technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Hata Makongoro Nyerere hana sifa za kuwa hata naibu waziri?
Hivi Magufuli anathamini kweli mchango wa baba wa Taifa hili kweli? Watoto na ndugu Wa baba Wa Taifa hili wamewakosea nini? Mnasubiri msiba utokee mwende kuongea unafiki?.
Yule mwingine mlimyanganya ubunge Kwa nguvu watu wa Musoma wanakiri hivyo. Huyu naye baada ya kuenguliwa kwenye urais yaani mmeamua kuimaliza familia na kizazi cha Baba wa Taifa?
Hata uwaziri? Kweli jamaa hafai kiukweli. Mimi inaniuma sana ndugu zake na Baba Wa taifa kutokuwa kwenye system hata sehemu yeyote muhimu.
Siamini kama Makonda au Nape wana vyeo vikubwa lakini Makongoro hana cheo.
Laana ya kuitelekeza hii familia itafatafuna Ccm. Yaani hata hamjiuliz kwanini hamfanikiwi kwa mambo mengi mnayoyafanya.
Hivi Magufuli anathamini kweli mchango wa baba wa Taifa hili kweli? Watoto na ndugu Wa baba Wa Taifa hili wamewakosea nini? Mnasubiri msiba utokee mwende kuongea unafiki?.
Yule mwingine mlimyanganya ubunge Kwa nguvu watu wa Musoma wanakiri hivyo. Huyu naye baada ya kuenguliwa kwenye urais yaani mmeamua kuimaliza familia na kizazi cha Baba wa Taifa?
Hata uwaziri? Kweli jamaa hafai kiukweli. Mimi inaniuma sana ndugu zake na Baba Wa taifa kutokuwa kwenye system hata sehemu yeyote muhimu.
Siamini kama Makonda au Nape wana vyeo vikubwa lakini Makongoro hana cheo.
Laana ya kuitelekeza hii familia itafatafuna Ccm. Yaani hata hamjiuliz kwanini hamfanikiwi kwa mambo mengi mnayoyafanya.