Chris14
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 3,076
- 2,177
Huyu Ruge nadhani atakua moja ya makachero wenye rank ya juu kabisa nimeanza kuhisi huyu mtu sio wa kawaida since 2013 sina sababu za msingi saaana ila huu mgogoro wa Mawingu na Rc
Umekuja kuhitimisha hisia zangu