Rais Magufuli: Mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako ndio mji wenye nyumba na Makazi bora Tanzania

Acha mambo wabena + wakinga kariakoo walishakuja siku nyingi. Maduka kama Kisangani Enterprises umezaliwa unayaona . Na ndio miongoni mwa Duka kubwa la spea hapo jijini Dar es salaam. Wapo wengi Sana tukikuwekeea list

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkinga kaja juz mjin na yeboyebo na ViHéla vya kwa mwakipande vya kudonoa tunamchora tu ndio.atuzid? Unaota

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa suala la Elimu wachagga hamjawafikia wahaya. Takwimu za mwaka mmoja sio kwamba mchaga kawazidi Wahaya. Wahaya ni watu waliokwisha kuwa na Elimu kuliko kabila lolote lile Tanzania sema hawapo Sana kwenye business. Ila Kwa elimu Wahaya wapo Zaid ya wachagga

Sent using Jamii Forums mobile app
Wahaya kwa wachaga ktk elimu ni wachaga 60 kwa 40 wahaya
Wahaya wenyewe wana ji exposé akiwa n'a kadegree atajitangaza wachaga wao ni kimya kimya
Nina uhakika ktk idara tumejaa kuwazd Ila nao Pia wamesoma
Ila kutuzd hawajatzd idara mfano uhasibu,uchumi,kilimo,afya,elimu,mabank wachaga wamejaa kuliko wahaya,ukija kwenye Sheria wahaya na wachaga Ni pasu pasu,tukija ktk wahadhiri wa vyuo vikuu nako Ni pasu pasu Sasa wametuzidi nn?
Ila kwenye kada Kama ualimu wa secondary,msingi wAhaya hawaoni ndan hata kidgo kw wachaga
Elimu tunaangalia ngaz zote sio PhD au master tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huta lala punda wewe,jua kutofautisha kati ya increasing at decreasing rate ya kwenu na increasing at increasing rate ya njombe,pili rasilimali za njombe ni juu kuliko kilimanjaro.
Viwanda vile uyole Mbeya etc wanamiliki baba zako?
Viwanda gan viko uyole ? Kale ka small industry ka rafaeli group? au yake mabanda ya kuuza mbao?
Kwahiyo kwa akili zako kilimanjaro ina decrease? Hahaha ingekuwa Ina decrease si tungepigwa Bao? Sisi level yetu tunashindana na dar mkuu
FB_IMG_15020060897734219.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahaya kwa wachaga ktk elimu ni wachaga 60 kwa 40 wahaya
Wahaya wenyewe wana ji exposé akiwa n'a kadegree atajitangaza wachaga wao ni kimya kimya
Nina uhakika ktk idara tumejaa kuwazd Ila nao Pia wamesoma
Ila kutuzd hawajatzd idara mfano uhasibu,uchumi,kilimo,afya,elimu,mabank wachaga wamejaa kuliko wahaya,ukija kwenye Sheria wahaya na wachaga Ni pasu pasu,tukija ktk wahadhiri wa vyuo vikuu nako Ni pasu pasu Sasa wametuzidi nn?
Ila kwenye kada Kama ualimu wa secondary,msingi wAhaya hawaoni ndan hata kidgo kw wachaga
Elimu tunaangalia ngaz zote sio PhD au master tu

Sent using Jamii Forums mobile app
post yangu ya mwaka.acheni kubishana na huyu kichaa wa uru . Ripoti inasema vichaa wengi tz wanatoka uchagani
IMG-20190304-WA0022.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hapo utasikia wachagga wanakwambia PPF ni mali ya mchagga. Ahsante Kwa ufafanuzi hata Ile JB Belmont hotel nasikia ni ya mfuko wa hifadhi ya jamii. Pamoja na lile ghorofa jingine refu pale Mwanza ambalo Lina sehem ya kutua helkopa Kwa juu Helpad.
Mbona mnabishana kitu msichokijua. Gold crest ni hotel ya Mfuko wa pensheni uliokuwa unaitwa PPF ambapo kwa sasa ni PSSSF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha 1 Kagera na Kigoma mnaongoza kwa kuwa na hela chafu

Picha 2 Kilimanjaro yaongoza kwa kuwa na hela safi. Kukutana na shilingi safi kama hiyo Moshi ni jambo la kawaida sana

Picha 3 Kilimanjaro ndo mkoa unaongoza kwa kuwa na wanawake wazuri sana maana karibia viongozi wote wakuu wameoa Kilimanjaro. Mfano Mkapa kaoa kwetu, Mwinyi, Majaliwa, Malechela, na kuendelea

Picha 4 Kilimanjaro ndo twaongoza kuichangia mapato Tz. Sisi tunakunywa bia kweli kweli na ndo tunachangia hela nyingi kushinda mtu yoyote tz

Picha 5 na picha 6 Dada zetu walivyo wazuri dunia nzima
tapatalk_1552034520517.jpeg
1555492660542.jpeg
FB_IMG_1555142515645.jpeg
IMG_20190331_182240.jpeg
Screenshot_20190208-111415.jpeg
Screenshot_20190208-111439.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye Maji sasa ngoja nikuwekeeni tuzo za ewura tulizozipata

Tuzo 1 Best water utility among 25 Regional water utilities yaani sisi tumewazidi mpaka Chattle kwa Meko wao wako karibia na Ziwa Victoria lakini bado wamama na watoto wanabeba ndoo kichwani so pathetic

Tuzo 2 yaani hapa tuna sewarage bora tz nzima. Wale wasioelewa ni kwamba ukienda chooni kukata gogo, au bafuni kuoga na kupiga puli uchafu wote unachukuliwa unaenda tibiwa mwisho yanatoka maji safi ndo tunayotumia kulima na kupanda mpinga na irrigation. Kwa kina Meko hana hii technolojia yeye kawapelekea uwanja wa ndege natumai siku si nyingi utageuka ranchi ya kufugia mbuzi

Tuzo 3 Hapa tume-excell hakuna wa kutufikia maana huku maji hayakatiki kabisa na hukuti mtu anabeba ndoo kichwani eti anatafuta maji maji yapo

1555493460493.jpeg
1555493611427.jpeg
1555493808901.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha 1 Yaani hapa ndo sehemu ambapo maji tunayatumia mji mzima maana chanzo ni kidogo lakini kutokana na kwamba tunajua dhamani ya maji tumekitunza na kina kuwa na maji mwaka mzima lije jua ije mvua chanzo hakikauki kudadadeki
1555493926033.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom