Hivi kwa akili ya kawaida yeye Ndio anapush bei ipande? Serikali inahusika kwa 100% kupanda bei ya umemeHuyu mkurugenzi wa ewula,tangu mwaka juzi analazimisha bei ya umeme ipande,sijui ana maslahi gani kule symbion huyu
Ewura ni chombo kinachojitegemea ndio maana kwenye sheria ya Nishati kuna kipengele kinachompa waziri mwenye dhamana kutengua maamuzi ya ewura. Kama ingekuwa waziri anashiriki kwenye maqmuzi hicho kipengele kisingewekwa.Huu kama mchezo wa kuigiza tu, ina maana ewura waliamua wao wenyewe kupandisha bei ya umeme bila waziri husika kuidhinisha au kujua?
Haya ni maamuzi baada ya kusoma upepo nje, kwa vile wanasiasa Ndio wasemaji, mzigo wote wanabeba watendaji Lakini mpango huu walikuwa wanaujua wote na wao Ndio waliokuwa wameupanga
Kwani unataka bei iwe hii hii milele?Umeme utapanda tu, subirini muone.
Hivi huwa hawawasiliani???? Mpaka uamuzi uchukuliwe?
Ina maana walikuwa wapi wakati bei mpya inapendekezwa mpaka inapitishwa halafu wanakuja kutengua maamuzi, hii ni kutafuta sifa tu
Leo Januari Mosi 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amezungumzia kuhusu upandishaji wa bei za umeme na kusema anamshukuru sana Waziri wa Nishati na madini kwa kutengua upandishaji wa bei ya umeme. Hapa chini ni video iliyotolewa na YouTube channel ya Ikulu ikionyesha kwamba hata yeye Mh. Rais hakuafiki kabisa bei kupanda.
Kelele za nini? Mlikataa usipande mmesikilizwa bado bla bla bla!!!Hivi kwa akili ya kawaida yeye Ndio anapush bei ipande? Serikali inahusika kwa 100% kupanda bei ya umeme
Wapangaji ni hao hao watenguaji ni hao hao ccm hakuna jipyaWakipandisha mnapiga kelele wakizua kupandisha bado kelele, hambebeki
Wanaopandisha haohao na wanaoshusha ni haohao..wanatafuta kick hawana loloteWakipandisha mnapiga kelele wakizua kupandisha bado kelele, hambebeki
Ungeelewa nilichoandika usingeuliza hilo swali.Kwani unataka bei iwe hii hii milele?