Rais Magufuli na mfumo Kristo

Rais Magufuli na mfumo Kristo

Status
Not open for further replies.
Wacheni tuchambue teuzi za mh.rais mbona wakati wa JK mlifanya hivyo na malalamiko yalikuwa hayapungui hapa JF?
 
Nilishawahi kuandika maoni yangu kama hayo pale Mh Rais alipoteua mawaziri makatibu wakuu na wakuu wa mikoa lkn badala yake nikaishia kupewa Ban humu JF...

Kinachofanywa na magufuli ni upendeleo wa waz waz na tukikumbuka enz ya Jk japo aliwapa sana hawa jamaa nafas stil aliitwa ni mdini...sasa tunamtaka ajue kwamba bado ana safar ndefuu...na kama anataka kuturudisha huko sisi tumeshazoea...

Nchi Hii ni yetu soote na ajaribu kukumbuka kauli zake kipind cha kampen
 
Hii post ingekuwa deal wajati Wa Jk
wengi wanaofukuzwa ni Wakristo navwanafukuzwa kwa sababu ya wizi
PIA WAPO WAISLAN WANAOTEULUWA KWA SIFA ZAO NA WAPO WANAOTOLEWA
 
Afadhali mfumo Kristo kuliko mfumo unaoutaka maana tungelazimishwa kuvaa kanzu. Huu ni mfumo wa dunia sio Tanzania tu. Tangu Mwl Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete ni mfumo Kristo mnalalamika kwani Mwinyi na Kikwete ni Wakristo?
umeogea pumbba tupu
 
tumebarikiwa! vidole havifanani lakini vina fanya kazi pamoja!
 
Assayasiria:

bandiko refu sana naona Nyerere, Mwinyi, Kikwete, na Magufuli wameguswa sikuona Mkapa.

Nyerere pamoja na kutaifisha shule nyingi sana za madhehebu ya dini mbalimbali ili kuleta usawa katika kutoa elimu. Bado watu waliofaidika na kupata elimu kwa uamuzi huu walitumia elimu hiyo kumuiita mbaguzi, kumbuka dhambi ya ubaguzi.

Wakati wa awamu ya pili Mrema alilalamikiwa sana kuhuzu kuchukua maamuzi fulani hakulaumiwa Mkuu wake wa kaz wakati huo.i.

Wakati wa awamu ya nne tulisikia malalamiko ya kauli kama ni wa dini yetu, nk.

Kwa hekima niliyo jaliwa na Mungu, jambo linaolozungumzwa na watu wazima ni muhimu likapatiwa tafakuri makini ili
pengine kupata the way foward bila kuwa na unafiki ndani yake.

Labda ni ulize wakati awamu ya nne ikiwa madarakani mleta maada alikuwa na mtazamo gani. Tahadhari tusijefika mahali ikawa uwiano wa kidini ndio kigezo cha ajira namba moja huko serikalini. Mchicha uliaza kama Mbuyu.
 
Pumba zinawasha lakini. Huu mfumo utatawala dunia milele kwasababu ya watu wenye uwezo wa kuukataa ni kama wewe.
 
Udini ni sababu ya machafuko sehemu yoyote. Serikali haina dini. N cdhan km inaangaliwa dini au CV kny uteuzi. Udini sio mzuri dini tumeletewa 2. Hakuna aliyefika huko n kugundua kua dini flan ndo iko sawa. Magu anaangalia CV hlf ubaya ndugu ze2 wasomi wachache uwongo dhambi. Ndo mjiulze wats wrong. Msimu wa kubebana hakuna ni CV 2. Japo cmkubal baba jesca ila kwa hili namtetea.
 
And i am telling you...siku zoote watu wa kwanza kulalamika nchi hii kuhusu udini ni hawa jamaa wa upande wa pili...

Ni watu waliojawa islamophobia na chuki zisizo na kifani..katika hili wala hatutaona haya wala aibu kulisema hili...nchi hii ni yetu sote..na kila kinachofanyika tupo nacho macho
 
Haya majamaaa kama mabwege,mmebebwa miaka kumi yote tumenyamaza,,sasa hvi mmesahaulika kwenye teuzi mbili tatu mnasema mnaonewa,,,,sijui ni watu wa namna nyie
Naona unakiri kuwa waislam wamesahaulika kwenye utawala huu.hata hivyo hakuna shida kwa sababu haya yanapita ya Dunia tu ndugu yangu.wasiwasi wangu ni kwa wale wanaokumbuka utawala wa JK.
 
Majibu ya ajabu ajabu kama haya hatuyahitajii...

Let say ni kweli kama unavyosema kuwa waislam wasomi ni wachache kama mnavyodanganyana huko makanisani...

Sasa Ukuu wa mkoa na Ukuu wa wilaya unahitaji PHD?niambie elimu za hao wateule wake wa wakuu wa mikoa na wakuu wilaya wana qualifications gan?..

Balancing katika teuzi kama hizi lazima iwepo...na tunachofanya ni kuwatahadharisha tuh..

Mtambue kuwa Tunakielewa kinachoendelea
Udini ni sababu ya machafuko sehemu yoyote. Serikali haina dini. N cdhan km inaangaliwa dini au CV kny uteuzi. Udini sio mzuri dini tumeletewa 2. Hakuna aliyefika huko n kugundua kua dini flan ndo iko sawa. Magu anaangalia CV hlf ubaya ndugu ze2 wasomi wachache uwongo dhambi. Ndo mjiulze wats wrong. Msimu wa kubebana hakuna ni CV 2. Japo cmkubal baba ***** ila kwa hili namtetea.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom