jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 11,003
- 10,667
Very right, its the right time kaka yetu Pascal Mayalla yetu ale shavu....and rightly so...
umri unamtupa mkono mzee wangu pasco maana asaiv ana 52 sasa kaona bora azidishe mapambio mkuu amkumbukebado bila bila
Nimecheka….. kidogo nianguke!Pascal Mayalla baada ya kuona umesaulika naona umeamua kufufua huu Uzi.
we ndugu sijui ni mjinga kiasi gani wewe, kwani kabila ndo linafanya kazi au ni ulimbukeni wako tuu UNAONGEA KAMA UMESHIKWA NA TUMBO LA KUHARAPasco ana cv zote plus kabila
Ukikua utaelewawe ndugu sijui ni mjinga kiasi gani wewe, kwani kabila ndo linafanya kazi au ni ulimbukeni wako tuu UNAONGEA KAMA UMESHIKWA NA TUMBO LA KUHARA
Mkuu unafikiri uongo jamaa anajianzishia Uzi wa id fake, alafu Uzi ukipotea anaupandishaNimecheka….. kidogo nianguke!