Rais Magufuli mkumbuke Pascal Mayalla U-DC Ikungi

Rais Magufuli mkumbuke Pascal Mayalla U-DC Ikungi

Mheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.

Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.

Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
pascall mayalaa ni face id, mwenyewe hlsi ni jiwe
 
Mheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.

Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.

Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
Kweli lakini kaka anastahili, ngoja nianze kampeni, makini sana huyu kaka...
 
Mheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.

Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.

Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.

Nyoka huwa hafundishwi Kung'ata.
 
halahala uncle atakapotekeleza haya maoni ya JF, tusije sikia tena mara anapendelea kanda fulani mara ooohh unajua nk nk!!! Ni angalizo tu
 
Mheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.

Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.

Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
Pascal hatateuliwa mpaka pale atakapoitisha mkutano wa vyombo vya habari na kuutangazia ulimwengu kuwa anamuunga mkono jiwe. Sote tumeona wale wanaokesha mitandaoni wakipostiposti wakisahaulika kabisa. Mkuu anapenda mambo ya LIVE zaidi, siyo haya ya kukaa nyumba ya keyboeard.

Wa kushauriwa hapa ni Pascal. Angalau aitishe press conference, amtukane mmojawapo wa wale wanaosemekana kumuujumu Mheshimiwa. Atukane kidoogo, hata vi-matusi vidogo vidogo mfano mjinga, fisadi, mla rushwa, nk.

Bila hivyo, Pascal hana lake. Ukuu wa wilaya siyo kazi ya kwenda kuandika makala, bali kazi ya kwenda kusema na kutukana na kuhujumu pale inapobidi.
 
Mayalla kapambana sana kuitetea hii serikali anafaa kwa kwelii....ila yale mazezeta ya lumumba yataendelea kupiga kelele..
 
Huyu si alikataaga nafasi nyeti ya kitengo kwa mujibu wake
ila uDC utamfaa mshkaji akapumzike sasa na mada zake tutazimiss
 
Mayalla kapambana sana kuitetea hii serikali anafaa kwa kwelii....ila yale mazezeta ya lumumba yataendelea kupiga kelele..
Pole sana, unajua kwa nini mwenyekiti wa CCM alitaka viroba vitokomezwe ? ni kwa kuwaokoa ufipa.

Tuje kwa Mayalla: nakubali michango yake hasa pale anaposimama na serikali yetu kuusema ukweli ambao wengine wanaupotosha, kutuhabarisha kwa habari zenye uhakika ila mengine ni matango pori. napenda pale anapokosoa kwa adabu, na pia namkubali zaidi kwa kumkubali na kukubali mzalendo namba moja Tanzania Rais Magufuli.

Kama akiteuliwa nitafurahi zaidi kwa sababu si mtu wa majivuno. Kaonesha uwezo mzuri katika kusimamia ukweli, kujenga hoja, kusimamia rasilimali za taifa.
 
Mheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.

Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.

Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
Yote heri
 
Mnachekesha sana hii ni ID Pascal Mayalla anajitekenya mwenye na kucheka Pili kafundisha kitugani hapa zaidi ya upotoshaji mtupu juu ya ACACIA na BARICK achani uzushi wako fanyakazi acha tabia ya kushinda mitandani mkiposha jamii ili mpewe vyeo
 
Back
Top Bottom