Rais Magufuli na mfumo Kristo

Rais Magufuli na mfumo Kristo

Status
Not open for further replies.
Kwanza mkubwa huo ni ubaguzi mkubwa wa dini na katika nchi yetu hauna nafasi kabisa sifa ya dini sio kigezo cha kuteuliwa katika au kupatanafasi ya kazi katika serikali.
Pia kama wewe ni mchambuzi mzuri na mbaguzi mzuri wa dini kwanza inabidi ujiulize kati ya wakristo na waislamu i dini hipi ina idadi kubwa ya wasomi? ili uweze kutafuta ubaguzi wako unaoutaka. cha msingi wapelekeni watoto wenu shule nzuri na katika shule zenu wekeni mazingira mazuri ya watoto kusoma vizuri kisha njoo na hoja yako mufilisi ya ubaguzi wa dini. Tanzania yetu hatutaki kusikia ubaguzi wa dini ukitaka nenda nchi yingine zenye chembe ya ubaguzi.
u are exellent
 
Kwanza mkubwa huo ni ubaguzi mkubwa wa dini na katika nchi yetu hauna nafasi kabisa sifa ya dini sio kigezo cha kuteuliwa katika au kupatanafasi ya kazi katika serikali.
Pia kama wewe ni mchambuzi mzuri na mbaguzi mzuri wa dini kwanza inabidi ujiulize kati ya wakristo na waislamu i dini hipi ina idadi kubwa ya wasomi? ili uweze kutafuta ubaguzi wako unaoutaka. cha msingi wapelekeni watoto wenu shule nzuri na katika shule zenu wekeni mazingira mazuri ya watoto kusoma vizuri kisha njoo na hoja yako mufilisi ya ubaguzi wa dini. Tanzania yetu hatutaki kusikia ubaguzi wa dini ukitaka nenda nchi yingine zenye chembe ya ubaguzi.
We umeandika pumba hata historia ya nchi kuhusu elimu huijui, utakuwa umesoma ila umekariri, hukuelewa
 
Mfumo mfumo mfumo ,,,,,,,, waislam wakiongea tu WATAKUWA MAGAIDI,,zaid ya hapo ni million 7 matumiz mabaya ya mtandao
 
Ndio haki ilivyo,vumilieni hata kama inauma maana mpaka 2020 sio leo tena inaweza kufika 2025 na ukiona maumivu zaidi ni vyema kuamia Saudia kule viongozi wote ni waislamu.
 
Hii ngonjera ni ndefu mpaka Sheikh Ponda kaikataa (niko naye hapa Kichangani).

Katika Uongozi wa Awamu ya 4 tuwekee safu ya Viongozi wa Sarikali Kuu tuone ulikuwa vipi.
 
Kwanza mkubwa huo ni ubaguzi mkubwa wa dini na katika nchi yetu hauna nafasi kabisa sifa ya dini sio kigezo cha kuteuliwa katika au kupatanafasi ya kazi katika serikali.
Pia kama wewe ni mchambuzi mzuri na mbaguzi mzuri wa dini kwanza inabidi ujiulize kati ya wakristo na waislamu i dini hipi ina idadi kubwa ya wasomi? ili uweze kutafuta ubaguzi wako unaoutaka. cha msingi wapelekeni watoto wenu shule nzuri na katika shule zenu wekeni mazingira mazuri ya watoto kusoma vizuri kisha njoo na hoja yako mufilisi ya ubaguzi wa dini.
Tanzania yetu hatutaki kusikia ubaguzi wa
dini ukitaka nenda nchi yingine zenye
chembe ya ubaguzi.
Mlikuwa mnalalamikia kuwa JK je kipindi hicho mlipungua na sasa mmeongezeka?
 
mbona wakuu wa wilaya waisilamu wapo wengi? anyway hata wangekuwa wachache kinachoangaliwa ni competency
jamani hizi siasa za kugawa watu sio nzuri, mimi Magufuli nampinga sana ila sio kwa kugawa watu hivi
 
Ingekuwa Ukatoliki ndio kigezo Kasim Majaliwa MWISLAMU asingekuwa waziri mkuu wala Samia Suluhu ambaye ni mwislamu asingekuwa makamu wa Raisi.

Hapa kazi tu haiangaliwi dini ya mtu
Aliyekuambia PM ni muislam nani, hilo ni jina tu, kabla ya kuandika fuatilia kwanza
 
Yani huyo aliyeandika hii makala ingekuwa ni Korea Kaskazini mda kama huu kwenye vyombo vya habari kwa pale chini ungekuta kuna maandishi ya red yanasomeka

BREAKING: NEWS

hapo ikiashiria kuna mjinga kasha nyongwa!
 
huo waraka tu,inatosha kujua alyeandika anawaza nn!afu akakandamizia na hazeti la kichina!
kuelezea mambo ya utawala!
 
Ukawa bana,wamebanwa kila kona sasa wanakuja na kete ya udini ili kumchonganisha rais na waislam
Ukawa waacheni waislam wanajua shida zao,halafu kuteua muislam hakuwapu waislam mkate
Ukawa,nendeni kwanza mkamuombe radhi professor kikwete aliwapa nafasi mkaichezea kwa kuitumia kumtukana,sasa nafasi hakuna
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom