za pekee za rais Magufuli ni kuwa kuwa mkweli daima, sometimes, anakuwa mkweli too much mpaka anapitiliza, katika kuusema ukweli, rais Magufuli atausema ukweli wake no matter what, hata kama ukweli huo unapigana na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na hata ilani ya uchaguzi ya CCM, as long as ni ukweli wake, rais Magufuli atausema tuu ukweli huo, bila kujali the consequences ya ukweli huo, na kuwaachia kigugumizi wasaidizi wake namna ya kuuweka sawa ukweli huo kama unakwenda kinyume cha sera na ilani, ila unapokwenda kinyume cha katiba, uzoefu wangu umeonyesha, huwa wananyamaza tuu!.

Hili ni bandiko la hojaji kuhusu Watanzania kumuunga mkono rais wetu katika kufuata ukweli huu wa rais wetu, kwa vile Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli wake, Hata Kama Ukweli Huo unakwenda Kinyume cha Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?. Katika kumuunga mkono rais wetu katika ukweli wake, jee sasa nchi yetu iendeshwe kwa ukweli wa rais wetu, au tuendelee kuiendesha nchi yetu kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

My Take
Hili la mtu kusema chochote, popote, as long as ni ukweli, mimi naliunga mkono, maana kila mmoja wetu, akiwa ni mkweli wa aina hii na kusema chochote, popote, its healthy, maana you never know, katika hii ongea ongea, kuna siku hata waliohusika na matukio kama ya kina Lissu, watakuja kuropoka, na ukweli utajulikana!.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali
Mayala bwana!!!
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa, mada ya leo ikiwa ni swali kuhusu, kunapotokea mkanganyiko kati ya ukweli wa rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ukitofautiana na ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee ni ukweli upi ufuatwe katika utawala wa nchi yetu kati ya ukweli wa rais wetu, au ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

Moja ya sifa kuu na za pekee za rais Magufuli ni kuwa kuwa mkweli daima, sometimes, anakuwa mkweli too much mpaka anapitiliza, katika kuusema ukweli, rais Magufuli atausema ukweli wake no matter what, hata kama ukweli huo unapigana na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na hata ilani ya uchaguzi ya CCM, as long as ni ukweli wake, rais Magufuli atausema tuu ukweli huo, bila kujali the consequences ya ukweli huo, na kuwaachia kigugumizi wasaidizi wake namna ya kuuweka sawa ukweli huo kama unakwenda kinyume cha sera na ilani, ila unapokwenda kinyume cha katiba, uzoefu wangu umeonyesha, huwa wananyamaza tuu!.

Hili ni bandiko la hojaji kuhusu Watanzania kumuunga mkono rais wetu katika kufuata ukweli huu wa rais wetu, kwa vile Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli wake, Hata Kama Ukweli Huo unakwenda Kinyume cha Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?. Katika kumuunga mkono rais wetu katika ukweli wake, jee sasa nchi yetu iendeshwe kwa ukweli wa rais wetu, au tuendelee kuiendesha nchi yetu kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

My Take
Hili la mtu kusema chochote, popote, as long as ni ukweli, mimi naliunga mkono, maana kila mmoja wetu, akiwa ni mkweli wa aina hii na kusema chochote, popote, its healthy, maana you never know, katika hii ongea ongea, kuna siku hata waliohusika na matukio kama ya kina Lissu, watakuja kuropoka, na ukweli utajulikana!.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali
Ummy kama angekuwa na busara sana na kujitambua kama msomi.
Alipaswa ajiuzulu siku hiyo hiyo unless awe anaunga mkono msimamo wa rais.

Kauli ya rais inampa option mbili kuitekeleza au kuipinga waziwazi vyote vina athari yake.

Akiitekeleza tutahoji kipi anachokisimamia hasa maana Jana tu alituambia uzazi wa mpango ndiyo Sera ya serikali na mikakati kedekede ya utekelezaji inafanyika.

Akiipinga wazi wazi anakosa legitimacy yakuendelea kushika ofisi ya wizara kutekeleza Kitu asichokiamini.

Uamuzi ni wake.
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa, mada ya leo ikiwa ni swali kuhusu, kunapotokea mkanganyiko kati ya ukweli wa rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ukitofautiana na ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee ni ukweli upi ufuatwe katika utawala wa nchi yetu kati ya ukweli wa rais wetu, au ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

Moja ya sifa kuu na za pekee za rais Magufuli ni kuwa kuwa mkweli daima, sometimes, anakuwa mkweli too much mpaka anapitiliza, katika kuusema ukweli, rais Magufuli atausema ukweli wake no matter what, hata kama ukweli huo unapigana na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na hata ilani ya uchaguzi ya CCM, as long as ni ukweli wake, rais Magufuli atausema tuu ukweli huo, bila kujali the consequences ya ukweli huo, na kuwaachia kigugumizi wasaidizi wake namna ya kuuweka sawa ukweli huo kama unakwenda kinyume cha sera na ilani, ila unapokwenda kinyume cha katiba, uzoefu wangu umeonyesha, huwa wananyamaza tuu!.

Hili ni bandiko la hojaji kuhusu Watanzania kumuunga mkono rais wetu katika kufuata ukweli huu wa rais wetu, kwa vile Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli wake, Hata Kama Ukweli Huo unakwenda Kinyume cha Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?. Katika kumuunga mkono rais wetu katika ukweli wake, jee sasa nchi yetu iendeshwe kwa ukweli wa rais wetu, au tuendelee kuiendesha nchi yetu kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

My Take
Hili la mtu kusema chochote, popote, as long as ni ukweli, mimi naliunga mkono, maana kila mmoja wetu, akiwa ni mkweli wa aina hii na kusema chochote, popote, its healthy, maana you never know, katika hii ongea ongea, kuna siku hata waliohusika na matukio kama ya kina Lissu, watakuja kuropoka, na ukweli utajulikana!.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali


Mkubwa Paskali, kwanza ni vizuri sana mtu kuwa mkweli kwani ukweli humuweka mtu huru, pande zote kwa maana ya anayeusema ukweli na anayeambiwa ukweli ili asijenge matumaini hewa.
Tatizo hapa kwetu ni mmoja kuhodhi haki ya wengine nao kutumia haki yao ya kibinadamu na kiroho ya kuusema ukweli kwa jinsi wanavyouona!
Tukifika mahali kila mmoja wetu katika wingi wetu akawa huru kusema ukweli, tukapeana kuntu, tukaliita chepeo; Chepeo na sio Kijiko kikubwa; walahi bilahi NJI hii itakimbia mwendo kasi kuelekea maendeleo muafaka kwa wanachi wote na Mungu atusaidie
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa, mada ya leo ikiwa ni swali kuhusu, kunapotokea mkanganyiko kati ya ukweli wa rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ukitofautiana na ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee ni ukweli upi ufuatwe katika utawala wa nchi yetu kati ya ukweli wa rais wetu, au ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

Moja ya sifa kuu na za pekee za rais Magufuli ni kuwa kuwa mkweli daima, sometimes, anakuwa mkweli too much mpaka anapitiliza, katika kuusema ukweli, rais Magufuli atausema ukweli wake no matter what, hata kama ukweli huo unapigana na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na hata ilani ya uchaguzi ya CCM, as long as ni ukweli wake, rais Magufuli atausema tuu ukweli huo, bila kujali the consequences ya ukweli huo, na kuwaachia kigugumizi wasaidizi wake namna ya kuuweka sawa ukweli huo kama unakwenda kinyume cha sera na ilani, ila unapokwenda kinyume cha katiba, uzoefu wangu umeonyesha, huwa wananyamaza tuu!.

Hili ni bandiko la hojaji kuhusu Watanzania kumuunga mkono rais wetu katika kufuata ukweli huu wa rais wetu, kwa vile Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli wake, Hata Kama Ukweli Huo unakwenda Kinyume cha Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?. Katika kumuunga mkono rais wetu katika ukweli wake, jee sasa nchi yetu iendeshwe kwa ukweli wa rais wetu, au tuendelee kuiendesha nchi yetu kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

My Take
Hili la mtu kusema chochote, popote, as long as ni ukweli, mimi naliunga mkono, maana kila mmoja wetu, akiwa ni mkweli wa aina hii na kusema chochote, popote, its healthy, maana you never know, katika hii ongea ongea, kuna siku hata waliohusika na matukio kama ya kina Lissu, watakuja kuropoka, na ukweli utajulikana!.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali[/QUOTE
Mzee wa KUSAMELEJA!!!! Ktk ubora wako!!
 
Paskali ila moyoni unajua ukweli ni upi.. bunge limekuweza kweli na unawapatia kisawa sawa.. anza kusifia kila kitu hadi kikomba anachonywea chai.. tupo nyuma yako

Umemsoma na kumwelewa kweli Bwana Pascal. Mnatia aibu sana Watu kama nyinyi msipoona tu Hakuna tusi kwa wakubwa ambao nyie ninahisi wanatakiwa watukanwe basi hamsomi tena ili kuelewa. Kwa heshima yako tu. Naomba rudia tena kusoma. Kunywa maji Mengi bangi itoke then msome tena.
 
WAZEE WA HANDOUT....TUNASOMA MAJIBU YA MTIHANI TU. VITABU TUNAWAACHIA WAZUNGU.
MI NIMEKUELEWA...LETE PAPER SASA
Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

My Take
Hili la mtu kusema chochote, popote, as long as ni ukweli, mimi naliunga mkono, maana kila mmoja wetu, akiwa ni mkweli wa aina hii na kusema chochote, popote, its healthy, maana you never know, katika hii ongea ongea, kuna siku hata waliohusika na matukio kama ya kina Lissu, watakuja kuropoka, na ukweli utajulikana!.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali
 
sijajua kwann watu wengi hawamwelewaga paschal mAYALLA!hahahahaha yan wewe utatupwa ndani tukusahau hukoo! post zako hua nasoma nikicheka!Pasco unamg'ong'a sana KICHAA!
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa, mada ya leo ikiwa ni swali kuhusu, kunapotokea mkanganyiko kati ya ukweli wa rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, ukitofautiana na ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee ni ukweli upi ufuatwe katika utawala wa nchi yetu kati ya ukweli wa rais wetu, au ukweli wa katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM

Moja ya sifa kuu na za pekee za rais Magufuli ni kuwa kuwa mkweli daima, sometimes, anakuwa mkweli too much mpaka anapitiliza, katika kuusema ukweli, rais Magufuli atausema ukweli wake no matter what, hata kama ukweli huo unapigana na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na hata ilani ya uchaguzi ya CCM, as long as ni ukweli wake, rais Magufuli atausema tuu ukweli huo, bila kujali the consequences ya ukweli huo, na kuwaachia kigugumizi wasaidizi wake namna ya kuuweka sawa ukweli huo kama unakwenda kinyume cha sera na ilani, ila unapokwenda kinyume cha katiba, uzoefu wangu umeonyesha, huwa wananyamaza tuu!.

Hili ni bandiko la hojaji kuhusu Watanzania kumuunga mkono rais wetu katika kufuata ukweli huu wa rais wetu, kwa vile Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli wake, Hata Kama Ukweli Huo unakwenda Kinyume cha Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?. Katika kumuunga mkono rais wetu katika ukweli wake, jee sasa nchi yetu iendeshwe kwa ukweli wa rais wetu, au tuendelee kuiendesha nchi yetu kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, kanuni, Sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

Hitimisho.
Inapotokea rais akatoa msimamo wake binafsi ambao ndio ukweli wake, na ukaenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM, jee Watendaji wa serikali yetu tukufu, watatekekeza nini kati ya ukweli wa rais na katiba, sheria, taratibu, kanuni, sera na Ilani ya uchaguzi ya CCM?.

My Take
Hili la mtu kusema chochote, popote, as long as ni ukweli, mimi naliunga mkono, maana kila mmoja wetu, akiwa ni mkweli wa aina hii na kusema chochote, popote, its healthy, maana you never know, katika hii ongea ongea, kuna siku hata waliohusika na matukio kama ya kina Lissu, watakuja kuropoka, na ukweli utajulikana!.

Wasalaam.
Jumatano Njema.
Paskali

Paskali; ni kweli alipoingia madarakani alikuta sukari inauzwa Shilingi 5,000/= kwa kilo?
 
“#Corona mpaka sasa hivi haijaua mtu hata mmoja hapa #Tanzania…lakini tunatishana sana…ninaanza kupata wasiwasi kwamba inafika mahali mpaka watu tumeanza kumsahau Mungu,” - Rais Magufuli alipohudhuria Ibada ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu la Jimbo Kuu Katoliki la #Dodoma.

RAIS MAGUFULI: IMEFIKIA MAHALI WATU WANAOGOPA HATA KWENDA KANISANI

“Imefikia mahali watu wanaogopa hata kwenda kanisani…msikitini wakihofia watapata #Corona.

Ninaweza nikafikiria kwa mawazo yangu madogo kwamba katika kipindi ambacho shetani ameutawala ulimwengu ni kipindi hiki,” – Rais Magufuli.

RAIS MAGUFULI ATAKA WATANZANIA WASITISHANE NA CORONA

“Watu tusitishane, tunatishana mno. Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu” - Rais Magufuli.

#CoronaVirus #CoronaOutbreak #MagufuliCorona #CoronaUchumi #CoronaTanzania
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease, hapa tunahimizwa tusitishike na Corona, jee tusitishike?
P
 
Naunga mkono hoja na hapa ndipo ninapompendea rais Magufuli, kwenye ukweli, hakopeshi.

Sio tuu hakuna aliyekufa kwa Corona bali hakuna Mtanzania aliyeambukizwa Corona akiwa nchini, hivyo Corona Bongo haiambukiziki, huku nikisisitiza Corona ni ugonjwa wa ulaya na nchi za baridi, sio tropical disease, hapa tunahimizwa tusitishike na Corona, jee tusitishike?
P

Inawezekana ikawa Watanzania ni special specie kulinganisha na watu wa mataifa mengine. I mean, wakati wengine wanafunga mipaka na kuzuia wageni kuingia kwenye nchi zao (na ni waafrika wenzetu) Rais wetu anaamini hivyo ni vitisho tu kwa kuwa hakuna mtu aliekufa kutokana na coronavirus. Ana maana watu wakianza kufa ndio tuchukue hatua?
 
Inawezekana ikawa Watanzania ni special specie kulinganisha na watu wa mataifa mengine. I mean, wakati wengine wanafunga mipaka na kuzuia wageni kuingia kwenye nchi zao (na ni waafrika wenzetu) Rais wetu anaamini hivyo ni vitisho tu kwa kuwa hakuna mtu aliekufa kutokana na coronavirus. Ana maana watu wakianza kufa ndio tuchukue hatua?
Yes Watanzania we are very special beings.

P
 
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi.
Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x 3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Back
Top Bottom