Rais Magufuli na mfumo Kristo

Rais Magufuli na mfumo Kristo

Status
Not open for further replies.
Nilidhani kwenye katiba ya nchi inaeleza wazi kuwa ni nchi ambayo haina dini ila watu wana dini. Rais akitaka kufanya kazi inabidi avue udini wa aina yoyote ila afanye kazi kwa weredi. Mimi natamani mkuu wa wilaya asiyekataza mikutano ya kisiasa na maandamano na ambaye haanzi hotuba kwa kusema kwanza namshukuru Mungu dadadada. Watu wamesahau nchi haina dini ila watu wana dini. Ningekuwa Spika ningekuwa nawaambia wabunge wasali kimya kwa imani zao. Wengine hawaamini Mr. God yupo. Wapo wanaooamini kuna Mr. Gods wengi.
 
Kama chuo cha TANESCO mlipewa bure bora uwe na akiba ya maneno maana jamaa atalitaifisha soon.
 
Lazima sasa tubadilike. Dini yako peleka kwenye nyumba za ibada. Hapa kazi tu!!
 
Kipindi cha Mkwere walitulia, sasa wanaanza kufumuka mashimoni. Huyu aliyeanza ni Kidagaa kuna Sangara na Papa wataibuka.
Wakati wa Mkwere ilikuwa ni wafuasi wa dini ya kitimoto ndio walikuwa wapiga kelele kwa kila uteuzi alioufanya Mkwere. Cha kushangaza wale wa kitimoto hawasikiki tena wakilalamikia teuzi za Magu. wanaosikika ni wale wanaopigia kelele za usiginaji wa demokrasia unaofanywa na siri-kali ya Magu.
 
jamani vumilieni nchi hii tunaenda kwa zamu, zamu yenu bado haijafika ikifika na nyie muitumie
 
Akili za hawa jamaa sijui zikoje aisee. Na akipatikana mmoja basi akae sehemu fulani basi ni udini hadi anaharibu mambo. We tazama tu ya Dr. Dau pale alipotoka na Prof. Mlacha pale Udom. Hivi huko keen ye majumba yenu ya ibada mnafunzwa kiss mtaenda peponi kwa kupitia vyeo na mamlaka ya kiserikali na kuwa ni lazima muyapate?
 
Hakuna anayeishi kwa udini ni kuwafahamu tu viongozi wetu
ukishaifahamu dini yake ili iweje sasa??hukuwepo siku anaapishwa alikuwa ameshika kitabu gani??hivyo ni vitu personal havikusaidii wala havinisadii ni ulimbukeni tu kutafuta vitu kama hivyo
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom