mbatizajijr
Member
- Nov 20, 2019
- 28
- 18
Duuu fujo tenaaa km ushindi c tyrNyie chadema mnataka internet ya nini mnataka kuleta fujo.
Duuu fujo tenaaa km ushindi c tyrNyie chadema mnataka internet ya nini mnataka kuleta fujo.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Tuma neno "kura" au neno " uchaguzi" uone kinachotokea
kwani imewashwaJamani sie wengine makosa yetu ni yapi?
Mbona hatupo kokote kwenye siasa na kwingineko lakini tunafanyiwa haya siku ya tatu leo hakuna Twitter, Facebook, WhatsApp, Telegram wala YouTube.
Tumewakosea nini?
Internet niza mabeneru achaneni nazoDuuu fujo tenaaa km ushindi c tyr
Tuone matokeo maan hatuna TV ya kuangalia zaid ya simu zetuNyie chadema mnataka internet ya nini mnataka kuleta fujo.
Simu sio nzuri zinatoka kwa mabeberu na Corona zitupeni hukotuone matokeo maan hatuna TV yakuangalia zaid ya Cm zetu
wacheni ujinga nyie washeni mtandao watu watumie bando lao hamuoni hasara kubwa kwa watu wa mitandao na taifa linakosa kodi jmn mweeeSimu sio nzuri zinatoka kwa mabeberu na Corona zitupeni huko
Tatizo in waongo mnoJamani sie wengine makosa yetu ni yapi?
Mbona hatupo kokote kwenye siasa na kwingineko lakini tunafanyiwa haya siku ya tatu leo hakuna Twitter, Facebook, WhatsApp, Telegram wala YouTube.
Tumewakosea nini?
Inasikitisha sana aisee sijui tumewakosea nin kwakweli, nasikia kuna mitano mingine ya shukrani kwa jiweJamani sie wengine makosa yetu ni yapi?
Mbona hatupo kokote kwenye siasa na kwingineko lakini tunafanyiwa haya siku ya tatu leo hakuna Twitter, Facebook, WhatsApp, Telegram wala YouTube.
Tumewakosea nini?
Unasikia au ndo ukwel wenyewInasikitisha sana aisee sijui tumewakosea nin kwakweli,nasikia kuna mi5 mingine ya shukrani kwa jiwe😂😂😁😀🤣🤣
Wananchi na wenyenchiRafiki hao huwa hawapangiwi. Ukijaribu kuwapangia ndio utaharibu kabisa. Waliamua kuzima wao na kama kuwasha wataamua wao tena kwa muda wanaoutaka wao. Nasikia nchi hii kuna wananchi na wenye nchi. Hebu nijaribu kufungua Whatapp nione.
Daah tutapitia mengi sana term hii,Mungu tusaidie kwakweli hii ni One-man showUnasikia au ndo ukwel wenyew
Jamani CHADEMA zimeni simu tujenge nchi internet ina haribu utamaduni wetu na haina faida kwa sasawacheni ujinga nyie washeni mtandao watu watumie bando lao hamuoni hasara kubwa kwa watu wa mitandao na taifa linakosa kodi jmn mweee