Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
Rafiki hao huwa hawapangiwi. Ukijaribu kuwapangia ndio utaharibu kabisa. Waliamua kuzima wao na kama kuwasha wataamua wao tena kwa muda wanaoutaka wao. Nasikia nchi hii kuna wananchi na wenye nchi. Hebu nijaribu kufungua Whatapp nione.jamn si wamepita tunaomba basi watuachie mtandao basi
Wengine hawaamini kama litakuwa la wote hadi pale litakapokuja na kuwa la wote. Wanaamini wana kinga madhubuti. Hawana wasiwasi.Likija libaya, niletu sote. Hakuna chakwamba huyu nishabiki huyu sio shabiki niletu sote.
Utaambiwa mbona kuna wa CUF huko Mtwara kashinda,hao wengine wameshindwa kwa uzembe wao wenyewe.Hii ndio Tz.Rais wa Maisha Jiwe anayekwenda kufuta mfumo wa Vyama vingi, alisema anatamani malaika ashuke afute mitandao ya kijamii.
Nyie mmezimiwa internet sio mitandao ya kijamii.
Jiwe
Jamani sie wengine makosa yetu ni yapi?
Mbona hatupo kokote kwenye siasa na kwingineko lakini tunafanyiwa haya siku ya tatu leo hakuna Twitter, Facebook, WhatsApp, Telegram wala YouTube.
Tumewakosea nini?
Hii JF sijui kama itauona mwaka mpya!Jiandae maana hata hii Jf ya kuingia kwa kujificha inawezekana mwisho ni leo maana hukumu yaja
Ila kuna siku kutakuwa na usawa tu mungu atusaidie tu.Rafiki hao huwa hawapangiwi.Ukijaribu kuwapangia ndio utaharibu kabisaaaa.Waliamua kuzima wao na kama kuwasha wataamua wao tena kwa muda wanaoutaka wao.Nasikia nchi hii kuna wananchi na wenye nchi.Hebu nijaribu kufungua Whatapp nione.
Wanasemaga hakuna usawa duniani ili kutuvunja moyo.ila kuna siku kutakuwa na usawa tu mungu atusaidie tu
Ukiona giza zito ujue kumekaribia kukucha kwa hiyo sisi pia tumekaribia kupata uhuruWanasemaga hakuna usawa duniani ili kutuvunja moyo.