Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,179
- 4,248
Mkuu samahani,
Kwamba na sisi wanaJF tutoe mwakilishi walau mmoja????
Kwani unafikiri hao wawakilishi wengine sio wanaJF?
Kwamba na sisi wanaJF tutoe mwakilishi walau mmoja????
Kwani unafikiri hao wawakilishi wengine sio wanaJF?
Kweli kabisa Mayalla amepambana sana kuliko hata Bashe ni muda wake na sisi wa JF tutoe angalau muwakilishi mmoja. Maana jimbo/wilaya ya Nzega imeshatoa waziri na naibu.
